Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Mtoto wa Malecela wa kiume aliyekuwa anajulikana Oysterbay ni marehemu Ipi Malecela.

Ipi alikuwa anaendesha Benz anapenda kupiga nyimbo za Notorious BIG Oysterbay Beach.

Ipi alikuwa akirudi kutoka Uingereza lazima Bonny Love amtangaze club, "Ipi Malecela straight from London".

Alikuwa anawaletea watu wa Clouds records (LP), tena akiwaletea records anawanunulia mbilimbili, moja anampa DJ Bonny Love, nyingine anampa Kusaga.

Sasa watu walikuwa wanashangaa inakuwaje Bonny Love anamfagilia sana Ipi Malecela? Kumbe Ipi alikuwa anawanunulia sana LPs Clouds.

Mzee Malecela alikuwa anamuandaa Ipi kwenye chama, akawa kiongozi jumuiya ya vijana, akafariki katika mazingira ya utatanishi naye.

Mzee Malecela akaulizwa kama anataka mwili wa Ipi ufanyiwe autopsy madaktari wajue vizuri kilichomuua, lakini Mzee Malecela alikataa, akisema yote ni mapenzi ya Mungu tu.

Marehemu William "LeMutuz" alikuwa mkubwa sana kwetu nafikiri alishaingia kwenye ubaharia miaka hiyo, hivyo watu wengi wa rika letu hatukupata kumuona tulivyokuwa Oystebay.

Mimi William nimekuja kukutana naye baadaye kabisa New York.
Hippy = Ipyana Malecela naye alisumbua sana!
 
Mchawi tuu wewe,unamaumivu yako , kila mada una shadadia, umeona kabisa nime andika oysterbay, sehemu hata hujui iko wapi , unaingia kusoma , mtu wa jabu sana wewe, sasa una soma mada ngapi kwa siku hata zisizo kuhusu nahuo mud unakuwanao wakutosha ? Mimi nikiona habari ina zungumzia Mita ya Mbagala itakuwa ya mwisho kuisoma kamanina muda sababu nitaanzakwanzana zinazo ni husu, sasa wewe oysterby inakuhusu nini, kwanzaunajua oysterby ni wapi?
Wewe wakuja ,angalia madaina viewerszaidi ya 5k ,kmahaigusi watu why wamesoma mpaka sasa watu wote hao?
ila we jamaa mwamba sana,kwanza ni wa kishua,alafu nahisi unaishi mbele huko kwa sasa maana hata kiswahili kinakukataa hivi lakini cha ajabu umempa mtu makavu sijaona hata unyamwezi umo wa mazafaka sijui vitu gani gani zile shit za kimbele mbele huko.

Barikiwa sana mkuu endelea kutuheshimu hivyo hivyo ndugu zako ingawa tunaishi dunia tofauti.
 
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Hakika Dar ilikuwa kijiji siku sio nyingi
 
Viwanja vyangu vyote hivyo.

I was out and about.

Maandazi Road ndiyo mama akikuita ukisikia tu "mtoto wangu mzuri..." unajua hii safari ya maandazi road inafuata hapa.

Unalitafuta Toyota Stout la TZA enzi hizo ulichanganye mafuta.

Haile Selassie ndiyo kuanzia St. Peters mpaka IST na Coco Beach, parties za mabalozi na kwa Warioba kama zote.

Mpaka nyingine siwezi kusema hapa.RIP Baba T for lifting me up in the compound.

Kilima nyege hapo nashuka kwenda kwa Bibi Masaki meeting up with my Geneva cousins to catch up, I make a left tMsasani Road nafikiri hapo, to the Bakilanas, na ubalozi wa Ireland huko, nyumba ya Mzee Bakilana ndiyo ipo mwisho wa Mzinga Way, tunatoka parties za alipokaa Mtei tunahamia kwa paries za Bakilana, tunakwenda kupita kwenye kilimanyege chenyewe. Tunaamua, tuende parties za Mzee Malocho, IST, Coco beach, za kwa Marcel Komanya au za balozi Mahiga? parties za posta au za bandari?

Au tunarudi Msasani Road kwa Ronald Mutie Mengi na kulianzisha Oysterbay Hotel huko na ufirauni wa Abbas Mwinyi?

