Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Safi kijana naona umepewa kazi ngumu baada ya ku report. Umeamua rusha file kwa wana jamii ujuwe vile uta anza kazi.
Ila Mimi ningekushauri kurudi ktk maeneo tajwa nakua mwana maeneo ya tukio huku ukijivika shida na matatizo ikiwezekana hata kuingia dampo. Ukianza jamii uwenda ukapata Yale Yale yamo kwenye file pindi itatokea I'd mnafanya nayo uchunguzi au walio kupa kaz.
Nendambali zaidi kutafuta maaskari walio kuwa siku ya tukio uwenda ni wazee sana ila watakufaa ukimaliza hapo ndio uje jamii tafuta zaidi taarifa. Jicho la Tatu.
 
MImi nitawajuaje wakati sija wahi ishi huko ? , mimi nime zaliwa Dar na kukulia Oysterbay , sasa nita wezaje kujua hao wa huko?
Hawa ninao wasema wote ni family friends yani wazazi wetu walijuana na hizo familia na kwa kua wote hao walio fariki ni kwakubwa kimiaka na mimi , hivyo hata kwnye misiba yao sikuweza huzuria kwa sababu kipindi hicho watoo hawa ruhusiwi kwenda misibani na hivyo hata kuuliza huwezi why fulani kafa lazima utadanganywa tuu, Msiba peke enilio hudhuria niwa Robert tuu ,maana nilkua teari teenager fulani.
Kipindi hicho hata kufika Mbagara ,Tandika, Tabata ,Chanika ,kwa Mparange, na kwingine uswahili mtu unaogopa kwenda au hata hukujui, mimi hadi leo nataka nikakuone Uwanja wa Fisi kila siku nakusikia tuu, najua kwa sasa kumebadilika ila kipindi chetu kulikua na sifa mbaya sana hata kufika huko unaogopa , sijui kuna wangapi wa toto wa Obay wamesha wahi fika Uwanja wa fisi , naamini ni wachache sana .
Basi kwakuwa hao watu sio muhimu humu jf ingependeza mkaunda group la watoto wa kishua wa obey then ukatumbukizia hiyo mada yako ya kuwaulizia hao waliorushwa huko maghorofani naamini ungepata taarifa sahihi kuwahusu. .

Sasa kila mtu kutoka eneo lake huko aje jf kuanzisha thred ya kuwaulizia waliokufa huko kwao jf itakuwa ni uwanja wa fujo......
 
Basi kwakuwa hao watu sio muhimu humu jf ingependeza mkaunda group la watoto wa kishua wa obey then ukatumbukizia hiyo mada yako ya kuwaulizia hao waliorushwa huko maghorofani naamini ungepata taarifa sahihi kuwahusu. .

Sasa kila mtu kutoka eneo lake huko aje jf kuanzisha thred ya kuwaulizia waliokufa huko kwao jf itakuwa ni uwanja wa fujo......
Utakuwa mchawi wewe, unaumia kusika habai za kishua na uzee wote huo, asa headline haikuhusu kwanini uingilie kusoma kupoteza muda? Niliweka eadig kabisa ujue mada hii ina husu nini, sasa wewe unataka kufanya nini humu kama una weza ku kasirishwa na kusikia habari za watoto wa kishua?
 
Safi kijana naona umepewa kazi ngumu baada ya ku report. Umeamua rusha file kwa wana jamii ujuwe vile uta anza kazi.
Ila Mimi ningekushauri kurudi ktk maeneo tajwa nakua mwana maeneo ya tukio huku ukijivika shida na matatizo ikiwezekana hata kuingia dampo. Ukianza jamii uwenda ukapata Yale Yale yamo kwenye file pindi itatokea I'd mnafanya nayo uchunguzi au walio kupa kaz.
Nendambali zaidi kutafuta maaskari walio kuwa siku ya tukio uwenda ni wazee sana ila watakufaa ukimaliza hapo ndio uje jamii tafuta zaidi taarifa. Jicho la Tatu.
Sikuelewi unacho andika, kama uzi unaona haukuhusu basi kaa kando, , ukianza uzi kuhusu ushoga na wewe utakuja dandia , si utasema haikuhusu , sasa hili suala la kishua wewe linakuhusu nini?
 
Safi kijana naona umepewa kazi ngumu baada ya ku report. Umeamua rusha file kwa wana jamii ujuwe vile uta anza kazi.
Ila Mimi ningekushauri kurudi ktk maeneo tajwa nakua mwana maeneo ya tukio huku ukijivika shida na matatizo ikiwezekana hata kuingia dampo. Ukianza jamii uwenda ukapata Yale Yale yamo kwenye file pindi itatokea I'd mnafanya nayo uchunguzi au walio kupa kaz.
Nendambali zaidi kutafuta maaskari walio kuwa siku ya tukio uwenda ni wazee sana ila watakufaa ukimaliza hapo ndio uje jamii tafuta zaidi taarifa. Jicho la Tatu.
Ina maana wewe kila uzi lazima usome, utasoma uzi ngapi humu , ina maan huna maisha una kazi zaidi ya kusoma kila uzi hata usio kuhusu? Mbaka sasa uzi una viewers 4K , wote hao why wame soma kama hawajavutia na headline?
 
