Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Tujiandae na train za mwendokasi kwani nazo oxygen hupatikana kwanamna hiyo
 
Hellooo? Is anyone home?? Is anything there?
 
i nawezekana aliyemzuia ndio huyu mwehu sababu anasema alikuwa karibu.
 
Mwenyezi Mungu ni mwema sana! Alimtumia huyo Kijana kuokoa baadhi ya Watu aliotaka wasife mle!
Lakini ni obvious yule Kijana asingefungu ule mlango haraka wote wangekufa maana Ndege yote ingejaa maji. Abiria wote wangekuwa ndani ya chupa iliyojaa maji!
Kingine dogo Majaliwa anasema alisikia watu wanagonga mlango kwa ndani (mlango ulikuwa umesha jam) maana mfumo wa Ndege ulisha zima!
Ikabidi avunje mlango wa emergence wa nyuma mkiani kwa Ndege haraka na watu 26 kati ya 43 wakapona!
Yawezekana waliokufa wengi walikuwa wamezimia kwa shock na maji yakawakuta na hivyo kufa kirahisi sana!
Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo na hao waliotoka kwa dogo Majaliwa kuwa saidia ni wengi kwani wangekufa wote!
 
Kijana wa hovyo asiye na maarifa akavunja mlango. Hivi bado hqjakamatwa tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…