Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
- Thread starter
- #121
Unakumbuka Maandazi road na vibatali hahahahahaahaImekuwa vurugu tu sahvi
Zamani watoto wa masaki,obay kuwaleta uswazi ilikuwa shuguli
[emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakumbuka Maandazi road na vibatali hahahahahaahaImekuwa vurugu tu sahvi
Zamani watoto wa masaki,obay kuwaleta uswazi ilikuwa shuguli
[emoji1]
Ova
Unajua mm nmekulia uswahiliniUnakumbuka Maandazi road na vibatali hahahahahaaha
Nimerudi Bongo nikakuta Maandazi road imepigwa lami, halafu Obay Primary pale Karume Rd pana mashimo kibao!Unakumbuka Maandazi road na vibatali hahahahahaaha
Joseph Rubambe alikuwa huku US kuna wakati, nafikiri karudi Bongo kitambo sasa kama sikosei.Unajua mm nmekulia uswahilini
Nlikuwa nakaa mpakani wa kinondoni
Shamba na ada Estate
Nmesoma mbuyuni na forodhani,sasa forodhani nolikutana sana na watoto wa kishuwa....si unajua zile shule wanaletwa na magari wanachukuliwa na magari
Sisi machizi ni kupanda mabasi UDA
Alafu these years unasikia wenzetu wameenda ma usa,ulaya si mchezo
Sema sasa watoto wa kishuwa nao kuna mikato walikuwa wanaikubali kutoka kwetu....
Down town pale nlikuwa na wanangu wakina d.luena,kide
Walikuwepo watoto wa smbdy rubambe dah
Zamani life was bana sahv mijitu sijui imetokea wapi eti inasumbua
Ova
Aise nlikutana naye muda sana sehemu fulaniJoseph Rubambe alikuwa huku US kuna wakati, nafikiri karudi Bongo kitambo sasa kama sikosei.
Mshua wao alikuwa top boss wa CRDB. Very nice gentleman.
Mkapa alimfanyia wiretap mshua wao kwenye simu mwaka mzima anamsikiliza tu maongezi yake.
Siku moja, akamuita Ikulu.
Mzee Rubambe akajua leo ndiyo naenda kuchinjiwa baharini, nimefanya nini?
Kufika Ikulu, Mkapa akacheka sana kumuona, akawa anamkumbusha stories za Pugu Secondary walisoma wote.
Akamwambia anataka kumpa kazi ya kubinafsisha mashirika ya umma.
Mkapa noma sana, alimdukua Mzee Rubambe mwaka mzima kumchunguza kabla ya kumteua kuwa Chairman wa PSRC.
Siku hizi unasikia uteuzi wako mwenyewe redioni, no vetting, no communication.
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .
Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?
Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?
Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?
Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Dah,
Nimesahau parties za Mwalimu na Jaji Mihayo huku Winding Ave kwa kina Devotha na Solo.
It was so nice. Life was so easy. No pressure.
Asante sana, nilikuwa najaribu kukumbuka jina la ule mtaa, Ethiopia Crescent.Aisee! Mihayo tulikuwa tunashare uzio wa nyumba 1985/1986 kina Solo na Devotha tumecheza nao sana kombolela. Before wahamie kwenye hiyo nyumba kulikuwa na familia ya kina Opanga watoto wao wakiwa ni kina Alpha, Akinyi na Magetta, this was 1984! Mtaa ulikuwa unaitwa Ethiopia Crescent I remember our house was number 35! Long time ago. Last year I intentionally tried to find my way out there aisee ule u-sure haupo tena kumejengwa majengo hata sielewi ni kama kumekuwa commercial area
Asante sana, nilikuwa najaribu kukumbuka jina la ule mtaa, Ethiopia Crescent.
Hao kina Opanga ni watoto wa Balozi Joshua Opanga, alikuwa mkuu wa itifaki na baadaye akawa balozi wa Tanzania Uganda.
Dada yao mwingine anaitwa Lola.
Alpha Opanga kichaa sana yule jamaa. Kuna siku nilikaa naye tunakunywa beer, akawa analeta stories zake anasema anataka kuanzisha mradi wa vyoo vya kulipia mjini Dar, atapiga hela na kuhakikisha usafi wa vyoo.
