Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Hakuna vita ngumu kama kupigana na mwanajeshi asiye na sare
 
Hivi hizi habari unatoaga wapi make israel inachapika afu dunia nzima inandamana kuionea huruma palestina hii ni ajabu. Nikiangalia aljazira na maongezi yako naona vituko tu
Hata Russia kwenye TV alikuwa anachapika kwelikweeli..... Sijui kinachoendelea hawatoe Tena zile taarifa zao za vifurushi na vikoba mara sanctions... Viliishia wapi...!??
 
Unadanganyka na Aljazeera.

God Bless Israel
 
Hakuna vita ngumu kama kupigana na mwanajeshi asiye na sare
Hamas hawa hapa wanajulikana wewe unameza propaganda za Israel dalili za kushindwa hizo kwani hao watoto 9000 waliowauwa walikuwa na sare???
 

Attachments

  • IMG_8459.jpeg
    54.8 KB · Views: 2
  • IMG_8456.jpeg
    79.7 KB · Views: 2
Ona ulivyo haujielewi.
Unatuletea chanzo Cha habari Cha mossad.
UN wenyewe wamefanya uchunguzi na wanatoa ripoti kuwa wanaofariki wengi Ni wanawake na watoto.
Inamaana wewe unaekaa mchambawima una akili kuliko UN staff members?!
Huwa nacheka sana jamaa yeye yupo JF kwa ajili ya kubishana UN kuongea ukweli wamenyimwa viza za kuingia Israel, pia wanashambulia magari ya kubebea wagonjwa na ofisi.
 
Ona ulivyo haujielewi.
Unatuletea chanzo Cha habari Cha mossad.
UN wenyewe wamefanya uchunguzi na wanatoa ripoti kuwa wanaofariki wengi Ni wanawake na watoto.
Inamaana wewe unaekaa mchambawima una akili kuliko UN staff members?!
Hujajibu swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…