Leo nimeamua tu kuepuka kikombe hiki, nikitaja mengi sana kuna wasiojulikana watanijua mpaka jina.
Aisee inatosha tutakujua nilisoma Oysterbay kipindi kile cha miaka ya 80 sitasahau kwenye kilima nyege tukiwe tunakwenda Coco beach kwenye beach party
 
ila we jamaa mwamba sana,kwanza ni wa kishua,alafu nahisi unaishi mbele huko kwa sasa maana hata kiswahili kinakukataa hivi lakini cha ajabu umempa mtu makavu sijaona hata unyamwezi umo wa mazafaka sijui vitu gani gani zile shit za kimbele mbele huko.

Barikiwa sana mkuu endelea kutuheshimu hivyo hivyo ndugu zako ingawa tunaishi dunia tofauti.
Huyu jamaa ana kesha kusoma yasio mhusu,si angesoma na kuyaacha.
 
Unajua mm nmekulia uswahilini
Nlikuwa nakaa mpakani wa kinondoni
Shamba na ada Estate
Nmesoma mbuyuni na forodhani,sasa forodhani nolikutana sana na watoto wa kishuwa....si unajua zile shule wanaletwa na magari wanachukuliwa na magari
Sisi machizi ni kupanda mabasi UDA
Alafu these years unasikia wenzetu wameenda ma usa,ulaya si mchezo
Sema sasa watoto wa kishuwa nao kuna mikato walikuwa wanaikubali kutoka kwetu....
Down town pale nlikuwa na wanangu wakina d.luena,kide
Walikuwepo watoto wa smbdy rubambe dah
Zamani life was bana sahv mijitu sijui imetokea wapi eti inasumbua

Ova
Aisee kweli , siku hizi kuna watu wameibuka hahahahahahaha, ume ni chekesha kitu kimoja, kuna jama walikua wana kaa hapo Namanga ,uswazi, sasa walikua wanakuja Obay , wana ndugu zao, hao jamaa ndio wakaanza funza watoto wa kishua wizi, waka wana waambia , ukiingia ndani , cheki kwnye wallet ya baba yako una weza kuta dollar chukua halafu lete, au walio walio fuga kuku,walikua wana waambia ingia bandani iba kuku , sasa kibaya ndio wakawavutisha bangi, kuna jamaa mmoja hadi leo ame data sababu ya bangi na pombe na chanzo ni hao jamaa wa Namanga hapo .Kama mtu amesha wastukia ni nani please anomba asiwataje majina .lol
 
Nimerudi Bongo nikakuta Maandazi road imepigwa lami, halafu Obay Primary pale Karume Rd pana mashimo kibao!

Maandazi Road ilikuwa ikinyesha mvua ni shida tupu barabara ile.
Dada wa kazi alikua anakaa Msasani ,hivyo kama ana sherehe nyumbani kwake tulikuwa tuna kwenda huko , tukawa tunapita maandazi road, vibatali kibao na ndio mara ya kwanza nikaona samaki kambare hapo kwenye meza . hahahahahah
 
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.

Aisee unajua kufukua makaburi. Ngoja waje wanaojua watujuze.
 
Nakumbuka story ya Makatta, nilikuwa standard four or five. Hata sifahamu iliishia wapi hiyo case. Nachokumbuka ni kuwa kulikuwa na uhasama mkubwa between vijana wa Oysterbay na vijana wa Upanga kipindi hicho.
Kulikua na uhasama huo , vijana wa Upanga hawakutupenda wa Obay sababu mademu na dada zao walitushokokea sisi wa huku ,ile case sijui iliishaje na hata details zina kabisa , wengine wana sema wali mrusha toka kwnye summit, wengine walisema wali mshika miguu na kuanza mburuza kutoka ghorofa ya juu ,huku akijigonga kichwa mpaka chini na ndio aka fariki , yani sielewi ilikuaje .
 
Aisee kweli , siku hizi kuna watu wameibuka hahahahahahaha, ume ni chekesha kitu kimoja, kuna jama walikua wana kaa hapo Namanga ,uswazi, sasa walikua wanakuja Obay , wana ndugu zao, hao jamaa ndio wakaanza funza watoto wa kishua wizi, waka wana waambia , ukiingia ndani , cheki kwnye wallet ya baba yako una weza kuta dollar chukua halafu lete, au walio walio fuga kuku,walikua wana waambia ingia bandani iba kuku , sasa kibaya ndio wakawavutisha bangi, kuna jamaa mmoja hadi leo ame data sababu ya bangi na pombe na chanzo ni hao jamaa wa Namanga hapo .Kama mtu amesha wastukia ni nani please anomba asiwataje majina .lol
Ukiangalia mandaz Road sahv na zamani unasema ...ehh

