Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Vifo vya zamani hivi vitakisaidia Nini? Hebu endelea kizitafuta Hela, kwanza wenye hao ndugu walishaondoa matanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu anavuruga lengo la mleta mada ili watu wasifutilie kile mleta mada anataka kujua. Yawezekana anajua Kila kitu!Unatulipa shilingi ngapi kwa kutufangasha kwenye kiroba?Tesla at 1980's? Really?🙏😂😂😂😂
Kama nawe, Mkuu umekula Kona kwenye maswali ya Mleta mada, basi inawezekana huo "mchezo" haukuwa wa kitoto.Leo nimeamua tu kuepuka kikombe hiki, nikitaja mengi sana kuna wasiojulikana watanijua mpaka jina.
Naona watu wameingia mitini kwa mada hiiKama nawe, Mkuu umekula Kona kwenye maswali ya Mleta mada, basi inawezekana huo "mchezo" haukuwa wa kitoto.
Kah! Manguli wote wa viwanja vya O'bay mmesepa speed ya jet!!! Kulikoni? Nani anawatisha???Dah....
Hivi malocho yuko wapi
Aise watu tumepotezana kabisa
Ova
M.maloch alisomaga agakhanMaloch Mzee au watoto? Kama ni Miriam alisha kwu amke wa mtu anaishi Germany nadhani na haya wale wadogo zake wako huko .
Atakuwa germanyM.maloch alisomaga agakhan
Watu tumepoteana
Ova
Pia wazungumzie na vijana waliokufa ktm miaka hiyo wanaotokea maeneo ya Mbagala Kiburugwa, Manzese, Tandika, kwa Mparange, Mabibo, Tabata dampo, Chanika, Mvuti na maeneo mengine ya uswahilini.Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .
Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?
Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?
Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?
Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Mimi nitawajuaje wakati sijawahi ishi huko? Mimi nimezaliwa Dar na kukulia Oysterbay, sasa nitawezaje kujua hao wa huko?Pia wazungumzie na vijana waliokufa ktm miaka hiyo wanao tokea maeneo ya mbagala kiburugwa, manzese, Tandika, kwa mparange, mabibo, Tabata dampo, chanika, mvuti na maeneo mengine ya uswahilini.
...Uzi Umegeuza ! Swali la Mtoa Uzi halijibiwi ! [emoji57][emoji57]Duh, wewe ,unataja wau hapo nime watambua ni Warioba ,Malocho , kwa malocho sikuwahi kwenda kwnye party ila Miriam alisha wahi fanya party ya vijana yani ya Ki brazamen na masista doo, ilifanyika kwa kina Manyeng'a yani ili combintiona ya watu wawili ilikuwa yani Sophia na Miriam, enzi hizo tunaiga mambo ya Kimarekani ya House Pary the movie kama zile zilizo fanyika kwa kina Eddy Sapi .
Komanya ni wepi yule Waziri ? nakumbuka aliamia mwisho mwisho kabisa huku Oysterbay ya sisi wa Kongwe na sikumbuki kama klikuaga na zile party ,
Mahiga ( balozi) sikujua alikaa Obay, kuna Mahiga kaka yake alikaa Oysterbay Mtaa wa Hill road , Mahga balozi alikaa Obay zamani sana miaka ya late 70.s kabla ya kwenda Canada , sikujua kama alikaa Obay .
Bakilana, sikujua kulikua na Bakilana wengine wa huko Mzinga way ,kunaBakilana wale alio kaa huku kama Kenytatta drive au Kaunda dr na kuna hawa walio kaa Msasani road pembeni ya Oysterbay Primary school ,hao wa Mzinga way siwakumbuki .Mtei ni yupi huyo? nlidhani Obay na kumbuka or najua kila mtu.
Party za Warioba zipi hizo , zile akiwa Waziri mkuu ? nakumbuka nilienda paty kama Mbili au tatu , moja sijui ilikua ni birthday ya JUne ,kitu kama hicho , wakiwa wamehamia hapo kwa JUmba la Waziri mkuu ,nili attend hizo ila hazikua nyingi na huyo friend wako wa Geneva ni nani ni ,Simon ? maana Smon alikuwa anakuwepo kwenye party hizo .
Mengi akiishi Msasani Road hiyo longtime sana aisee, hata niko primary school ,hapo Obay , tukikaa kwnye mbuyu pale akipita na Mercedez ndio wana sema wadau huyo mzee ni tajiri Oysterbay Nzima, kumbe uhalisia ni Tajiri Tanzania nzima .