Wakati huo vyoo vya bure, lakini vichafu sana.
Nikasema wewe Alpha tuondolee stories zako hazina kichwa wala mguu.
Nikakaa mwaka baadaye, nikaona jiji linajenga vyoo vilevile alivyosema Alpha.
Nikasema mara nyingine unanyanyapaa idea kwa sababu imetoka kwa mchizi tu, kumbe ni idea nzuri tu.
Kama familia yenu ilikuzwa katika maadili, ni jambo la kushukuru. Usioongelee familia baki usiojua wanaishi vipi. Unaongelea utulivu, hakuna vurugu ilhali vifo vyote vinaonesha ukatili na vurugu?Sija elewa vizuri swali lako, ila kuhusu Oysterbay ni sababu niliishi hapo na niliwajua hao marehemu na ilikuwa sehemu tulivu haina violence yoyote na watoto walilelewa vizuri kwa maadili , ila ajabu hizo family zilipatwa na hayo majanga , ndio najiuliza ilikuwaje?
Nyie vijana wa ushuani wa zamani mbona humtaji mzee wa bataz le mbembez, the American spirit, free education, mzee wa mabebez in the world, akili kubwaz you know, gadem juu ya gadem at 5star hotel, boma yeeee, si mwingine ni super billionaire, lemutuz super brand mtoto wa mkubwa RIP and case closed.Duh, wewe ,unataja wau hapo nime watambua ni Warioba ,Malocho , kwa malocho sikuwahi kwenda kwnye party ila Miriam alisha wahi fanya party ya vijana yani ya Ki brazamen na masista doo, ilifanyika kwa kina Manyeng'a yani ili combintiona ya watu wawili ilikuwa yani Sophia na Miriam, enzi hizo tunaiga mambo ya Kimarekani ya House Pary the movie kama zile zilizo fanyika kwa kina Eddy Sapi .
Komanya ni wepi yule Waziri ? nakumbuka aliamia mwisho mwisho kabisa huku Oysterbay ya sisi wa Kongwe na sikumbuki kama klikuaga na zile party ,
Mahiga ( balozi) sikujua alikaa Obay, kuna Mahiga kaka yake alikaa Oysterbay Mtaa wa Hill road , Mahga balozi alikaa Obay zamani sana miaka ya late 70.s kabla ya kwenda Canada , sikujua kama alikaa Obay .
Bakilana, sikujua kulikua na Bakilana wengine wa huko Mzinga way ,kunaBakilana wale alio kaa huku kama Kenytatta drive au Kaunda dr na kuna hawa walio kaa Msasani road pembeni ya Oysterbay Primary school ,hao wa Mzinga way siwakumbuki .Mtei ni yupi huyo? nlidhani Obay na kumbuka or najua kila mtu.
Party za Warioba zipi hizo , zile akiwa Waziri mkuu ? nakumbuka nilienda paty kama Mbili au tatu , moja sijui ilikua ni birthday ya JUne ,kitu kama hicho , wakiwa wamehamia hapo kwa JUmba la Waziri mkuu ,nili attend hizo ila hazikua nyingi na huyo friend wako wa Geneva ni nani ni ,Simon ? maana Smon alikuwa anakuwepo kwenye party hizo .
Mengi akiishi Msasani Road hiyo longtime sana aisee, hata niko primary school ,hapo Obay , tukikaa kwnye mbuyu pale akipita na Mercedez ndio wana sema wadau huyo mzee ni tajiri Oysterbay Nzima, kumbe uhalisia ni Tajiri Tanzania nzima .
TZA na toyota stoud dah, wachana karibu wote walikua na hizo pick ups ,sijui waliambizana , ilafika wakati , kila familai wana pickup huko obay, matokeo yake wachache tuu ndio wakaw na magari ya ukweli ya vijana kutanulia coco beach ( enzi hizococo beach Jumapili wana jaa watoto wa kishua tuu na kutanuliana mavazi na magari) naw alio tesa na mabari ya ukweli Merrcedez Audi,BMW na kumbuka ni kina Janguoz , Abebez,Yuyu,Mandaraz, Yule jma wa Masaki , walimuuaga Manzese wakidhani ni jambazi, ( nime msahau kina alikua wa Ki Mix wa kiarabu) na wengine wachache nime wasahau kwa hapa .