Ova
 
Aisee! Mihayo tulikuwa tunashare uzio wa nyumba 1985/1986 kina Solo na Devotha tumecheza nao sana kombolela. Before wahamie kwenye hiyo nyumba kulikuwa na familia ya kina Opanga watoto wao wakiwa ni kina Alpha, Akinyi na Magetta, this was 1984! Mtaa ulikuwa unaitwa Ethiopia Crescent I remember our house was number 35! Long time ago. Last year I intentionally tried to find my way out there aisee ule u-sure haupo tena kumejengwa majengo hata sielewi ni kama kumekuwa commercial area
Aisee , mimi nime wajua The Jacksons kwamba ni popular sababu ya kina Opanga, sababu kubw akwetu tulikua na zile Albums za LP na tukawa na hao The Jaclsons Albums zao , sasa hao kina Opanga wakawa ndio wam erudi toka USA ,miaka hiyo , kipindi cha party za wakaona hizo Albm ndio wakaanza tuhadithia , huyu ni Michael jackson , hawanni the Jacksons ni wako popular sana USA , ndio nikamjua Michael jackson wakati huo yuko kwnye Gorup la the Jacksons
Kama nyumba yeni ilikua next to Opangas basi before nyumba yenu hapo walikua wana kaa kina Arden ,Wema and Ndoli , mama yao alikua Mganda , baba yao alikua ni yule Waziri nime sahau jina lake, Obanga walrdi na gari eni hizo ndio tunaona kali Peugeot 504 na bada ya muda nao hao wakanunua Peugot 504 kali ina hadi sun roof, iilkua matanuzi haswa , nyumba next, ilikuwa wanaitwa Kimbwereza sijui wako wapi now.
 
Kulikua na uhasama huo , vijana wa Upanga hawakutupenda wa Obay sababu mademu na dada zao walitushokokea sisi wa huku ,ile case sijui iliishaje na hata details zina kabisa , wengine wana sema wali mrusha toka kwnye summit, wengine walisema wali mshika miguu na kuanza mburuza kutoka ghorofa ya juu ,huku akijigonga kichwa mpaka chini na ndio aka fariki , yani sielewi ilikuaje .
Duh....

Ova
 
Aisee , mimi nime wajua The Jacksons kwamba ni popular sababu ya kina Opanga, sababu kubw akwetu tulikua na zile Albums za LP na tukawa na hao The Jaclsons Albums zao , sasa hao kina Opanga wakawa ndio wam erudi toka USA ,miaka hiyo , kipindi cha party za wakaona hizo Albm ndio wakaanza tuhadithia , huyu ni Michael jackson , hawanni the Jacksons ni wako popular sana USA , ndio nikamjua Michael jackson wakati huo yuko kwnye Gorup la the Jacksons
Kama nyumba yeni ilikua next to Opangas basi before nyumba yenu hapo walikua wana kaa kina Arden ,Wema and Ndoli , mama yao alikua Mganda , baba yao alikua ni yule Waziri nime sahau jina lake, Obanga walrdi na gari eni hizo ndio tunaona kali Peugeot 504 na bada ya muda nao hao wakanunua Peugot 504 kali ina hadi sun roof, iilkua matanuzi haswa , nyumba next, ilikuwa wanaitwa Kimbwereza sijui wako wapi now.
Life imebadilika sana

