Vidokezo vitatu vya kufanya upendo wako ufanye kazi

Vidokezo vitatu vya kufanya upendo wako ufanye kazi

Bi zandile

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
301
Reaction score
856
Upendo haupaswi kuumiza yeyote. Ikiwa unachotaka ni upendo unaodumu, unaweza kuupata hakika...
There’s nothing wrong with you. And there’s nothing wrong with the one who broke your heart..

Hapa kuna vidokezo vitatu…

Moja, upendo wa kudumu ni ujuzi, hauji kwa bahati. Love can be learned... Yaani unaweza kujifunza upendo na ukahitimu. Jifunze upendo. Upendo wa kudumu hautokei tu - unasababishwa kutokea. Unachopata kwenye upendo ni matokeo ya kile unachowekeza. Reflect on your inputs.

Mbili, upendo wa kudumu ni uamuzi, sio hisia. Kilichowakutanisha hakitawaweka pamoja. Hisia hupanda na kushuka. Hisia ni za muda mfupi. Maamuzi ni ahadi thabiti - ambapo upendo hudumu milele.

Tatu, upendo wa kudumu ni agano, sio mkataba. Mikataba inaweza kufutwa ama kuvunjika muda wowote. Maagano kamwe hayavunjwi. Maagano ni zabuni. Maagano hulinda upendo. Maagano ni ulinzi, si vikwazo.

Wakorintho 13:4-7
Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya, hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli. Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

Make Your Love Work.
 
Upendo haupaswi kuumiza yeyote. Ikiwa unachotaka ni upendo unaodumu, unaweza kuupata hakika...
There’s nothing wrong with you. And there’s nothing wrong with the one who broke your heart..

Hapa kuna vidokezo vitatu…

Moja, upendo wa kudumu ni ujuzi, hauji kwa bahati. Love can be learned... Yaani unaweza kujifunza upendo na ukahitimu. Jifunze upendo. Upendo wa kudumu hautokei tu - unasababishwa kutokea. Unachopata kwenye upendo ni matokeo ya kile unachowekeza. Reflect on your inputs.

Mbili, upendo wa kudumu ni uamuzi, sio hisia. Kilichowakutanisha hakitawaweka pamoja. Hisia hupanda na kushuka. Hisia ni za muda mfupi. Maamuzi ni ahadi thabiti - ambapo upendo hudumu milele.

Tatu, upendo wa kudumu ni agano, sio mkataba. Mikataba inaweza kufutwa ama kuvunjika muda wowote. Maagano kamwe hayavunjwi. Maagano ni zabuni. Maagano hulinda upendo. Maagano ni ulinzi, si vikwazo.

Wakorintho 13:4-7
Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya, hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli. Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

Make Your Love Work.
Vipi kwa upande wa mwanaume kama akiwa na ivyo vyote lakini akakosa hela?
 
Hela ni jawabu la kila kitu, mwanaume akikosa hela maana yake amekufa huyo azikwe tu.

Mwanaume aliye hai hutafuta hela na hazikosi
So if you made man to be useless without money, how comes you want him to be faithful when he is rich.! It can't happen.

You have to choose one. To value a man unconditionaly so he can value you back or to prioritize money so you can be used as a sex toy.
 
So if you made man to be useless without money, how comes you want him to be faithful when he is rich.! It can't happen.

You have to choose one. To value a man unconditionaly so he can value you back or to prioritize money so you can be used as a sex toy.
Alafu wee jamaa u have a facility with words. I dnt know why but when u put ur arguments through english they sound so convincing.
 
So if you made man to be useless without money, how comes you want him to be faithful when he is rich.! It can't happen.

You have to choose one. To value a man unconditionaly so he can value you back or to prioritize money so you can be used as a sex toy.
The conditions for couples are their choices. In reality, making love work requires refraining from seeking personal gain.
 
Upendo haupaswi kuumiza yeyote. Ikiwa unachotaka ni upendo unaodumu, unaweza kuupata hakika...
There’s nothing wrong with you. And there’s nothing wrong with the one who broke your heart..

Hapa kuna vidokezo vitatu…

Moja, upendo wa kudumu ni ujuzi, hauji kwa bahati. Love can be learned... Yaani unaweza kujifunza upendo na ukahitimu. Jifunze upendo. Upendo wa kudumu hautokei tu - unasababishwa kutokea. Unachopata kwenye upendo ni matokeo ya kile unachowekeza. Reflect on your inputs.

Mbili, upendo wa kudumu ni uamuzi, sio hisia. Kilichowakutanisha hakitawaweka pamoja. Hisia hupanda na kushuka. Hisia ni za muda mfupi. Maamuzi ni ahadi thabiti - ambapo upendo hudumu milele.

Tatu, upendo wa kudumu ni agano, sio mkataba. Mikataba inaweza kufutwa ama kuvunjika muda wowote. Maagano kamwe hayavunjwi. Maagano ni zabuni. Maagano hulinda upendo. Maagano ni ulinzi, si vikwazo.

Wakorintho 13:4-7
Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya, hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli. Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

Make Your Love Work.
Sawa Mnyambo
 
The conditions for couples are their choices. In reality, making love work requires refraining from seeking personal gain.
And those choices have consequencies. If you inter into man's life because of material things, then when you have been drilled and dumped don't take it personal, because your fellow women also wants that guy with money.
 
You have a very poor mind.
You are the one with poor mind, you want to relate two circumstances which can't go together without causing problem in the long run.

You want men to fall in love while women are in business, that's not fair play my sister. The game have changed, love for love, business for business.
 
You want men to fall in love while women are in business, that's not fair play my sister. The game have changed, love for love, business for business.
Read the article again and you will understand what I am talking about.
 
Read the article again and you will understand what I'm talking about.
I read and understood it, then i asked what if a man has all of those qualities but he lack money? You replied that a man wothout money he is useless just like a corpse.

I went further by asking, if you made a man to be useless without money how comes you want him to be faithful when he is rich?. So far you are trying to escape my argument
 
Back
Top Bottom