Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji1787] nimecheka, kwa hiyo imooooMtoa mada kaingia geto la popo bawa kinyume nyume huku hajavaa
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787] nimecheka, kwa hiyo imooooMtoa mada kaingia geto la popo bawa kinyume nyume huku hajavaa
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Oya wakuu yule afisa aliemzuia kijana Majaliwa kufanya uokozi kaja kufungua uzi Jf
Tujiandae na train za mwendokasi kwani nazo oxygen hupatikana kwanamna hiyoMlango usingevunjwa wangekufa kwa kukosa hewa. Ndege haina mfumo wa kuingiza hewa ndani naturally...lazima engine ziwake ndo hewa iingie..it's obvious engine zilizima ndege ilipokuwa kwenye maji. Na pia ukiangalia Ile pua ya ndege ilivyoharibika lilikuwa ni suala la muda tu ndege ingejaa maji
Kabisa ,ukute sio binadamu wa kawaida roho mbaya imemzidi.Tena akatubu Kumpa mzigo mzito wa mauaji kijana wa watu
Hellooo? Is anyone home?? Is anything there?Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
nawezekana aliyemzuia ndio huyu mwehu sababu anasema alikuwa karibu.Mnatuchanganya mara kijana alitoa msaada, mara aonekane yeye ndo kaingiza maji ndani, mbona kijana wakati akijojiwa anasema rubani alikuwa akimuelekeza avunje watoke ndo akazuiliwa na huyo mtu alokuwa pale?
Alafu ile ndege haikuwa mbali na nchi kavu inamaana kungekuwepo na vifaa vya uokoaji vya kisasa wangepona wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hellooo? Is anyone home?? Is anything there?View attachment 2410807
Kwa hiyo unaamini serikalini hakuna wajinga ?Kwahiyo ww una akili kushinda serikali waliompatia ajira?
Tena hana akili hata kidogo...... nadhani ni mmoja kati ya watu wanaomiliki maboga juu ya mabega yao.Hao abiria 26 wangepona bila huo mlango kufunguliwa ?
Unasema wangeivuta kwanza ? Seriously ? Kwa mda gani uliokuwepo na vyenzo gani ?
Akili hauna wewe
[emoji23]Tena hana akili hata kidogo...... nadhani ni mmoja kati ya watu wanaomiliki maboga juu ya mabega yao.
KabisaKabisa ,ukute sio binadamu wa kawaida roho mbaya imemzidi.
😂😂Tena hana akili hata kidogo...... nadhani ni mmoja kati ya watu wanaomiliki maboga juu ya mabega yao.
We ndo ungeua wote kwa akili zako finyu.Elewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Kesha kamatwa,Yuko Bungeni ana hojiwa na Job Ndugai aliye wahoji akina Mayala!!Kijana wa hovyo asiye na maarifa akavunja mlango. Hivi bado hqjakamatwa tu?
Imekuuma sana we Mku***u ?Kijana wa hovyo asiye na maarifa akavunja mlango. Hivi bado hqjakamatwa tu?