Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

NADHARIA TU SIO UHAKIKA

UNAJUA kama baba zao WALIKUA na nafasi FULANI kubwa serikalini halafu wakawa wanaongea au kuwandaa watoto hao KWA malengo makuu ya kushika nafasi nyeti baadae Bas hayo hutokea KWA watoto YAANI Baba huchonaganisha watoto na vitengo FULANI au majasusi FULANI bila kujua!!

Japo hicho ninachodhani kinaweza kuwa kilifanyika bila ustadi au teknolojia duni sana ya kipindi hicho!!

Kwanini naandika haya!!?

MAKONGORO NYERERE

Aliwahi lalamika sana kuhusu marafiki wabaya waliomuharibia future yake huku akimsifu mwinyi junior KWA kuepuka marafiki wabaya HADI akawa Mkubwa nchini!!!

SASA JARIBU KUFIKIRI

KWA familia kama ya NYERERE ni ngumu kufanya kama hicho kilichofanyika hapo osterbey KWA muono wangu coz ile ni protected famili lakini waliamua ku spin wale watoto KWA njia nyingine kidogo ndio maana HADI leo ile familia haijatoa waziri tu,ina maana hilo ni KWA Bahati mbaya!!?KWA NADHARIA yangu huo ni mpango kazi!!

Haya ni maoni tu kama ya wengine!!
Kwa wenye kufikiria..

Umeongea point!
 
Ndio ulikua ujana, ila tuu niliaka kujua nini kilitokea ?Vifo hivyo havihusiani kabisa na mambo sijui ya kisiasa, kwanza walio fariki walikua vijana wa dogo na hakuna aliye iyekuwa na nafasi serikalini .
Tetesi silizo kuwepo ni kwamba .
1. Makata aliuwawa kwnye party Upanga sababu ya bifu la watoto wa Oysterbay/Masaki dhidi ya watoto wa Upanga , Obay/Masaki tulikua juu wa kishua zaidi wa Upanga wakawa na bifu mademu zao wanatushobokea .
2. Angelica aliwawa baada ya kugundulika kulikua na ubadhirifu kwenye kampuni aliyo fanyia kazi, inasemekana alikua ni an Auditor ( sina uhakika na hilo kwa positin aliyo kuwa nayo ), hivyo waka rure her kumualika hotelini na ndiko waka muua kw akumrusha ghorofani .( Tetesi)
3. Robert aliwawa ina semekana ni wivu wa mapenzi .
Vyotehivyo havina uhakika , ndio maana nikauliza labda kuna wanao jua zaidi ishu ilikuwa nini pka vijana hao waka uwawa .
Duh, inaelekea uchunguzi uliishia kimya kimya familia zao zitakuwa zinaujua ukweli. Ingetokea kipindi hichi cha digital age na masocial media watu wangeandamana mtandaoni.

Na huko Upanga umesahau kifo cha yule mtoto baba alikuwa nguli masuala ya habari pia, mzee wake alishashikaga nyadhifa pia Serikalini.

Huyo ilisemekana alijiua

Scenario kama hizo hizo za vifo

Ova
 
Sasa watoto wa nyerere wawe na shida na watu kwa sababu zipi
Watoto wenyewe hawana time na kujiingiza na masuala ya biashara kubwa za nchi nk
Wamejiridhikia tu

Ova
Kwa habari za kuaminika ni kwamba kwenye ile tano MAKONGORO alikuwemo lakini me smile akawalalamikia wazee eti yeye no mwenyekiti ila hana meno akapewa karatasi afanye atakalo !akakata jinai la MAKONGORO akatia la mwezi wa kwanza!!!!

HADI kipipa alishangaa na wazee wengine wa chama!!
 
KWA habari za kuaminika ni kwamba kwenye ile tano MAKONGORO alikuwemo lakini me smile akawalalamikia wazee eti yeye no mwenyekiti ila hana meno akapewa karatasi afanye atakalo !akakata jinai la MAKONGORO akatia la mwezi wa kwanza!!!!

