Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Mkuu kama kwa miaka hiyo unasema umemaliza mzumbe si haba kaumri katakua kameenda dndaSijui sababu ya uoga. Kila mtu namuona sio mwaminifu.. saikolojia yangu imekuwa na anxiety ya hali ya juu
Kwanza pole sana kufiwa halijawahi kuwa jambo rahisi.Habari wadau.
Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.
Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.
Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.
Nelson alikuwa anasomea uhasibu kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.
Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.
Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.
Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.
Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu
Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.
Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.
Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.
Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.
Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B
Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV
Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa bacteria kwenye ubongo waliosabishwa na HIV complications.
Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.
Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.
Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa madem sana mpaka napitiliza.
Ulivyoenda kuanza form one Ihungo ?Maana huko Bukoba HIV ilitawala."Ukipata UKIMWI ufe na wakuzike huko huko wasikulete nyumbani kabisa"
Huu ni mkwara wa bi mkubwa (RIP) alionipiga wakati nakwenda kuanza kidato cha kwanza sehemu moja iliyokuwa na UKIMWI hatari. Maneno haya sijayasahau mpaka leo na nilishasema kuwa nitakuja kupata UKIMWI kwa njia ambazo ziko nje ya uwezo wangu.
➡️➡️ Usiishi kwa hofu bali kula bata lakini kwa tahadhari. Na usiuze mechi hata kama pisi ni nzuri kuliko malaika!
Kuna Kitu Mungu anatupitisha Katika Maisha Yetu kama Fumbo. Ukiwa kijana Mdogo ukamaliza Chuo halafu ukapata Hela Nyingi lakini Bado akili yako ni Ya Ujana Utakufa Kifo Kibaya sana....
Mpaka 2002 ilikua bado ni IDM, pengine Hadi 20032005 ndio first granduands
WAhitimu wa kwanza kupata degree ilikuwa 2005Mpaka 2002 ilikua bado ni IDM,pengine Hadi 2003
Kihombo alimaliza form six 2006 Tosamaganga.
Kwahyo mtazamo wako unaamini Mungu hayupo ?
Elias wa tosa au sio..mwamba aliacha chuo udsm..anywayHabari wadau.
Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.
Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.
Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.
Nelson alikuwa anasomea uhasibu kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.
Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.
Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.
Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.
Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu
Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.
Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.
Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.
Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.
Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B
Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV
Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa bacteria kwenye ubongo waliosabishwa na HIV complications.
Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.
Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.
Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa madem sana mpaka napitiliza.
Ooh okKwa ninavyoamini mimi Mungu hayupo.
Najua imani juu ya Mungu imetokana na maandiko ya zamani. Biblia , quran etc
Maandiko hayo ni hadithi za watu walijaribu kushape jamii zao kwa kucontroll akili za watakaoamini.
Lakini hadithi hizo si za kweli kabisa.
Hakuna Mungu, Hakuna shetani
Ila kuna watu walioandika hadithi kwa kuumba viumbe hivyo vya kufikirika.
Kama huyo Mungu mwenye maguvu ameshindwa kumuondoa duniani Shetani wakati kamuumba yeye sisi binadamu tunaweza vipi kukaboliana na Shetani ?
Mungu ni powerless na fiction, yaani ni hadithi za juma na uledi
Habari wadau.
Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.
Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.
Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.
Nelson alikuwa anasomea uhasibu kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.
Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.
Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.
Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.
Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu
Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.
Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.
Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.
Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.
Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B
Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV
Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa bacteria kwenye ubongo waliosabishwa na HIV complications.
Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.
Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.
Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa madem sana mpaka napitiliza.
Jamani jamani umekuwa mkorofi hivi?Kunywa dawa kwa umakini
Fanya mazoezi usisahau matunda na chai ya viungo.
Wazee wa Cuba tushakuelewa!