TZA na toyota stoud dah, wachana karibu wote walikua na hizo pick ups ,sijui waliambizana , ilafika wakati , kila familai wana pickup huko obay, matokeo yake wachache tuu ndio wakaw na magari ya ukweli ya vijana kutanulia coco beach ( enzi hizococo beach Jumapili wana jaa watoto wa kishua tuu na kutanuliana mavazi na magari) naw alio tesa na mabari ya ukweli Merrcedez Audi,BMW na kumbuka ni kina Janguoz , Abebez,Yuyu,Mandaraz, Yule jma wa Masaki , walimuuaga Manzese wakidhani ni jambazi, ( nime msahau kina alikua wa Ki Mix wa kiarabu) na wengine wachache nime wasahau kwa hapa .
Ajabu Motie sikumjua kabisa , wala sikuw ahi muona kwnye party zozote za vijana wala coco beach, Motie nime kuja mjua ( Kumuona kwnye kuparty) baada ya kuanza date huyu Seko , tena niliza kumuona Bar One, nilikua na msikia tuu ila kwnye party scenes nilikua simuoni ,s ijui ilikua tuna pishana vipi mpaka nilikua simjui hata ana fananaje, sikumbuki nani nilikua na anz amuona zaidi ni Mdogo wake or Motie .
Abbad Mwinyi hapo nilikua nadhani nilisha Ondoko Bongo , sikumbuki matanuzi yake ila nakumbuka matanuzi ya Abdul Msomali na Albert pia .
Party za kina Eddy Sapi, zilkua kiboko , tulikua tunajiona tuko America kabisa ,kwa jinsi tulivyo kua tuna jidanganya kwa kuiga umarekani kupitia hizo Movies za House Prty .
Wazee wetu Oyesterbay, walikua wana mkosoa sana Mzee Adam Sapi kwa kuruhusu party hizo kufanyika nyumbani kwake, kuruhusu vijana kufanya party bila usimamizi wa wazee.
Kuna siku ilifanyika party hapo the Green,Osyterbay ( Mabembeani) , watu tumesha jiandaa ana kufika hapo , tunakuka mapolice wamejaa na party ime fungwa, kumbe wazee wa Oysterbay wali gundua sijui mnoko gani aliwatonya , basi wazee waka contact Mzee mmoja alikua sijui na cheo gani cha Police anaitwa Mwaitenda (Marehemu) basi akaamuru police wakaja hapo kuzuia party, watu tumesha pigilia Reebok zetu ( High Tops) enzi hizo ndio balaa tena baba kaleta toka UK , tumesha amua wakomesha mabishoo filani ambao walikua wanajiona wanajua sana kupigilia vitu vya Ukweli, ila wao wamevaa FILA sisi tuna Reebok na jensz na Tshirts za Ukweli toka majuu , ilikua tukiingia lazima ugeuke maana enzi hizo viu vya nje ni vichache sana na mpaka mtu Uletewe toka nje ,lasivyo utavaa yuliita "Dar Combined" , yani kila mtu anacho , sasa ujania ilikua ukiingia sehemu unapiga kitu tofauti , uliwakomesha mabishoo fulani fulani, ( Mnajijua kama mna soma hapa ) basi tukatangaziwa hapo kwamba Party hakuna na wote watawanyike kurudi majumbani ,duh, sijui MaDJ ndio walikua kina Abel Siwale (Marehemu) na organizers walikuona Mmoja wapo Franco Mtui (Marehemu), ikawa tafrani tuu , kilammoja hajui nini kifanyike .
Basi watu tukawa so dissapinted , ila kabla hatujaaza kurudi tukasikia wana sema kwamba Eddy Sapi kaenda muomb baba yake tufanyie party kwao, na baba yake kakubali, acha bOnge la shangwe lifanyike ,wote tuka ahamia huko kwa Sapi ( Ilikua party kama ya pili kufanyika hapo) ,ila huw ana shindwa elewa watu ulikua tunapataje taarifa na kulikua hakuna cellphone?, basi Wababa zetu , waka kasirika sana waka kemea vikali Mzee Sapi kuruhusu hizo party kufanyika hapo , lakini wapi tupa piga shangwe mpaka late night .
Beach parties, hizo zilikua za kishua hapo coco beach, hakuna wahuni, ,sijui nani alikuja wa tonya watoto wa Manzese, ikaja kuwa balaa, beach parties zikaja vamiwa na wahuni toka Manzense ( enzi hizo Manzege ni ina wahuni hata Mbagara wanasubiri na Mbagara enzi hizo hata hatuijui na sijui kama ilikuwa na watuw anaishi huko nadhani ilikua pori ) unakuta usiku ziadi ya hata 500 wahuni wakitembea kwa miguu kuja beach Usiku kwnye beach party na ndiopo zikaja acha kufanyika , bila kusaghau zile Pickniks za kibisho , ezi hizo tuna shobo na totoz za Zanaki na Shaban robert.
Miaka ile tume kula maraha sana ,wengine tulidhani labda kukulia America tungekua na fun zaidi, ila baada ya kwwenda US nakuona teenagers wanavyo enjoy life kinamna yao, nikasema Bongo nilikuwa na enjoy zaidi kushinda hawa wahuku ,maana age ina walimit kwnye mambo mengi sana , Bongo ilukua tunajiachia ka raha zote .