Ina wezekana maana enzi hizo Ung'eng'e ni either unasoma Olympio , Arusha School or familia mmetoka nje ubalozini , la sivyo ni kiswahili mtindo mmoja.
Enzi hizo standard ya elimu ilikuwa juu sana, kwa wasomi kuongea kiingereza hata darasa la 6 ni kawaida siyo sasa chuo kikuu kiingereza kinamshinda, zamani siyo mpaka uende international school, ni yeyote aliyesoma kidogo, alikuwa anatema yai
 
Alikuwa DG wa TRC Shirika la Reli
Isije kuwa ni hao hao wali kuja hamia huko Mzinga way , maana nakumbuka kama hao bakilana wa huku kaunda or Kenyatta , Baba yao alikuwa kama ni TRC na kama walikuja hama hapo na labda ndio wali hamia Mzinga way, kuna wale wavulana nime sahau majina yao kitu kama Julius nadhani nyumba yao ilikua na ule mnara wa Meli , kitu kama hicho .
 
Enzi hizo standard ya elimu ilikuwa juu sana, kwa wasomi kuongea kiingereza hata darasa la 6 ni kawaida siyo sasa chuo kikuu kiingereza kinamshinda, zamani siyo mpaka uende international school, ni yeyote aliyesoma kidogo, alikuwa anatema yai
Hahahahaha labda ulikuwa wa kishua zaidi na uka soma Olympio or Arusha School, wa kizazi chetu wengi wana struggle kuonge kingereza mpaka leo , walio soma shule za kawaida , lol
 
