Ni mjinga Fulani iviiAina hii ya watoa maada wana mchango mdogo sana kwa taifa...
we ndo mmmoja wa maafande mlioenda kuhudhuria uokoaji na smartphone zenuInasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Wakulaumiwa ni kitengo cha mawasiliano na wafanyakazi wote wa Airport bukobaMarubani na ma maid ni watu wa mwisho kutoka ktk ndege na walikuwa mbele wakifanya mawasiliano sasa unadhani maji yangewaacha salama
Yaan wewe ujuaji mwingi wakati huna unalo lijua ,ni wivu tu Ndio unakusumbuaElewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Fuatilia mazungumzo ya jamaa mmoja aliye salimika katika hiyo ajali anaongea kutoka hospital, nilikua nafikir kama wewe lkn baadae nikagundua kufungua mlango ndo ulikua msaada zaidi kuliko kuuacha.!Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
wivu mwezao kapata ajira serikaliniYaan wewe ujuaji mwingi wakati huna unalo lijua ,ni wivu tu Ndio unakusumbua
Unaambiwa ndege baada ya kutumbukia kwenye majia upande wa mbele maji yalianza kuingia na abiria walio kaa siti za mbele walianza kufunikwa na maji huku wa nyuma wakihaha kujiokoa (hayo ni maneno ya abiria aliye okolewa baada ya kuvunjwa mlango) sasa wewe wa nje huko ambaye hata ndege yenyewe hujawahi panda unaleta ujuaji wako
ndio baadae baada ya mlango kuvunjwa wakaanza kutolewa maana yake bila mlango kuvunjwa wangekufa maji wengi zaid maana maji yalisha anza kuingia ndani kabla hata ya mlango kubunjwa.
Acha ujuaji na roho ya wivu kama mwenzio kapata usianze kumaagia kunguni kwa sababu za kuokoteza hiyo ni roho ya shetani kabisa uliyo nayo
Eti wangevuta ndege kwenye maji mengi kwa akili yako ilivyo ndogo unadhani ingeelea sindio? huna akili ingawa unajiona unajua kufikiri.
Word!
Lina roho mbaya hilo lijinga yaan hapo linamuonea wivu dogo wa watu ndio maana kaandika tenankwa herufi kubwa ili ionekane ,ana roho ya kishetani kabisa huyo yash_ed ana wivu mbaya sana huyoHao abiria 26 wangepona bila huo mlango kufunguliwa ?
Unasema wangeivuta kwanza ? Seriously ? Kwa mda gani uliokuwepo na vyenzo gani ?
Akili hauna wewe
Ile ndege kuna uwezekano imetua engine zimezimwa, kama zingekuwa ON ile ndege wasingeikuta pale walipoikutaMlango usingevunjwa wangekufa kwa kukosa hewa. Ndege haina mfumo wa kuingiza hewa ndani naturally...lazima engine ziwake ndo hewa iingie..it's obvious engine zilizima ndege ilipokuwa kwenye maji. Na pia ukiangalia Ile pua ya ndege ilivyoharibika lilikuwa ni suala la muda tu ndege ingejaa maji
Anavyoongea ni kama ilitarajiwa idondoke hapo, hivyo wakawa wameandaa vifaa vutajiHao abiria 26 wangepona bila huo mlango kufunguliwa ?
Unasema wangeivuta kwanza ? Seriously ? Kwa mda gani uliokuwepo na vyenzo gani ?
Akili hauna wewe
AiseeeMnatuchanganya mara kijana alitoa msaada, mara aonekane yeye ndo kaingiza maji ndani, mbona kijana wakati akijojiwa anasema rubani alikuwa akimuelekeza avunje watoke ndo akazuiliwa na huyo mtu alokuwa pale?
Alafu ile ndege haikuwa mbali na nchi kavu inamaana kungekuwepo na vifaa vya uokoaji vya kisasa wangepona wengi.
Roho mbaya itakuua! Ndege ilishaanza kuingiza maji au unadhani ni kama yai lile kwamba lipo sealed?Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Na hapo ukifuatilia unawez kukuta mleta uzi kama sio mwanafamilia ya majaliwa basi rafiki yake au mvuvi mwenzie maana wivu wa aina hii sidhani kama ni wa kutoka mbali na watu wake wa karibu.wivu mwezao kapata ajira serikalini