Kazi kweli kweli jibu hawaleti...Uzi Umegeuza ! Swali la Mtoa Uzi halijibiwi ! [emoji57][emoji57]
Yes nataka nijue nini kilitokea why vifo hivyo vilifanana ila vilipishana kw amiaka kadhaa.Unataka majibu mzee
Ova
Chuki kati ya wenye nacho na wasio nacho, wivu, roho mbaya ukichanganya na umasikini, ni ugonjwa mbaya sana.Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .
Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?
Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?
Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?
Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Mimi naona ulikuwa ujana wao tu wa wakati ule na mazingira waliyokuwepo na mambo waliyokuwa wanafanya mkuuYes nataka nijue nini kilitokea why vifo hivyo vilifanana ila vilipishana kw amiaka kadhaa.
NADHARIA TU SIO UHAKIKAMiaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .
Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?
Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?
Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?
Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Sijakuelewa kabisa, inahusianaje na mada niliyoweka.NADHARIA TU SIO UHAKIKA
UNAJUA kama baba zao WALIKUA na nafasi FULANI kubwa serikalini halafu wakawa wanaongea au kuwandaa watoto hao KWA malengo makuu ya kushika nafasi nyeti baadae Bas hayo hutokea KWA watoto YAANI Baba huchonaganisha watoto na vitengo FULANI au majasusi FULANI bila kujua!!
Japo hicho ninachodhani kinaweza kuwa kilifanyika bila ustadi au teknolojia duni sana ya kipindi hicho!!
Kwanini naandika haya!!?
MAKONGORO NYERERE
Aliwahi lalamika sana kuhusu marafiki wabaya waliomuharibia future yake huku akimsifu mwinyi junior KWA kuepuka marafiki wabaya HADI akawa Mkubwa nchini!!!
SASA JARIBU KUFIKIRI
KWA familia kama ya NYERERE ni ngumu kufanya kama hicho kilichofanyika hapo osterbey KWA muono wangu coz ile ni protected famili lakini waliamua ku spin wale watoto KWA njia nyingine kidogo ndio maana HADI leo ile familia haijatoa waziri tu,ina maana hilo ni KWA Bahati mbaya!!?KWA NADHARIA yangu huo ni mpango kazi!!
Haya ni maoni tu kama ya wengine!!
Ndio ulikua ujana, ila tuu niliaka kujua nini kilitokea ?Vifo hivyo havihusiani kabisa na mambo sijui ya kisiasa, kwanza walio fariki walikua vijana wa dogo na hakuna aliye iyekuwa na nafasi serikalini .Mimi naona ulikuwa ujana wao tu wa wakati ule na mazingira waliyokuwepo na mambo waliyokuwa wanafanya mkuu
Ova
Kipindi hicho hakukuwa na hizo chuki unazo zisema ,enzi za Nyrere kulikua hakuna tofauti kubwa sana kati ya matabaka, hivyo hizo chuki labda useme kwa sasa.Chuki kati ya wenye nacho na wasio nacho, wivu, roho mbaya ukichanganya na umasikini, ni ugonjwa mbaya sana.
Sasa watoto wa Nyerere wawe na shida na watu kwa sababu zipi. Watoto wenyewe hawana time na kujiingiza na masuala ya biashara kubwa za nchi nkNADHARIA TU SIO UHAKIKA
UNAJUA kama baba zao WALIKUA na nafasi FULANI kubwa serikalini halafu wakawa wanaongea au kuwandaa watoto hao KWA malengo makuu ya kushika nafasi nyeti baadae Bas hayo hutokea KWA watoto YAANI Baba huchonaganisha watoto na vitengo FULANI au majasusi FULANI bila kujua!!
Japo hicho ninachodhani kinaweza kuwa kilifanyika bila ustadi au teknolojia duni sana ya kipindi hicho!!
Kwanini naandika haya!!?
MAKONGORO NYERERE
Aliwahi lalamika sana kuhusu marafiki wabaya waliomuharibia future yake huku akimsifu mwinyi junior KWA kuepuka marafiki wabaya HADI akawa Mkubwa nchini!!!
SASA JARIBU KUFIKIRI
KWA familia kama ya NYERERE ni ngumu kufanya kama hicho kilichofanyika hapo osterbey KWA muono wangu coz ile ni protected famili lakini waliamua ku spin wale watoto KWA njia nyingine kidogo ndio maana HADI leo ile familia haijatoa waziri tu,ina maana hilo ni KWA Bahati mbaya!!?KWA NADHARIA yangu huo ni mpango kazi!!
Haya ni maoni tu kama ya wengine!!
Na yule aliyeanguka ghorofani Makumbusho kama hana tofauti na haoMiaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .
Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?
Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?
Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?
Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.