Habari wadau,kwanini wasanii na watu maarufu imekuwa kawaida kufanya ngono na kujirekodi tena kwa ujasiri?
Je serikali hailioni hili au na yenyewe imeamua kubariki utumbo huu? Leo Aslay nae katoa sexy tape yake akifanya uchafu wake na kahaba mmoja hivi.
Hivi watu kama:Aslay,Gigy,Uwoya,Lukamba,Nyarandu na wengine tuseme wanaogopwa na serikali? Mbona hakuna hata tamko kama enzi za mwendazake?
Je Amberruty ndiye muhanga tu wa hili jambo kwani pekee ndiye aliwahi kuonja selo na bwanaake ila akina Lulu diva na wengine thubutu[emoji2357]