Ajabu Motie sikumjua kabisa , wala sikuw ahi muona kwnye party zozote za vijana wala coco beach, Motie nime kuja mjua ( Kumuona kwnye kuparty) baada ya kuanza date huyu Seko , tena niliza kumuona Bar One, nilikua na msikia tuu ila kwnye party scenes nilikua simuoni ,s ijui ilikua tuna pishana vipi mpaka nilikua simjui hata ana fananaje, sikumbuki nani nilikua na anz amuona zaidi ni Mdogo wake or Motie .
Abbad Mwinyi hapo nilikua nadhani nilisha Ondoko Bongo , sikumbuki matanuzi yake ila nakumbuka matanuzi ya Abdul Msomali na Albert pia .
Party za kina Eddy Sapi, zilkua kiboko , tulikua tunajiona tuko America kabisa ,kwa jinsi tulivyo kua tuna jidanganya kwa kuiga umarekani kupitia hizo Movies za House Prty .
Wazee wetu Oyesterbay, walikua wana mkosoa sana Mzee Adam Sapi kwa kuruhusu party hizo kufanyika nyumbani kwake, kuruhusu vijana kufanya party bila usimamizi wa wazee.
Kuna siku ilifanyika party hapo the Green,Osyterbay ( Mabembeani) , watu tumesha jiandaa ana kufika hapo , tunakuka mapolice wamejaa na party ime fungwa, kumbe wazee wa Oysterbay wali gundua sijui mnoko gani aliwatonya , basi wazee waka contact Mzee mmoja alikua sijui na cheo gani cha Police anaitwa Mwaitenda (Marehemu) basi akaamuru police wakaja hapo kuzuia party, watu tumesha pigilia Reebok zetu ( High Tops) enzi hizo ndio balaa tena baba kaleta toka UK , tumesha amua wakomesha mabishoo filani ambao walikua wanajiona wanajua sana kupigilia vitu vya Ukweli, ila wao wamevaa FILA sisi tuna Reebok na jensz na Tshirts za Ukweli toka majuu , ilikua tukiingia lazima ugeuke maana enzi hizo viu vya nje ni vichache sana na mpaka mtu Uletewe toka nje ,lasivyo utavaa yuliita "Dar Combined" , yani kila mtu anacho , sasa ujania ilikua ukiingia sehemu unapiga kitu tofauti , uliwakomesha mabishoo fulani fulani, ( Mnajijua kama mna soma hapa ) basi tukatangaziwa hapo kwamba Party hakuna na wote watawanyike kurudi majumbani ,duh, sijui MaDJ ndio walikua kina Abel Siwale (Marehemu) na organizers walikuona Mmoja wapo Franco Mtui (Marehemu), ikawa tafrani tuu , kilammoja hajui nini kifanyike .
Basi watu tukawa so dissapinted , ila kabla hatujaaza kurudi tukasikia wana sema kwamba Eddy Sapi kaenda muomb baba yake tufanyie party kwao, na baba yake kakubali, acha bOnge la shangwe lifanyike ,wote tuka ahamia huko kwa Sapi ( Ilikua party kama ya pili kufanyika hapo) ,ila huw ana shindwa elewa watu ulikua tunapataje taarifa na kulikua hakuna cellphone?, basi Wababa zetu , waka kasirika sana waka kemea vikali Mzee Sapi kuruhusu hizo party kufanyika hapo , lakini wapi tupa piga shangwe mpaka late night .