Duh, wewe ,unataja wau hapo nime watambua ni Warioba ,Malocho , kwa malocho sikuwahi kwenda kwnye party ila Miriam alisha wahi fanya party ya vijana yani ya Ki brazamen na masista doo, ilifanyika kwa kina Manyeng'a yani ili combintiona ya watu wawili ilikuwa yani Sophia na Miriam, enzi hizo tunaiga mambo ya Kimarekani ya House Pary the movie kama zile zilizo fanyika kwa kina Eddy Sapi .
Komanya ni wepi yule Waziri ? nakumbuka aliamia mwisho mwisho kabisa huku Oysterbay ya sisi wa Kongwe na sikumbuki kama klikuaga na zile party ,
Mahiga ( balozi) sikujua alikaa Obay, kuna Mahiga kaka yake alikaa Oysterbay Mtaa wa Hill road , Mahga balozi alikaa Obay zamani sana miaka ya late 70.s kabla ya kwenda Canada , sikujua kama alikaa Obay .
Bakilana, sikujua kulikua na Bakilana wengine wa huko Mzinga way ,kunaBakilana wale alio kaa huku kama Kenytatta drive au Kaunda dr na kuna hawa walio kaa Msasani road pembeni ya Oysterbay Primary school ,hao wa Mzinga way siwakumbuki .Mtei ni yupi huyo? nlidhani Obay na kumbuka or najua kila mtu.
Party za Warioba zipi hizo , zile akiwa Waziri mkuu ? nakumbuka nilienda paty kama Mbili au tatu , moja sijui ilikua ni birthday ya JUne ,kitu kama hicho , wakiwa wamehamia hapo kwa JUmba la Waziri mkuu ,nili attend hizo ila hazikua nyingi na huyo friend wako wa Geneva ni nani ni ,Simon ? maana Smon alikuwa anakuwepo kwenye party hizo .
Mengi akiishi Msasani Road hiyo longtime sana aisee, hata niko primary school ,hapo Obay , tukikaa kwnye mbuyu pale akipita na Mercedez ndio wana sema wadau huyo mzee ni tajiri Oysterbay Nzima, kumbe uhalisia ni Tajiri Tanzania nzima .
TZA na toyota stoud dah, wachana karibu wote walikua na hizo pick ups ,sijui waliambizana , ilafika wakati , kila familai wana pickup huko obay, matokeo yake wachache tuu ndio wakaw na magari ya ukweli ya vijana kutanulia coco beach ( enzi hizococo beach Jumapili wana jaa watoto wa kishua tuu na kutanuliana mavazi na magari) naw alio tesa na mabari ya ukweli Merrcedez Audi,BMW na kumbuka ni kina Janguoz , Abebez,Yuyu,Mandaraz, Yule jma wa Masaki , walimuuaga Manzese wakidhani ni jambazi, ( nime msahau kina alikua wa Ki Mix wa kiarabu) na wengine wachache nime wasahau kwa hapa .
Ajabu Motie sikumjua kabisa , wala sikuw ahi muona kwnye party zozote za vijana wala coco beach, Motie nime kuja mjua ( Kumuona kwnye kuparty) baada ya kuanza date huyu Seko , tena niliza kumuona Bar One, nilikua na msikia tuu ila kwnye party scenes nilikua simuoni ,s ijui ilikua tuna pishana vipi mpaka nilikua simjui hata ana fananaje, sikumbuki nani nilikua na anz amuona zaidi ni Mdogo wake or Motie .
Abbad Mwinyi hapo nilikua nadhani nilisha Ondoko Bongo , sikumbuki matanuzi yake ila nakumbuka matanuzi ya Abdul Msomali na Albert pia .
Party za kina Eddy Sapi, zilkua kiboko , tulikua tunajiona tuko America kabisa ,kwa jinsi tulivyo kua tuna jidanganya kwa kuiga umarekani kupitia hizo Movies za House Prty .
Wazee wetu Oyesterbay, walikua wana mkosoa sana Mzee Adam Sapi kwa kuruhusu party hizo kufanyika nyumbani kwake, kuruhusu vijana kufanya party bila usimamizi wa wazee.
Kuna siku ilifanyika party hapo the Green,Osyterbay ( Mabembeani) , watu tumesha jiandaa ana kufika hapo , tunakuka mapolice wamejaa na party ime fungwa, kumbe wazee wa Oysterbay wali gundua sijui mnoko gani aliwatonya , basi wazee waka contact Mzee mmoja alikua sijui na cheo gani cha Police anaitwa Mwaitenda (Marehemu) basi akaamuru police wakaja hapo kuzuia party, watu tumesha pigilia Reebok zetu ( High Tops) enzi hizo ndio balaa tena baba kaleta toka UK , tumesha amua wakomesha mabishoo filani ambao walikua wanajiona wanajua sana kupigilia vitu vya Ukweli, ila wao wamevaa FILA sisi tuna Reebok na jensz na Tshirts za Ukweli toka majuu , ilikua tukiingia lazima ugeuke maana enzi hizo viu vya nje ni vichache sana na mpaka mtu Uletewe toka nje ,lasivyo utavaa yuliita "Dar Combined" , yani kila mtu anacho , sasa ujania ilikua ukiingia sehemu unapiga kitu tofauti , uliwakomesha mabishoo fulani fulani, ( Mnajijua kama mna soma hapa ) basi tukatangaziwa hapo kwamba Party hakuna na wote watawanyike kurudi majumbani ,duh, sijui MaDJ ndio walikua kina Abel Siwale (Marehemu) na organizers walikuona Mmoja wapo Franco Mtui (Marehemu), ikawa tafrani tuu , kilammoja hajui nini kifanyike .
Basi watu tukawa so dissapinted , ila kabla hatujaaza kurudi tukasikia wana sema kwamba Eddy Sapi kaenda muomb baba yake tufanyie party kwao, na baba yake kakubali, acha bOnge la shangwe lifanyike ,wote tuka ahamia huko kwa Sapi ( Ilikua party kama ya pili kufanyika hapo) ,ila huw ana shindwa elewa watu ulikua tunapataje taarifa na kulikua hakuna cellphone?, basi Wababa zetu , waka kasirika sana waka kemea vikali Mzee Sapi kuruhusu hizo party kufanyika hapo , lakini wapi tupa piga shangwe mpaka late night .
Beach parties, hizo zilikua za kishua hapo coco beach, hakuna wahuni, ,sijui nani alikuja wa tonya watoto wa Manzese, ikaja kuwa balaa, beach parties zikaja vamiwa na wahuni toka Manzense ( enzi hizo Manzege ni ina wahuni hata Mbagara wanasubiri na Mbagara enzi hizo hata hatuijui na sijui kama ilikuwa na watuw anaishi huko nadhani ilikua pori ) unakuta usiku ziadi ya hata 500 wahuni wakitembea kwa miguu kuja beach Usiku kwnye beach party na ndiopo zikaja acha kufanyika , bila kusaghau zile Pickniks za kibisho , ezi hizo tuna shobo na totoz za Zanaki na Shaban robert.
Miaka ile tume kula maraha sana ,wengine tulidhani labda kukulia America tungekua na fun zaidi, ila baada ya kwwenda US nakuona teenagers wanavyo enjoy life kinamna yao, nikasema Bongo nilikuwa na enjoy zaidi kushinda hawa wahuku ,maana age ina walimit kwnye mambo mengi sana , Bongo ilukua tunajiachia ka raha zote .
Kweli uko nje long tym na swahili umesahau venye inaandikwa...
 
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Robert kama ni yule wa pale bongoyo sio kifo cha ajabu alikuwa handsome sana yule dogo sasa mke wa bosi nadhani alimtokea wakaanza mahusiano. Kifo chake za mwizi arubain. Alirushwa toka gorofani sawa ila baada ya kutobolewa sana na visu
 
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Yule mwingine alianza kujihusisha ma madawa ya kulevya ndio kifo chake kiliishia huko kwa ujumla alikuwa pumbafu sana shule hataki na ubishoo mwingi kula kulala
 
Back
Top Bottom