King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hapo Mwananchi wanatuma ujumbe fulani kwa wasomaji ....we huelewi?!
Maamuzi ya busara ni kuwa kimya , Mana wakitangaza tu manyanyaso na unyanyapaa unashamiri kweli. Tanzania hakuna korona overViongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Kigogo ni nani!? Hata Cpwa ni Kigogo, au Mwandishi kaamua tu afanye Uchochezi!?
Jana TANZIA zilikuwa nyingi aisee, leo Mwenyezi Mungu tunakuomba utusaidie tupite salama, wenye kuvaa barakoa msiache kuvaa.
Ulitaka hiyo habari isomekaje mkuu?Author wa hilo gazeti ameona ni sifa kuchapicha gazeti namna hiyo au ?
Waandishi wa siku duh ! E Mungu tuepushe kwenye hili janga.
Kachapisha uongo????Author wa hilo gazeti ameona ni sifa kuchapicha gazeti namna hiyo au ?
Waandishi wa siku duh ! E Mungu tuepushe kwenye hili janga.
Mkuu angetoa elimu ingependeza zaidi, sio kutumia vifo. Kwani hili jukumu la kujikinga na huu ugonjwa ni lazima litolewe na kiongozi tu ?Ulitaka hiyo habari isomekaje mkuu?
Wananchi wa kawaida wakifa hawatangazwi, kwanini ujumbe usifikishwe kupitia kupukutika kwa watu mashuhuri nchini?
Au Kama hujaelewa dhima kuu ya hiyo habari bhasi uitafakari kwa mara nyingine. Kaitendea haki taaruma yake na kiapo chake
Sio sawa kabisa kutumia vifo, ili jukumu ni la kila mmoja sio lazima maamuzi ayatoe kiongozi.Kachapisha uongo????
Wananchi kielimu hatupo sawa, kuna watu Kiongozi wao Mkuu akisema kitu huwaambii kitu, zaidi ukiendelea kuwaambia unaweza chezea kichapo, hao tunawasaidiaje?Sio sawa kabisa kutumia vifo, ili jukumu ni la kila mmoja sio lazima maamuzi ayatoe kiongozi.
Tujiulize kwanza ss tumechukua hatua gani kujikinga na hili janga linaloendelea kuitesa dunia. Ndipo tuanze kukosoa.
Imeisha hiyo
Ni kweli kabisa corona si mjinga,huwezi kujazana kama vile kwenye mikutano ya kampeni bila kuachiana nafasi hata kidogo wala kuvaa barakoa huku mkishindana nyomi et corona ilipungua,aisee! hapo corona lazima ifanye kazi yake ya kuuwa tu.Corona si mjinga kama wewe ufikiri ya kuwa ana siasa,yeye kazi yake ni kuua tu!
Mkuu kumbuka mpaka numbers zimetolewa mitandaoni na TCRA kwamba ukiona mtu anazungumzia uwepo wa huu ugonjwa nchini screenshot sms zake na number then utume katika hizo number alokezi. Je kwa mustakabali huo ulitaka auongelee huo ugonjwa wakati serikali haitambui uwepo wa Covid-19?Mkuu angetoa elimu ingependeza zaidi, sio kutumia vifo. Kwani hili jukumu la kujikinga na huu ugonjwa ni lazima litolewe na kiongozi tu ?
Unamuomba Mungu gani akusaidie kwenye hili janga?Mungu huyu huyu aliyemuomba Magufuli kuondoa corona?Jana TANZIA zilikuwa nyingi aisee, leo Mwenyezi Mungu tunakuomba utusaidie tupite salama, wenye kuvaa barakoa msiache kuvaa.
Waache wapambane na hali zao, siku watakapoelimika ndipo wataelewa hawakuwa sahihi kwa 7bu binadamu tunajifunza kulingana na makosa.Wananchi kielimu hatupo sawa, kuna watu Kiongozi wao Mkuu akisema kitu huwaambii kitu, zaidi ukiendelea kuwaambia unaweza chezea kichapo, hao tunawasaidiaje?
Kigogo wa music ndiyo.Kigogo ni nani!? Hata Cpwa ni Kigogo, au Mwandishi kaamua tu afanye Uchochezi!?
Sidhani.. at least elements za kugomea yale yaliyofanyika kwenye uchaguzi uliopita zingejionesha ningesema labda au ni swala la muda. Kuna watu wanaendelea kunenepa na kujitunisha kwa ukondoo wa watanzania😆😭P
Ni suala la muda tu
Ila huyu mtu Mungu anamuonaEti kagonjwa kadogo! Sasa kama ni kagonjwa kadogo mbona kaikimbia Dodoma?
Amina!Viongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Nasema uongo ndugu zanguuu?
Corona haitaki maelezo mengi either uuwahi au ukuwahi kwa kifo tu 😆Corona si mjinga kama wewe ufikiri ya kuwa ana siasa,yeye kazi yake ni kuua tu!
Kiongozi yupi hapo ambaye anasikilizwa na watu wake kwa kila atakacho ongea? View attachment 1686448Wananchi kielimu hatupo sawa, kuna watu Kiongozi wao Mkuu akisema kitu huwaambii kitu, zaidi ukiendelea kuwaambia unaweza chezea kichapo, hao tunawasaidiaje?