Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Umuhimu wao uko wp Sasa hapo, kufa ni kufa tu.

Aliyefia soko matola na aliyefia masaki wote ni wafu tu, msijipe umuhimu msiostahili nyie watoto wadogo... au kama vp nendeni fb huko mtakuta watoto wenzenu wa obey mtajadiliana vifo vya hao wakishua wenzenu.
Sasa kwani tuki post MB zako zinaisha? si ni wewe mwenye una leta pua kwenye pilau isiyo kuhusu , ina maana wewe kila mada lazima uisome na upoteze nguvu zako na akili zako ku type kwa jambo usilo lijua ?, maana na uhakika hata hujui Obay iko wapi .
 
Kama familia yenu ilikuzwa katika maadili, ni jambo la kushukuru. Usioongelee familia baki usiojua wanaishi vipi. Unaongelea utulivu, hakuna vurugu ilhali vifo vyote vinaonesha ukatili na vurugu?
Ndio mchawi mwenywe wewe, wapi nimeongelea familai hizo vibaya? hakuna katika family hizo walikua na sifa ya uhuni wala tabia mbaya na ndio sababu vifo hivyo vikawa so shocking
 
Mtoto wa Malecela wa kiume aliyekuwa anajulikana Oysterbay ni marehemu Ipi Malecela.

Ipi alikuwa anaendesha Benz anapenda kupiga nyimbo za Notorious BIG Oysterbay Beach.

Ipi alikuwa akirudi kutoka Uingereza lazima Bonny Love amtangaze club, "Ipi Malecela straight from London".

Alikuwa anawaletea watu wa Clouds records (LP), tena akiwaletea records anawanunulia mbilimbili, moja anampa DJ Bonny Love, nyingine anampa Kusaga.

Sasa watu walikuwa wanashangaa inakuwaje Bonny Love anamfagilia sana Ipi Malecela? Kumbe Ipi alikuwa anawanunulia sana LPs Clouds.

Mzee Malecela alikuwa anamuandaa Ipi kwenye chama, akawa kiongozi jumuiya ya vijana, akafariki katika mazingira ya utatanishi naye.

Mzee Malecela akaulizwa kama anataka mwili wa Ipi ufanyiwe autopsy madaktari wajue vizuri kilichomuua, lakini Mzee Malecela alikataa, akisema yote ni mapenzi ya Mungu tu.

Marehemu William "LeMutuz" alikuwa mkubwa sana kwetu nafikiri alishaingia kwenye ubaharia miaka hiyo, hivyo watu wengi wa rika letu hatukupata kumuona tulivyokuwa Oystebay.

Mimi William nimekuja kukutana naye baadaye kabisa New York.
Ni kweli Lemutuz hakujulikana na wan Obay wala Upanga na hakuwahi kaa kwa baba yake, Ippy na yule mwingine mkubwa aliye fariki kwa ajali ndio walikua popular sana.Ruge pia naye alikua ana leta LPs toka US, na hata zile speakers , hapo 7th flour .
Mwingine alikua anatusmbua kwa fuja za uendeshaji ma gari kwa fujo mpaka una hisi roho inataka kutoka ni KInje, , duh, Kinje alikua noma , akija kwenye party huko nje lazima mtajua kafika maana misere ilikua ya kutisha ,lol
 
Ok, Sijui namaaisha "Mdachi" kama a Surname au unamaanisha "Dutch" kama Meuropean , sababu kulikua na kijana mmoja aliitwa Andrew Mdachi alifariki kwa kunywa sumu miaka hiyo sijui una msema huyo ?
Ila kama una manisha Dutch au European , ukimaanisha wale Mixed ,ndio Robert Cathless baba yake na mama yake ni halfcast wa kijerumani , hivyo Robert alikuwa na rangi alikuwa ana shobokewa sana na mademu ila aliye Uwawa kwnye Party ni anaitwa makatta , naye alikuwa hdsomeboy alishobokewa sana na mademu ,Robert aliuwawa mchana meneo nasikia ya hapo karibu na Kwnye Hizyo Towers za hapo sijui ni Uhuru Height mjini ilikua mchana nina dhani una maanisha hivyo aau?
Robert alitupwa zile orofa zinatazama na nyumba ya sanaa karibu na ile round about, you are right the guy was handsome.
 
