Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Hiloo,acha roho mbaya,roho ya husda,roho ya kutu....imekuumaa.Kinachokutesa kwann wamepona wale 26 wazo lako kwa ushetani wako unataka wangekufa wote ili uandike tu RIP.....mweee....kweli shetani yupo na kaz kawapa maagent wake.Kamnyonge bas ufaidi
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
we ndo mmmoja wa maafande mlioenda kuhudhuria uokoaji na smartphone zenu
 
Elewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Yaan wewe ujuaji mwingi wakati huna unalo lijua ,ni wivu tu Ndio unakusumbua

Unaambiwa ndege baada ya kutumbukia kwenye majia upande wa mbele maji yalianza kuingia na abiria walio kaa siti za mbele walianza kufunikwa na maji huku wa nyuma wakihaha kujiokoa (hayo ni maneno ya abiria aliye okolewa baada ya kuvunjwa mlango) sasa wewe wa nje huko ambaye hata ndege yenyewe hujawahi panda unaleta ujuaji wako

ndio baadae baada ya mlango kuvunjwa wakaanza kutolewa maana yake bila mlango kuvunjwa wangekufa maji wengi zaid maana maji yalisha anza kuingia ndani kabla hata ya mlango kubunjwa.

Acha ujuaji na roho ya wivu kama mwenzio kapata usianze kumaagia kunguni kwa sababu za kuokoteza hiyo ni roho ya shetani kabisa uliyo nayo

Eti wangevuta ndege kwenye maji mengi kwa akili yako ilivyo ndogo unadhani ingeelea sindio? huna akili ingawa unajiona unajua kufikiri.
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Fuatilia mazungumzo ya jamaa mmoja aliye salimika katika hiyo ajali anaongea kutoka hospital, nilikua nafikir kama wewe lkn baadae nikagundua kufungua mlango ndo ulikua msaada zaidi kuliko kuuacha.!
 
Yaan wewe ujuaji mwingi wakati huna unalo lijua ,ni wivu tu Ndio unakusumbua

Unaambiwa ndege baada ya kutumbukia kwenye majia upande wa mbele maji yalianza kuingia na abiria walio kaa siti za mbele walianza kufunikwa na maji huku wa nyuma wakihaha kujiokoa (hayo ni maneno ya abiria aliye okolewa baada ya kuvunjwa mlango) sasa wewe wa nje huko ambaye hata ndege yenyewe hujawahi panda unaleta ujuaji wako

ndio baadae baada ya mlango kuvunjwa wakaanza kutolewa maana yake bila mlango kuvunjwa wangekufa maji wengi zaid maana maji yalisha anza kuingia ndani kabla hata ya mlango kubunjwa.

Acha ujuaji na roho ya wivu kama mwenzio kapata usianze kumaagia kunguni kwa sababu za kuokoteza hiyo ni roho ya shetani kabisa uliyo nayo

Eti wangevuta ndege kwenye maji mengi kwa akili yako ilivyo ndogo unadhani ingeelea sindio? huna akili ingawa unajiona unajua kufikiri.
wivu mwezao kapata ajira serikalini
 
Fahamu haya mleta mada.

1. Maji yalishaanza kuingia ndani ya ndege kabla hata ya mlango kuvunjwa.

2. Watu wote waliokuwepo ndani ya ndege muda mchache tu tangu iingie kwenye ziwa walikuwa hai na walikuwa wakihaha kutaka kutoka kwa njia yoyote ile maana hakukuwa tena na hewa ndani.

3. Zoezi la kuvunjwa mlango lilifanikisha kuokoa zaidi ya abiria 20 wakiwa hai ndani ya muda mchache.

4. Hata baada ya masaa 24 tangu hiyo ndege kuanguka bado ilikuwa haijafanikiwa kuvutwa nje ya maji.


Sasa mleta mada, anzia hapo kuleta uchambuzi wako.
 
Hao abiria 26 wangepona bila huo mlango kufunguliwa ?

Unasema wangeivuta kwanza ? Seriously ? Kwa mda gani uliokuwepo na vyenzo gani ?

Akili hauna wewe
Lina roho mbaya hilo lijinga yaan hapo linamuonea wivu dogo wa watu ndio maana kaandika tenankwa herufi kubwa ili ionekane ,ana roho ya kishetani kabisa huyo yash_ed ana wivu mbaya sana huyo
 
Mlango usingevunjwa wangekufa kwa kukosa hewa. Ndege haina mfumo wa kuingiza hewa ndani naturally...lazima engine ziwake ndo hewa iingie..it's obvious engine zilizima ndege ilipokuwa kwenye maji. Na pia ukiangalia Ile pua ya ndege ilivyoharibika lilikuwa ni suala la muda tu ndege ingejaa maji
Ile ndege kuna uwezekano imetua engine zimezimwa, kama zingekuwa ON ile ndege wasingeikuta pale walipoikuta
 
Mnatuchanganya mara kijana alitoa msaada, mara aonekane yeye ndo kaingiza maji ndani, mbona kijana wakati akijojiwa anasema rubani alikuwa akimuelekeza avunje watoke ndo akazuiliwa na huyo mtu alokuwa pale?
Alafu ile ndege haikuwa mbali na nchi kavu inamaana kungekuwepo na vifaa vya uokoaji vya kisasa wangepona wengi.
Aiseee
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Roho mbaya itakuua! Ndege ilishaanza kuingiza maji au unadhani ni kama yai lile kwamba lipo sealed?

Ubinafsi utawaua hiko kikosi cha uokoaji kingekuja saa ngapi? Huna hata aibu, anaekaa karibu na huyu bwana anichapie makofi mawili azinduke akili!
 
Back
Top Bottom