kaunda wapi wewe mi nilikuwa jirani na sapiOk Bakilana wa Mzinga way sikuwafahamu niliwafahamu hawa wa kuhu Kaunda or Kenyatta drive na wle wa pale Msasni Road
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaunda wapi wewe mi nilikuwa jirani na sapiOk Bakilana wa Mzinga way sikuwafahamu niliwafahamu hawa wa kuhu Kaunda or Kenyatta drive na wle wa pale Msasni Road
Wewe ni bakilana? Jirani na Sapi? Ule mtaa wa Kenyatta or kaunda kwnye zile nyumba zenue mnara kulikua na Waafrica wanaishi hapo, hawakua Bakilana?kaunda wapi wewe mi nilikuwa jirani na sapi
Hv habari za vifo vya watu halafu unasema naumia upo sawa kweli,Utakuwa mchawi wewe, unaumia kusika habai za kishua na uzee wote huo, asa headline haikuhusu kwanini uingilie kusoma kupoteza muda? Niliweka eadig kabisa ujue mada hii ina husu nini, sasa wewe unataka kufanya nini humu kama una weza ku kasirishwa na kusikia habari za watoto wa kishua?
Watu wa ushuani kukumbukwa ni muhimu zaidi kuliko hao unaosema bro. Ni kama tunavyowakumbuka wale 5 waliokufa na submersible Canada na kutojali wahamiaji 100+ waliokufa Greece (wengine kati yao wametokea ushuani huko kwao Pakistan, nk).Pia wazungumzie na vijana waliokufa ktm miaka hiyo wanao tokea maeneo ya mbagala kiburugwa, manzese, Tandika, kwa mparange, mabibo, Tabata dampo, chanika, mvuti na maeneo mengine ya uswahilini.
Sawa mtoto wa kishua!...US , CA, GENEVADuh, wewe ,unataja wau hapo nime watambua ni Warioba ,Malocho , kwa malocho sikuwahi kwenda kwnye party ila Miriam alisha wahi fanya party ya vijana yani ya Ki brazamen na masista doo, ilifanyika kwa kina Manyeng'a yani ili combintiona ya watu wawili ilikuwa yani Sophia na Miriam, enzi hizo tunaiga mambo ya Kimarekani ya House Pary the movie kama zile zilizo fanyika kwa kina Eddy Sapi .
Komanya ni wepi yule Waziri ? nakumbuka aliamia mwisho mwisho kabisa huku Oysterbay ya sisi wa Kongwe na sikumbuki kama klikuaga na zile party ,
Mahiga ( balozi) sikujua alikaa Obay, kuna Mahiga kaka yake alikaa Oysterbay Mtaa wa Hill road , Mahga balozi alikaa Obay zamani sana miaka ya late 70.s kabla ya kwenda Canada , sikujua kama alikaa Obay .
Bakilana, sikujua kulikua na Bakilana wengine wa huko Mzinga way ,kunaBakilana wale alio kaa huku kama Kenytatta drive au Kaunda dr na kuna hawa walio kaa Msasani road pembeni ya Oysterbay Primary school ,hao wa Mzinga way siwakumbuki .Mtei ni yupi huyo? nlidhani Obay na kumbuka or najua kila mtu.
Party za Warioba zipi hizo , zile akiwa Waziri mkuu ? nakumbuka nilienda paty kama Mbili au tatu , moja sijui ilikua ni birthday ya JUne ,kitu kama hicho , wakiwa wamehamia hapo kwa JUmba la Waziri mkuu ,nili attend hizo ila hazikua nyingi na huyo friend wako wa Geneva ni nani ni ,Simon ? maana Smon alikuwa anakuwepo kwenye party hizo .
Mengi akiishi Msasani Road hiyo longtime sana aisee, hata niko primary school ,hapo Obay , tukikaa kwnye mbuyu pale akipita na Mercedez ndio wana sema wadau huyo mzee ni tajiri Oysterbay Nzima, kumbe uhalisia ni Tajiri Tanzania nzima .
TZA na toyota stoud dah, wachana karibu wote walikua na hizo pick ups ,sijui waliambizana , ilafika wakati , kila familai wana pickup huko obay, matokeo yake wachache tuu ndio wakaw na magari ya ukweli ya vijana kutanulia coco beach ( enzi hizococo beach Jumapili wana jaa watoto wa kishua tuu na kutanuliana mavazi na magari) naw alio tesa na mabari ya ukweli Merrcedez Audi,BMW na kumbuka ni kina Janguoz , Abebez,Yuyu,Mandaraz, Yule jma wa Masaki , walimuuaga Manzese wakidhani ni jambazi, ( nime msahau kina alikua wa Ki Mix wa kiarabu) na wengine wachache nime wasahau kwa hapa .
Ajabu Motie sikumjua kabisa , wala sikuw ahi muona kwnye party zozote za vijana wala coco beach, Motie nime kuja mjua ( Kumuona kwnye kuparty) baada ya kuanza date huyu Seko , tena niliza kumuona Bar One, nilikua na msikia tuu ila kwnye party scenes nilikua simuoni ,s ijui ilikua tuna pishana vipi mpaka nilikua simjui hata ana fananaje, sikumbuki nani nilikua na anz amuona zaidi ni Mdogo wake or Motie .