Ova
 
Duh, wewe ,unataja wau hapo nime watambua ni Warioba ,Malocho , kwa malocho sikuwahi kwenda kwnye party ila Miriam alisha wahi fanya party ya vijana yani ya Ki brazamen na masista doo, ilifanyika kwa kina Manyeng'a yani ili combintiona ya watu wawili ilikuwa yani Sophia na Miriam, enzi hizo tunaiga mambo ya Kimarekani ya House Pary the movie kama zile zilizo fanyika kwa kina Eddy Sapi .
Komanya ni wepi yule Waziri ? nakumbuka aliamia mwisho mwisho kabisa huku Oysterbay ya sisi wa Kongwe na sikumbuki kama klikuaga na zile party ,
Mahiga ( balozi) sikujua alikaa Obay, kuna Mahiga kaka yake alikaa Oysterbay Mtaa wa Hill road , Mahga balozi alikaa Obay zamani sana miaka ya late 70.s kabla ya kwenda Canada , sikujua kama alikaa Obay .
Bakilana, sikujua kulikua na Bakilana wengine wa huko Mzinga way ,kunaBakilana wale alio kaa huku kama Kenytatta drive au Kaunda dr na kuna hawa walio kaa Msasani road pembeni ya Oysterbay Primary school ,hao wa Mzinga way siwakumbuki .Mtei ni yupi huyo? nlidhani Obay na kumbuka or najua kila mtu.
Party za Warioba zipi hizo , zile akiwa Waziri mkuu ? nakumbuka nilienda paty kama Mbili au tatu , moja sijui ilikua ni birthday ya JUne ,kitu kama hicho , wakiwa wamehamia hapo kwa JUmba la Waziri mkuu ,nili attend hizo ila hazikua nyingi na huyo friend wako wa Geneva ni nani ni ,Simon ? maana Smon alikuwa anakuwepo kwenye party hizo .
Mengi akiishi Msasani Road hiyo longtime sana aisee, hata niko primary school ,hapo Obay , tukikaa kwnye mbuyu pale akipita na Mercedez ndio wana sema wadau huyo mzee ni tajiri Oysterbay Nzima, kumbe uhalisia ni Tajiri Tanzania nzima .
TZA na toyota stoud dah, wachana karibu wote walikua na hizo pick ups ,sijui waliambizana , ilafika wakati , kila familai wana pickup huko obay, matokeo yake wachache tuu ndio wakaw na magari ya ukweli ya vijana kutanulia coco beach ( enzi hizococo beach Jumapili wana jaa watoto wa kishua tuu na kutanuliana mavazi na magari) naw alio tesa na mabari ya ukweli Merrcedez Audi,BMW na kumbuka ni kina Janguoz , Abebez,Yuyu,Mandaraz, Yule jma wa Masaki , walimuuaga Manzese wakidhani ni jambazi, ( nime msahau kina alikua wa Ki Mix wa kiarabu) na wengine wachache nime wasahau kwa hapa .
Ajabu Motie sikumjua kabisa , wala sikuw ahi muona kwnye party zozote za vijana wala coco beach, Motie nime kuja mjua ( Kumuona kwnye kuparty) baada ya kuanza date huyu Seko , tena niliza kumuona Bar One, nilikua na msikia tuu ila kwnye party scenes nilikua simuoni ,s ijui ilikua tuna pishana vipi mpaka nilikua simjui hata ana fananaje, sikumbuki nani nilikua na anz amuona zaidi ni Mdogo wake or Motie .
Abbad Mwinyi hapo nilikua nadhani nilisha Ondoko Bongo , sikumbuki matanuzi yake ila nakumbuka matanuzi ya Abdul Msomali na Albert pia .
Party za kina Eddy Sapi, zilkua kiboko , tulikua tunajiona tuko America kabisa ,kwa jinsi tulivyo kua tuna jidanganya kwa kuiga umarekani kupitia hizo Movies za House Prty .
Wazee wetu Oyesterbay, walikua wana mkosoa sana Mzee Adam Sapi kwa kuruhusu party hizo kufanyika nyumbani kwake, kuruhusu vijana kufanya party bila usimamizi wa wazee.
Kuna siku ilifanyika party hapo the Green,Osyterbay ( Mabembeani) , watu tumesha jiandaa ana kufika hapo , tunakuka mapolice wamejaa na party ime fungwa, kumbe wazee wa Oysterbay wali gundua sijui mnoko gani aliwatonya , basi wazee waka contact Mzee mmoja alikua sijui na cheo gani cha Police anaitwa Mwaitenda (Marehemu) basi akaamuru police wakaja hapo kuzuia party, watu tumesha pigilia Reebok zetu ( High Tops) enzi hizo ndio balaa tena baba kaleta toka UK , tumesha amua wakomesha mabishoo filani ambao walikua wanajiona wanajua sana kupigilia vitu vya Ukweli, ila wao wamevaa FILA sisi tuna Reebok na jensz na Tshirts za Ukweli toka majuu , ilikua tukiingia lazima ugeuke maana enzi hizo viu vya nje ni vichache sana na mpaka mtu Uletewe toka nje ,lasivyo utavaa yuliita "Dar Combined" , yani kila mtu anacho , sasa ujania ilikua ukiingia sehemu unapiga kitu tofauti , uliwakomesha mabishoo fulani fulani, ( Mnajijua kama mna soma hapa ) basi tukatangaziwa hapo kwamba Party hakuna na wote watawanyike kurudi majumbani ,duh, sijui MaDJ ndio walikua kina Abel Siwale (Marehemu) na organizers walikuona Mmoja wapo Franco Mtui (Marehemu), ikawa tafrani tuu , kilammoja hajui nini kifanyike .
Basi watu tukawa so dissapinted , ila kabla hatujaaza kurudi tukasikia wana sema kwamba Eddy Sapi kaenda muomb baba yake tufanyie party kwao, na baba yake kakubali, acha bOnge la shangwe lifanyike ,wote tuka ahamia huko kwa Sapi ( Ilikua party kama ya pili kufanyika hapo) ,ila huw ana shindwa elewa watu ulikua tunapataje taarifa na kulikua hakuna cellphone?, basi Wababa zetu , waka kasirika sana waka kemea vikali Mzee Sapi kuruhusu hizo party kufanyika hapo , lakini wapi tupa piga shangwe mpaka late night .
Beach parties, hizo zilikua za kishua hapo coco beach, hakuna wahuni, ,sijui nani alikuja wa tonya watoto wa Manzese, ikaja kuwa balaa, beach parties zikaja vamiwa na wahuni toka Manzense ( enzi hizo Manzege ni ina wahuni hata Mbagara wanasubiri na Mbagara enzi hizo hata hatuijui na sijui kama ilikuwa na watuw anaishi huko nadhani ilikua pori ) unakuta usiku ziadi ya hata 500 wahuni wakitembea kwa miguu kuja beach Usiku kwnye beach party na ndiopo zikaja acha kufanyika , bila kusaghau zile Pickniks za kibisho , ezi hizo tuna shobo na totoz za Zanaki na Shaban robert.
Miaka ile tume kula maraha sana ,wengine tulidhani labda kukulia America tungekua na fun zaidi, ila baada ya kwwenda US nakuona teenagers wanavyo enjoy life kinamna yao, nikasema Bongo nilikuwa na enjoy zaidi kushinda hawa wahuku ,maana age ina walimit kwnye mambo mengi sana , Bongo ilukua tunajiachia ka raha zote .
Nostalgia
 