HADI kipipa alishangaa na wazee wengine wa chama!!
Duh...aise
Ila bora hajapewa...kwa wanaomjuwa
Makongoro big no ....
[emoji1]

Ova
 
Na yule aliyeanguka ghorofani Makumbusho kama hana tofauti na hao
Wewe huyo jamaa unamsoma mwenye mitandao, wote hatumjui , mimi na zungumzia watu ninao wajua, so huu uzi labda haukufai sababu huna idea na ninao wazungumzia ni kina nani.
Kabla hawa kina Diamond kukamata soko na kugeuza umaarufu kwa ku add glamour , zamani celebrities hawakua na mvuto, walionekana masikini na washamba ( haswa kw avijana wa Obay /Masaki hawakua na tme na mabendi waliona ni mambo ya uswahini na washamba ) ,, hivyo sisi wa Ushuani tulikua na celebrities wetu kwa maana ya Socialites, sasa huyo Makatta na Robert walikua famous na ndio stars wetu huko Obay, so misiba yao ilikua shocking kwa kila mtu aliye wajua , ndio sababu nasema ilikua ni big news ilikuwa
Ninajua humu kuna wengi wa Obay ,Masaki ,Ada Estare ,Upanga , Reagent Estate ,Mikocheni wanao jua nao wazungumzia na wapo walio kuepo wakati misiba hiyo inatokea ndio nasema na hao wanao zijui hizo familia na kuwajua marehemu na matukio hayo.
 
Duh,inaelekea uchunguzi uliishia kimya kimya familia zao zitakuwa
Zinaujuwa ukweli
Ingetokea kipindi hichi cha digital age na masocial media watu wangeandamana mtandaoni
Na huko upanga umesahau kifo cha yule mtoto baba alikuwa nguli masuala ya habari pia,mzee wake alishashikaga nyadhifa pia serikalini
Huyo ilisemekana alijiua
Scenario kama hizo hizo za vifo

Ova
Upanga hiyo miaka ya 80 au?, Yes kesi ya wauaji wa Angelica ili kwenda mahakamani na ninakumbuka mama yke Angelika alikua akihojia na mawakili wa watetezi waki mhoji maswali mazito ya kumuumiza , yule mama alikua ana ishiwa nguvu akitoka kwnye kiti , sijui hao jama waliishaje hiyo kesi , sijui kama walishinda au ilikuwaje.
 
Viwanja vyangu vyote hivyo.

I was out and about.

Maandazi Road ndiyo mama akikuita ukisikia tu "mtoto wangu mzuri..." unajua hii safari ya maandazi road inafuata hapa.

Unalitafuta Toyota Stout la TZA enzi hizo ulichanganye mafuta.

Haile Selassie ndiyo kuanzia St. Peters mpaka IST na Coco Beach, parties za mabalozi na kwa Warioba kama zote.

Mpaka nyingine siwezi kusema hapa.RIP Baba T for lifting me up in the compound.

Kilima nyege hapo nashuka kwenda kwa Bibi Masaki meeting up with my Geneva cousins to catch up, I make a left tMsasani Road nafikiri hapo, to the Bakilanas, na ubalozi wa Ireland huko, nyumba ya Mzee Bakilana ndiyo ipo mwisho wa Mzinga Way, tunatoka parties za alipokaa Mtei tunahamia kwa paries za Bakilana, tunakwenda kupita kwenye kilimanyege chenyewe. Tunaamua, tuende parties za Mzee Malocho, IST, Coco beach, za kwa Marcel Komanya au za balozi Mahiga? parties za posta au za bandari?

Au tunarudi Msasani Road kwa Ronald Mutie Mengi na kulianzisha Oysterbay Hotel huko na ufirauni wa Abbas Mwinyi?

Leo nimeamua tu kuepuka kikombe hiki, nikitaja mengi sana kuna wasiojulikana watanijua mpaka jina.
Sijui binti yake yupo wapi kwa sasa Dr hivi
 
Back
Top Bottom