Abbad Mwinyi hapo nilikua nadhani nilisha Ondoko Bongo , sikumbuki matanuzi yake ila nakumbuka matanuzi ya Abdul Msomali na Albert pia .
Party za kina Eddy Sapi, zilkua kiboko , tulikua tunajiona tuko America kabisa ,kwa jinsi tulivyo kua tuna jidanganya kwa kuiga umarekani kupitia hizo Movies za House Prty .
Wazee wetu Oyesterbay, walikua wana mkosoa sana Mzee Adam Sapi kwa kuruhusu party hizo kufanyika nyumbani kwake, kuruhusu vijana kufanya party bila usimamizi wa wazee.
Kuna siku ilifanyika party hapo the Green,Osyterbay ( Mabembeani) , watu tumesha jiandaa ana kufika hapo , tunakuka mapolice wamejaa na party ime fungwa, kumbe wazee wa Oysterbay wali gundua sijui mnoko gani aliwatonya , basi wazee waka contact Mzee mmoja alikua sijui na cheo gani cha Police anaitwa Mwaitenda (Marehemu) basi akaamuru police wakaja hapo kuzuia party, watu tumesha pigilia Reebok zetu ( High Tops) enzi hizo ndio balaa tena baba kaleta toka UK , tumesha amua wakomesha mabishoo filani ambao walikua wanajiona wanajua sana kupigilia vitu vya Ukweli, ila wao wamevaa FILA sisi tuna Reebok na jensz na Tshirts za Ukweli toka majuu , ilikua tukiingia lazima ugeuke maana enzi hizo viu vya nje ni vichache sana na mpaka mtu Uletewe toka nje ,lasivyo utavaa yuliita "Dar Combined" , yani kila mtu anacho , sasa ujania ilikua ukiingia sehemu unapiga kitu tofauti , uliwakomesha mabishoo fulani fulani, ( Mnajijua kama mna soma hapa ) basi tukatangaziwa hapo kwamba Party hakuna na wote watawanyike kurudi majumbani ,duh, sijui MaDJ ndio walikua kina Abel Siwale (Marehemu) na organizers walikuona Mmoja wapo Franco Mtui (Marehemu), ikawa tafrani tuu , kilammoja hajui nini kifanyike .
Basi watu tukawa so dissapinted , ila kabla hatujaaza kurudi tukasikia wana sema kwamba Eddy Sapi kaenda muomb baba yake tufanyie party kwao, na baba yake kakubali, acha bOnge la shangwe lifanyike ,wote tuka ahamia huko kwa Sapi ( Ilikua party kama ya pili kufanyika hapo) ,ila huw ana shindwa elewa watu ulikua tunapataje taarifa na kulikua hakuna cellphone?, basi Wababa zetu , waka kasirika sana waka kemea vikali Mzee Sapi kuruhusu hizo party kufanyika hapo , lakini wapi tupa piga shangwe mpaka late night .
Beach parties, hizo zilikua za kishua hapo coco beach, hakuna wahuni, ,sijui nani alikuja wa tonya watoto wa Manzese, ikaja kuwa balaa, beach parties zikaja vamiwa na wahuni toka Manzense ( enzi hizo Manzege ni ina wahuni hata Mbagara wanasubiri na Mbagara enzi hizo hata hatuijui na sijui kama ilikuwa na watuw anaishi huko nadhani ilikua pori ) unakuta usiku ziadi ya hata 500 wahuni wakitembea kwa miguu kuja beach Usiku kwnye beach party na ndiopo zikaja acha kufanyika , bila kusaghau zile Pickniks za kibisho , ezi hizo tuna shobo na totoz za Zanaki na Shaban robert.
Miaka ile tume kula maraha sana ,wengine tulidhani labda kukulia America tungekua na fun zaidi, ila baada ya kwwenda US nakuona teenagers wanavyo enjoy life kinamna yao, nikasema Bongo nilikuwa na enjoy zaidi kushinda hawa wahuku ,maana age ina walimit kwnye mambo mengi sana , Bongo ilukua tunajiachia ka raha zote .
Dogo kammoon inuka hapo sofani ukamfunguliwe geti shemeji yako anapiga honi.HAICHEKESHI! mwenzako anaongelea VIFO vya vijana vya mfululizo na nini hatma yake, wewe unaleta MZAHA NA KEJELI.
Hao wote ni mtu mmoja wala hawakuwa tofautiOk Bakilana wa Mzinga way sikuwafahamu niliwafahamu hawa wa kuhu Kaunda or Kenyatta drive na wle wa pale Msasni Road
Hivi Robert ni yupi huyo? kuna yule somebody Mdachi (Handsome boy aliuwawa kwenye party kwa shutuma ya kushobokewa na mademu wa wenzie)Ndio ulikua ujana, ila tuu niliaka kujua nini kilitokea ?Vifo hivyo havihusiani kabisa na mambo sijui ya kisiasa, kwanza walio fariki walikua vijana wa dogo na hakuna aliye iyekuwa na nafasi serikalini .
