Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

Kuna Kitu Mungu anatupitisha Katika Maisha Yetu kama Fumbo. Ukiwa kijana Mdogo ukamaliza Chuo halafu ukapata Hela Nyingi lakini Bado akili yako ni Ya Ujana Utakufa Kifo Kibaya sana..

Nimeona Vijana Wengi wakipata Kazi Baada tu ya Kuamaliza Chuo na kuanza kulipwa mil 1 kuendelea

1. Wanunuzi wakubwa wa Iphone na Laptop za Apple
2. Atapanga Nyumba ya Laki 2 kwa Mwezi (apartment)
3. Atanunua TV nchi 65
4. Makochi yake ya Ndani mil 1.5
5. Ataanza Kutafita Subaru au IST ya Kutambia Mjini
6. Pub na Viwanja Vingi vitakuwa Vyake
7. Mademu wengi atagonga

Maisha Haya Yote ni kutokana na Kutokuwa na Experience ya Kukosa Kazi au Kukosa Hela... Exposure ya Maisha Hawana Vijana ,hawajawahi Ishi Maisha Ya Shida wakajua Thamani ya Pesa Waipatayo ...Vijana Tubadilike
 
Habari wadau.

Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.

Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.

Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.

Nelson alikuwa anasomea uhasibu kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.

Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.

Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.

Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.

Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu

Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.

Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.

Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.

Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.

Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B

Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV

Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa bacteria kwenye ubongo waliosabishwa na HIV complications.

Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.

Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.

Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa madem sana mpaka napitiliza.
Kwanza pole sana kufiwa halijawahi kuwa jambo rahisi.
Hawa wanaoleta mzaha wasamehe,
Nimehuzunika kama nakuona maana najua kufiwa,
Asiku danganye mtu kufiwa kuna uma.
Kama inawezekana badili mazingira utafute marafiki wapya usikae mwenyewe muda mwingi. Pole sana.
 
"Ukipata UKIMWI ufe na wakuzike huko huko wasikulete nyumbani kabisa"

Huu ni mkwara wa bi mkubwa (RIP) alionipiga wakati nakwenda kuanza kidato cha kwanza sehemu moja iliyokuwa na UKIMWI hatari. Maneno haya sijayasahau mpaka leo na nilishasema kuwa nitakuja kupata UKIMWI kwa njia ambazo ziko nje ya uwezo wangu.

➡️➡️ Usiishi kwa hofu bali kula bata lakini kwa tahadhari. Na usiuze mechi hata kama pisi ni nzuri kuliko malaika!
Ulivyoenda kuanza form one Ihungo ?Maana huko Bukoba HIV ilitawala.
 
Kuna Kitu Mungu anatupitisha Katika Maisha Yetu kama Fumbo. Ukiwa kijana Mdogo ukamaliza Chuo halafu ukapata Hela Nyingi lakini Bado akili yako ni Ya Ujana Utakufa Kifo Kibaya sana....

Upo sahihi mkuu.

Maisha hayo yanatuondoa sana vijana.

Hao jamaa zangu wa big four walikuwa na hela sana enzi hizo. CPA walizipata mapema.. wakawa wanapiga sana dili za nje za kufungia watu mahesabu
 
Kwahyo mtazamo wako unaamini Mungu hayupo ?

Kwa ninavyoamini mimi Mungu hayupo.

Najua imani juu ya Mungu imetokana na maandiko ya zamani. Biblia , quran etc

Maandiko hayo ni hadithi za watu walijaribu kushape jamii zao kwa kucontroll akili za watakaoamini.

Lakini hadithi hizo si za kweli kabisa.

Hakuna Mungu, Hakuna shetani

Ila kuna watu walioandika hadithi kwa kuumba viumbe hivyo vya kufikirika.

Kama huyo Mungu mwenye maguvu ameshindwa kumuondoa duniani Shetani wakati kamuumba yeye sisi binadamu tunaweza vipi kukaboliana na Shetani ?

Mungu ni powerless na fiction, yaani ni hadithi za juma na uledi
 
Habari wadau.

Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.

Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.

Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.

Nelson alikuwa anasomea uhasibu kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.

Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.

Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.

Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.

Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu

Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.

Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.

Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.

Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.

Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B

Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV

Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa bacteria kwenye ubongo waliosabishwa na HIV complications.

Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.

Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.

Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa madem sana mpaka napitiliza.
Elias wa tosa au sio..mwamba aliacha chuo udsm..anyway

Tumia ndom kaka.
 
Kwa ninavyoamini mimi Mungu hayupo.

Najua imani juu ya Mungu imetokana na maandiko ya zamani. Biblia , quran etc

Maandiko hayo ni hadithi za watu walijaribu kushape jamii zao kwa kucontroll akili za watakaoamini.

Lakini hadithi hizo si za kweli kabisa.

Hakuna Mungu, Hakuna shetani

Ila kuna watu walioandika hadithi kwa kuumba viumbe hivyo vya kufikirika.

Kama huyo Mungu mwenye maguvu ameshindwa kumuondoa duniani Shetani wakati kamuumba yeye sisi binadamu tunaweza vipi kukaboliana na Shetani ?

Mungu ni powerless na fiction, yaani ni hadithi za juma na uledi
Ooh ok
 
Habari wadau.

Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia.

Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission.

Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana ila hawa watatu wameniathiri kisaikolojia. Mmoja aliitwa Nelson mwingine Frank na mwingine Abdul.

Nelson alikuwa anasomea uhasibu kozi yake ilikuwa maarufu sana kwa vichwa wanaita BAF, Nelson ndie alikuwa best students wa masomo ya biashara kidato cha sita. Alipewa zawadi kwa kuongoza nchi nzima masomo hayo.

Frank alikuwa anasoma Law na yeye alikuwa kichwa sana.

Na Abdul nae alikuwa anasoma BAF na yeye alikuwa vizuri sana darasani.

Baada ya kumaliza chuo nelson alipata kazi kampuni maarufu za uhasibu wanaziita big four.. then akahamia TRA.

Frank alipata kazi baada ya chuo kama mkufunzi ama lecture wa chuo kimoja cha uma maarufu

Abdul na yeye alipata kazi Big four nyingine.. tofauti na ile alienda nelson.

Mimi pia nilipata kazi bank moja maarufu siitaji jina.

Baada ya chuo maisha yalikuwa bata sana maana marafiki wote tulikuwa jijini dar es salaam. Kila siku tunakutana tunakula bata sana siku za weekend.. maana tulipanga nyumba maeneo jirani.

Kwa ufupi marafiki zangu wote walifariki vifo vilivyofuatana.. ndani ya miaka mitano wakaondoka wote na kuniacha mpweke.

Alianza nelson alifariki kwa ini kufeli baada ya kupata hepatitis B

Akaja abdul na yeye alifariki kwa TB ambayo ilisababisha na HIV

Wa mwisho kabisa akawa Frank na yeye alifariki kwa bacteria kwenye ubongo waliosabishwa na HIV complications.

Nje ya hao Pia nilikuwa na rafiki yangu mwingine mwalimu nilijuana nae wakati ananifundisha Physics A level anaitwa Elias Na yeye na yeye akaja kufariki kwa sababu zinazosemekana ni HIV complications.

Ukweli vifo hivyo vya jamaa zangu vimeniathiri sana kisaikolojia.

Nimekuwa na huzuni sana na uoga mkubwa sana. Najiona Naogopa madem sana mpaka napitiliza.

Elias kihombo atakuwa au mbona kama nimeshakujua wewe?
 
Back
Top Bottom