Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #61
Rais huwa anaenda vitani frontline lakini kukagua na kupewa ripoti. Ila lazima hali ya usalama iwe imehakikishwa.Hivi raisi anaendaje vitani jamani? Is this possible .Tena front kabisa??
Watakuwa wamemuua watu wake mwenyeweRais huwa anaenda vitani frontline lakini kukagua na kupewa ripoti. Ila lazima hali ya usalama iwe imehakikishwa.
Hivi raisi anaendaje vitani jamani? Is this possible .Tena front kabisa??
Wanajeshi wake huyo Dikiteta Idriss hawakumlinda hadi anakufa mbele yao? Ana jeshi la hovyo sana.
Mmoja anajiitaga mbabe kanyooshwa na Covid akijidai eti yuko kwny vita vya kiuchumi.Bado Mbowe. Chama anakifanya kama mali binafsi!!!
Huyo Idris amekaa madarakani miaka 40... Amejitaka
kwanza kafa peke yake au kuna wanajeshi wamekufa pia kwenye hayo mapigano.....kama kafa peke yake ....wanajeshi wake ndo watakua wamemuuaWanajeshi wake huyo Dikiteta Idriss hawakumlinda hadi anakufa mbele yao? Ana jeshi la hovyo sana.
Kauawa na wanaomlinda
Yale ni Mapinduzi ya kijeshi ndio sababu baada ya Mauaji Jeshi lime chukua nchi badala ya Spika kama katiba yao inavyoelekeza
huyu marehemu hajaenda kupigana alienda kuwatembelea wanajeshi wake mipakani sehemu ambayo sio salama.
Vyombo havijaripoti kuhusu wengine. Kuna jambo linafichwakwanza kafa peke yake au kuna wanajeshi wamekufa pia kwenye hayo mapigano.....kama kafa peke yake ....wanajeshi wake ndo watakua wamemuua
Kuna uwezekano.Watakuwa wamemuua watu wake mwenyewe
kwanza kafa peke yake au kuna wanajeshi wamekufa pia kwenye hayo mapigano.....kama kafa peke yake ....wanajeshi wake ndo watakua wamemuua
Hiyo tathimini ya usalama ndo inazuia mtu asife.aliyekwanbia kifo kinazuiwa hivyo ni nani.Ukitoa cheo chake cha kisiasa huyo ni binadamu kama binadamu wengine na ilikua lazima afe kama wanavyokufa wengine hiyo ya kwenda uko ni sababu tu ya kifo chake na ilikua lazima aende ili akafe.Nilivyoona unajiita Detective J nikajua umepitia masuala ya usalama. Kumbe ni mropokaji tu. Rais mpaka anakwenda battle front bila tathimini ya kiusalama?
Wala havina mashaka mkuu,mbona wanaohusika ni mabeberu.Shida ni rasilimali mkuu.Nchi ikishakuwa na rasilimali,kwao hiyo ni laana.Wanataka wachukue bure au kwa bei ya kutupa,wakizuiwa tatizo lina anzia hapo.Na mbona walishasema hawataki Marais wazalendo wanaopenda wananchi wao?Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Lakini kaingia mwanawe Mahmat Idris Deby
Vyombo havijaripoti kuhusu wengine. Kuna jambo linafichwa
Kwa nini usikae kimya?Hiyo tathimini ya usalama ndo inazuia mtu asife.aliyekwanbia kifo kinazuiwa hivyo ni nani.Ukitoa cheo chake cha kisiasa huyo ni binadamu kama binadamu wengine na ilikua lazima afe kama wanavyokufa wengine hiyo ya kwenda uko ni sababu tu ya kifo chake na ilikua lazima aende ili akafe.
ushuzi tupu huuThe Mega-fool foolishly died of Covid-19, though his close circle have blanketed it with the failure of pacemaker.
Wewe umekaa kimya.maana ungeanza kuficha ujinga wako kwanza.Kwa nini usikae kimya?
Hajauawa na walinzi wake bali waasi wa FACT akiwa vitani kaskazini mwa Tchad kwenye milima ya Tibesti jangwani. Hata mtoto wake Mahamat Kaka naye alikuwa vitani sambamba na baba yake, na ndiye kampindua spika na kuchukua nchi kinyume na katiba. Kwahiyo aliyepinduliwa ni spika, si hayati Deby!