Tetesi silizo kuwepo ni kwamba .
1. Makata aliuwawa kwnye party Upanga sababu ya bifu la watoto wa Oysterbay/Masaki dhidi ya watoto wa Upanga , Obay/Masaki tulikua juu wa kishua zaidi wa Upanga wakawa na bifu mademu zao wanatushobokea .
2. Angelica aliwawa baada ya kugundulika kulikua na ubadhirifu kwenye kampuni aliyo fanyia kazi, inasemekana alikua ni an Auditor ( sina uhakika na hilo kwa positin aliyo kuwa nayo ), hivyo waka rure her kumualika hotelini na ndiko waka muua kw akumrusha ghorofani .( Tetesi)
3. Robert aliwawa ina semekana ni wivu wa mapenzi .
Vyotehivyo havina uhakika , ndio maana nikauliza labda kuna wanao jua zaidi ishu ilikuwa nini pka vijana hao waka uwawa .
Umepatia kabisa,walihamia Msasani road kutoka apo pa mwanzo....ila we kweli wakishua wa kitambo,unawajua wakishua wengi sanaIsije kuwa ni hao hao wali kuja hamia huko Mzinga way , maana nakumbuka kama hao bakilana wa huku kaunda or Kenyatta , Baba yao alikuwa kama ni TRC na kama walikuja hama hapo na labda ndio wali hamia Mzinga way, kuna wale wavulana nime sahau majina yao kitu kama Julius nadhani nyumba yao ilikua na ule mnara wa Meli , kitu kama hicho .
Mkuu, mbona unashida wewe ? Jamaa kaleta hapa mada yake ijadiliwe na wanaofahamu hilo eneo na walikuwepo, wewe kama hukuwepo usichangieHv habari za vifo vya watu halafu unasema naumia upo sawa kweli,
Zingatia huo ushauri wa kufungua group lenu la wasap la watoto wakishua wa obey, humu hutapata ushirikiano dogo.
Asante sana kwa kumueleza huyu jamaa, anashangaza sana , kama mada haimuuhusu yeye anaitaka ya nini? Inamaan hukaa na kusoma mada zote zinazo postiwa humu? mtu a jabu sana huyu .Mkuu, mbona unashida wewe ? Jamaa kaleta hapa mada yake ijadiliwe na wanaofahamu hilo eneo na walikuwepo, wewe kama hukuwepo usichangie
Hapa JF haiwezekani kila siku zije mada ambazo kila mtu ana ufahamu nazo. Hujaona hii mada imewafaa wenyewe na wametambuana
Usimpangie mtu cha kuandika Boss.
Kumbe ni hao , aisee, nime kaa sana kule ndio maan nimewajua wengi, halafu kule karibu wote tulikua tunajuana ndio maana imekuwa rahisi kukumbukana , hahahahahahahaUmepatia kabisa,walihamia Msasani road kutoka apo pa mwanzo....ila we kweli wakishua wa kitambo,unawajua wakishua wengi sana
Ok, Sijui namaaisha "Mdachi" kama a Surname au unamaanisha "Dutch" kama Meuropean , sababu kulikua na kijana mmoja aliitwa Andrew Mdachi alifariki kwa kunywa sumu miaka hiyo sijui una msema huyo ?Hivi Robert ni yupi huyo? kuna yule somebody Mdachi (Handsome boy aliuwawa kwenye party kwa shutuma ya kushobokewa na mademu wa wenzie)
AsanteHao wote ni mtu mmoja wala hawakuwa tofauti
Nihao hao Mzee Peter Bakilana alikuwa Mkurugenzi wa Railway baba yao akina GeorgeUmepatia kabisa,walihamia Msasani road kutoka apo pa mwanzo....ila we kweli wakishua wa kitambo,unawajua wakishua wengi sana
Ooh ,unajua nilitaka kushangaa Bakilana gani wengine ningekuwa sija wafahamu , kumbe ni hao, asante .Nihao hao Mzee Peter Bakilana alikuwa Mkurugenzi wa Railway baba yao akina George
Mke wa Mzee Bakilana ndiye Dada yake Generali Ulimwengu.
itakuwa ndiye huyo Walikuwa halfcast wa kijerumani ila ni wahehe wa iringa.Ok, Sijui namaaisha "Mdachi" kama a Surname au unamaanisha "Dutch" kama Meuropean , sababu kulikua na kijana mmoja aliitwa Andrew Mdachi alifariki kwa kunywa sumu miaka hiyo sijui una msema huyo ?
Ila kama una manisha Dutch au European , ukimaanisha wale Mixed ,ndio Robert Cathless baba yake na mama yake ni halfcast wa kijerumani , hivyo Robert alikuwa na rangi alikuwa ana shobokewa sana na mademu ila aliye Uwawa kwnye Party ni anaitwa makatta , naye alikuwa hdsomeboy alishobokewa sana na mademu ,Robert aliuwawa mchana meneo nasikia ya hapo karibu na Kwnye Hizyo Towers za hapo sijui ni Uhuru Height mjini ilikua mchana nina dhani una maanisha hivyo aau?