Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukaa kimya nalo pia ni jibu...unaandika vitu vitu vya hovyo kabisa.....ndege imeanguka saa 8:39 am majini....waokoaji wamefika eneo la tukio saa 12: 30 pm hivi ulitegemea nini mkuu.....Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Wivu huoInasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Haya Maneno yako nitayaamini tu Kama kweli na wwe ni mmoja wa abiria aliyenusurika kwenye hiyo ajali! La sivyo itakua tu ni porojo Kama porojo zingine!!Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Ila we Jamaa unateseka sanaaaInasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Serikali ya wajingaKwahiyo ww una akili kushinda serikali waliompatia ajira?
Sikiliza abiria waliokolewa unaambiwa maji yalijaa ata kabla mlango haujafunguliwa rejea interview za waliopona ni wale waliofunguliwa mlangoInasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Asipoelewa na hapaNitamsaidia mleta mada kama ifuatavyo: anafikiri kufunguliwa kwa mlango kuliongeza maji ndani ya ndege; hilo haliwezekani, maji yaliyoingilia mbele ya ndege baada ya kuvunjika pua, yalisambaa ndani ya ndege kufikia usawa wa maji ya nje. Kwa hivyo, kuvunjwa kwa mlango hakukuongeza ukubwa wa tatizo. Unaweza kufanya majaribio ukitaka kujiridhisha; chukua kopo, toboa upande mmoja halafu liingize kwenye beseni lililojaa maji ukiinamisha hilo kopo lako kwa mfano ule wa ndege ilivyokaa kwenye maji, angalia usawa wa maji ndani ya kopo na nje ya kopo.
Hii ndege inaonyesha ilipasuka kule mbele,maana kuna picha nimeona mtu amebeba kipande cha mbele ya ndege kichwani,kwahiyo kuna uwezekano mkubwa maji yaliingia mapema tu...Wewe umesikiliza interview ya mmoja aliyenusurika alikaa nyuma , anasema mbele kulianza kujaa maji hata kabla mlango haujafunguliwa
Siyo kweli kuwa maji yanaingilia hapo?..Kwanza sehemu ya kutolea Tairi ina uwezekano mkubwa kuingiza maji maana tairi zilikuwa zimeisha toka.