Watu wa ushuani kukumbukwa ni muhimu zaidi kuliko hao unaosema bro. Ni kama tunavyowakumbuka wale 5 waliokufa na submersible Canada na kutojali wahamiaji 100+ waliokufa Greece (wengine kati yao wametokea ushuani huko kwao Pakistan, nk).
Ndio dunia...
Umuhimu wao uko wp Sasa hapo, kufa ni kufa tu.

Aliyefia soko matola na aliyefia masaki wote ni wafu tu, msijipe umuhimu msiostahili nyie watoto wadogo... au kama vp nendeni fb huko mtakuta watoto wenzenu wa obey mtajadiliana vifo vya hao wakishua wenzenu.
 
Yes Lola namkumbuka. Opposite na kwa kina Alpha kulikuwa na mzee anaitwa Buizilili I think mkewe alikuwa mzungu mzungu. Watoto wao kina Anita, Norah, Bella na Milly. Sasa Bella ndio alikuwa rika langu nakumbuka. Opposite na kwetu alikuwa mzee Temu alikuwa boss mkubwa polisi I can’t recall cheo but ni mzito kwelikweli.
Yes Buzweiriri mama ya mkewe alikua halfcast wa kizungu, Bella yuko Sweden and Milly yuko UK, anita or Norah mmoja aliolewana somebody kw aukoo wa Rupia, ilkua bonge la harrusi ,ilifanyika Kilimanjaro Hotel Poolside, maharusi wakaaka katika swimming pppi kuliwekwa a flating stage hapo , harusii ilikua na vigogo wote , mwingine aliolewa na jama wa gambia aor Guniea kitu kama hicho .
Aisee , kuna rfiki yangu hapo kwa TEMU alikuwa naitwa Mapinduzi , sijui yuko wapi , mara nasikia sijui alifariki longtime , sijui kama ni kweli, dada yao alikua Mkubwa wa miaka mingi ila ndio nilikua nampenda ,nyumbani waka wa wananitania mchumba wangu, mimi nikiwa Nussery school hapo nilikua na mpenda sana huyo alikua anaitwa Juddy , mpaka leo na muwazaga now anweza kuwahata ana miaka 60 huko .
Kabla ya Temu kwnye hiyo nyumba kulikua na boss mwingine wa Police alikuwa anaitwa Nguruwe sijui nao wako wapi hao jamaa.
 
Mkuu, mbona unashida wewe ? Jamaa kaleta hapa mada yake ijadiliwe na wanaofahamu hilo eneo na walikuwepo, wewe kama hukuwepo usichangie

Hapa JF haiwezekani kila siku zije mada ambazo kila mtu ana ufahamu nazo. Hujaona hii mada imewafaa wenyewe na wametambuana

Usimpangie mtu cha kuandika Boss.
Sasa ndio mada gani hizo za kikolo za kuleta humu.
 
Back
Top Bottom