Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

Acha wenge na kukurupuka fuatulia conversation na huyo jamaa
 
We ndo mjinga TB ni moja ya dalili ya HiV
HIV maana yake ni ukosefu wa kinga mwilini na unapelekea upate magonjwa mengine kirahisi kama TB

Mimi nilishawah uguza mgonjwa wa TB cha kwanza kabisa hospitalini walimpima ukimwi
Mkuu ume jam sana au ndio ushapata Streptococcus Meningitis [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]..maana ndio mana nime quotes eti kwa maelezo yako unasema TB ilipelekea HIV ....tangu lini TB ndio inaanza??

kinachoanza ni HIV then kinachofuata ni kitu kitalaam kinaitwa Opportunistic Infections "Magonjwa nyemelezi" ambapo kinga ya mwili inashuka ..ikishuka ndio individual anakua susceptible kirahisi kupata TB. na magonjwa mengine madogo madogo ambapo yakiwa mengi mwili hauwezi kuhimili matokeo yake kudhoofika.

Sasa wee unakuja na vistory vyako huko[emoji23][emoji23] unaleta ufwala eti TB ikapelekea HIV acha kudanganya umma bwana mdogo...wenzenu wakiwa darasani wee ulikua unajichukulia sheria mkononi [emoji23][emoji23]
 
Ila tuache utani! Kukojoa ndani kuna raha yake japo ngoma sio poa
 
Vijana tukiwaambia wachane na ngono hawataki wacha wafe tuu na hiv watuache wazee tunadunda mtaani 🤣🤣🤣🤣

Hao jamaa zako itakuwa walikuwa wanalipizia kukosa mbususu chuo ndio wakafakamia mpaka pasipofakamiwa 🤣🤣🤣🤣
 
Inaonekana bado ni kijana mdogo usiyejua maisha ni nini alafu unaonekana hujawahi shika fedha nyingi kwenye maisha yako
Sikulaumu
Mfano Kuna watu ni wastaarabu ila wenzao wao wamewaletea ukimwi utawalaumu na kuwaita washamba
Punguza ujinga dogo ,nimeshika sana pesa ...Ndio maana nikakuambia wewe ni wale washamba .

Soma kwanza uelewe Walivyopata UKIMWI ,ugonjwa huo kwa zinaa unapata watu wasiojielewa hata usemeje HIV inapata watu weny uwezo mdogo kwa kushindwa kujicontrol ,kuendeshwa na tamaa.

Pesa haikai kwa washamba kama wewe ,mwishoe unakufa kwa magonjwa ya aibu.

Mtu mweny pesa anaweza kupeleka watu wakala bata ila yeye hawezi ,bata kwa watoto kama nyie under 35 years
 
Acha mawazo hayo mara moja...

Aliwazalo mjinga ndilo humtokea...

Kifo kipo ila maisha lazima yaendelee...

Enjoy ila kuwa makini.

NB: Sijakutuma ukachomeke na kuchomoa
Kwanini usi olewe naye tuu ukamtuliza hofu moja kwa moja mtoto wa mtu. Ili awe ana chomeka na kuchomoa kwa amani na utulivu. Fanya hivyo Mkuu
 
Naungana na mawazo yako.

Ukimwi unawapata watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri hasa kama ni kwa njia ya Ngono.

Kama ulivyosema mtu mwenye hela zake ni ngumu kuupata maana kitendo cha kuwa na hela kinaonesha ni Mtu serious ktk maisha unless ziwe pesa za Uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…