Pia ni sisi pekee yetu kwenye familia yetu tulikuwa tunajua na kuongea kiingereza. Nakumbuka serikali ya Nyerere ilituonya tuache kuongea kiingereza eti tunaringa na kujionesha kitendo ambacho kinakera wengine.
Ila mchonga
Pekee ndie hakuwa anakera wengine ausiyo ,sio chai hii
 
sitaki kukuambia wapi hasa ila ni ile mitaa njia panda bongoyo kaunda akina chacha tulikuwa timu moja
Labda wewe ni Alawi au kaka yake au Shee au Max , hivi kina chacha wako wapi , maana wote walikua wanaitwa Chcha aisee hahahah
 
Ilikuwa ni community , tumeishi vizuri na kupendana, hakuna uchawi, wala majungu ni kualikana kwenye party , hakuna kuchunguzana wala kuoneana wivu ni kuishi kwa raha na amani , ndio maana tunakumbuka familia zilikua zinaishi kwa umoja na amani , ndio sababu nakumbuka hao.
Sawa kabisa yaani madingi walikuwa hawana mkwara na magari yaani tunaenda party na magari yetu wenyewe unpa taar8fa tu mzee kwamna sea view iko disco
 
Mnaboa sn nyie watoto wa 90'[emoji35]
Hivi kwani lazima usome sasa? siamini kama umeshikiwa bunduki kichwani , kama hu enjoy kusoma hii mada then why are you here? si kuna mada nyingi tuu why uko hapa? uko hapa sababu una enjoy kusoma kinacho andikwa na tukiacha utakuwa bored, kama kuna mada nyingine muhimu na uko buzzy nazo usinge kuwa hapa kusoma comment moja hadi nyingine , ungekua huko , ila unajua mada iliyo hot and treding ni hii na ndio sababu uko hapa au nakosea? kumbuka ina 9k mpaka sasa .
 
Ni kweli Lemutuz hakujulikana na wan Obay wala Upanga na hakuwahi kaa kwa baba yake, Ippy na yule mwingine mkubwa aliye fariki kwa ajali ndio walikua popular sana.Ruge pia naye alikua ana leta LPs toka US, na hata zile speakers , hapo 7th flour .
Mwingine alikua anatusmbua kwa fuja za uendeshaji ma gari kwa fujo mpaka una hisi roho inataka kutoka ni KInje, , duh, Kinje alikua noma , akija kwenye party huko nje lazima mtajua kafika maana misere ilikua ya kutisha ,lol
Mnamkumbuka yule mtoto wa kizungu John bichwa ,alisumbua sana obay masaki 80s huko
Alikuwaga na mpikipiki mkubwa

Ova
 
Labda wewe ni Alawi au kaka yake au Shee au Max , hivi kina chacha wako wapi , maana wote walikua wanaitwa Chcha aisee hahahah
Yule chacha mdogo sio ndio alianza kwenda italy kwenye mishe za madawa mzee wao alihama pale
 
Hisia zangu zaniambia, mleta post ni mmoja wa wauaji na hii ndio mbinu yake kurusha ghorofani.

Na kwamba, sasa umri umekwenda, alishaachana na hizo kazi amekuja kutukumbusha kama kupima upepo tu.

Ama sivyo, aniambie yeye ni nani mpaka akumbuke majina ya marehemu pamoja na ya ubini ikiwa hakuwa ndani ya mamlaka za uchunguzi wa masakata haya.
Ok, nimetoka katika family popuar ambayo ilikuwa na weza kusema watu wa watu, hivyo wazee wangu walikua na marafiki wengi , tukajenga mahusiano na kama undugu na familia nyingi sana, hivyo hizo familia zote ni kama ndugu zangu sababu ni majirani na tumishi pamoja.
Kwanini nina uliza sababu kama unavyo ona hapa nimeuliza teari umeshaanza ni hisi lada mimi ndio the killer, hivyo hivyo , hatuja zoea ulizana masuala haya face to face ,hivyo nisinge weza uliza members wa hizo familia , ila hapa kwangu ni rahisi kuuliza na kujua sababu bado ninajiuliza kama justice was served.
 
Ok, nimetoka katika family popuar ambayo ilikuwa na weza kusema watu wa watu, hivyo wazee wangu walikua na marafiki wengi , tukajenga mahusiano na kama undugu na familia nyingi sana, hivyo hizo familia zote ni kama ndugu zangu sababu ni majirani na tumishi pamoja.
Kwanini nina uliza sababu kama unavyo ona hapa nimeuliza teari umeshaanza ni hisi lada mimi ndio the killer, hivyo hivyo , hatuja zoea ulizana masuala haya face to face ,hivyo nisinge weza uliza members wa hizo familia , ila hapa kwangu ni rahisi kuuliza na kujua sababu bado ninajiuliza kama justice was served.
Ooh nilicomment kabla ya kusoma comments, huenda ningesoma kwanza nisingekuja na comment ya namna hii

Naifuta
 
Back
Top Bottom