Beach parties, hizo zilikua za kishua hapo coco beach, hakuna wahuni, ,sijui nani alikuja wa tonya watoto wa Manzese, ikaja kuwa balaa, beach parties zikaja vamiwa na wahuni toka Manzense ( enzi hizo Manzege ni ina wahuni hata Mbagara wanasubiri na Mbagara enzi hizo hata hatuijui na sijui kama ilikuwa na watuw anaishi huko nadhani ilikua pori ) unakuta usiku ziadi ya hata 500 wahuni wakitembea kwa miguu kuja beach Usiku kwnye beach party na ndiopo zikaja acha kufanyika , bila kusaghau zile Pickniks za kibisho , ezi hizo tuna shobo na totoz za Zanaki na Shaban robert.
Miaka ile tume kula maraha sana ,wengine tulidhani labda kukulia America tungekua na fun zaidi, ila baada ya kwwenda US nakuona teenagers wanavyo enjo life kinamna yao, nikasema Bongo nilikuwa na enjoy zaidi kushinda hawa wahuku ,maana age ina walimit kwnye mambo mengi sana , Bongo ilukua tunajiachia ka raha zote .
Mtoto wa Malecela wa kiume aliyekuwa anajulikana Oysterbay ni marehemu Ipi Malecela.Nyie vijana wa ushuani wa zamani mbona humtaji mzee wa bataz le mbembez, the American spirit, free education, mzee wa mabebez in the world, akili kubwaz you know, gadem juu ya gadem at 5star hotel, boma yeeee, si mwingine ni super billionaire, lemutuz super brand mtoto wa mkubwa RIP and case closed.
Nyie vijana wa ushuani wa zamani mbona humtaji mzee wa bataz le mbembez, the American spirit, free education, mzee wa mabebez in the world, akili kubwaz you know, gadem juu ya gadem at 5star hotel, boma yeeee, si mwingine ni super billionaire, lemutuz super brand mtoto wa mkubwa RIP and case closed.
Mkuu kwani hujui kuanzisha uzi?Sisi wa makandana, kk, tukuyu mjini, katumba tukaongelee wapi...?
Sasa mchizi wa JF nakupa idea nyingine, nunuwa ardhi uswahilini ambako bado Ardhi inauzwa kwa thamani ndogo jenga community swimming pool kubwa halafu ndani yake weka kapub kadogo na something like circus ya michezo ya Watoto, wekeza hii kitu kwenye community tofauti tofauti according to your researchAsante sana, nilikuwa najaribu kukumbuka jina la ule mtaa, Ethiopia Crescent.
Hao kina Opanga ni watoto wa Balozi Joshua Opanga, alikuwa mkuu wa itifaki na baadaye akawa balozi wa Tanzania Uganda.
Dada yao mwingine anaitwa Lola.
Alpha Opanga kichaa sana yule jamaa. Kuna siku nilikaa naye tunakunywa beer, akawa analeta stories zake anasema anataka kuanzisha mradi wa vyoo vya kulipia mjini Dar, atapiga hela na kuhakikisha usafi wa vyoo.
Wakati huo vyoo vya bure, lakini vichafu sana.
Nikasema wewe Alpha tuondolee stories zako hazina kichwa wala mguu.
Nikakaa mwaka baadaye, nikaona jiji linajenga vyoo vilevile alivyosema Alpha.
Nikasema mara nyingine unanyanyapaa idea kwa sababu imetoka kwa mchizi tu, kumbe ni idea nzuri tu.
Ndagha...Nilikua naunganisha dots halafu ghafla umetibua
Hizo swimming pools zinakuwa na life guards?Sasa mchizi wa JF nakupa idea nyingine, nunuwa ardhi uswahilini ambako bado Ardhi inauzwa kwa thamani ndogo jenga community swimming pool kubwa halafu ndani yake weka kapub kadogo na something like circus ya michezo ya Watoto, wekeza hii kitu kwenye community tofauti tofauti according to your research
Utapiga pesa mpaka basi, na hii ni permanent investment.
Bongo kuna tatizo la community kukosa maeneo yao ya kufurahia maisha zaidi ya watu kuwekeza bar tu kila corner.
Uzuri wa Bongo almost ni summer time mwaka mzima kwahiyo swimming pool ni biashara inayolipa sana.
Mzinga au kauzeni mkuu.mm nilikuwa Mzinga Morogoro.... nalima lile zao