Dah,Nani anakumbuka siku Nigga One alivyofariki kwenye ajali ya gari?
Kwanza wangapi humu wanajua Nigga One ni nani?
Nadhani baba yake alikua na akaa Ilala , ila mama yake na dhani alihamia Obay , kitu kama Mama yao alikua hapo IST ,ila sina uhakika ilikuaje waka pata nyumba Oysterbay kama hakuwa mfanyakzi wa serikali au shirika , lada mama yao alikua kwnye shirika fulani , ila nadhani yule sister wake alika hapo jirani na kina Mwingira .Dah,
Adili Kumbuka Nigger One.
Nilikuwepo kwenye msiba, nilikwenda mpaka kwao Ilala kule kwenye mazishi.
Nigger One alikuwa ana chill sana Masaki IST lakini alikuwa na family Ilala nafikiri.
Ulikuwa msiba mkubwa, alikuwa very popular member wa Kwanza Unit.
Fareed dah nasikia alifariki yule jamaaNani anamkumbuka yuke ‘Kid’ [Kid n’ Play] wa bongo na ile high top fade yake?
Alikuwa anasoma Azania, kama sijakosea.
Oi mambo ya roho inakuwaje? [emoji23][emoji23]Mkuu una roho safi sana.
Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.
Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.
Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.
Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.
Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.
Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.
Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".
Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.
Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.
Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomesha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.
Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.
Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.
Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.
So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
You can read that as "una tabia nzuri sana".Oi mambo ya roho inakuwaje? [emoji23][emoji23]
ChiefNonsense. Why exactly him? There was a whole bunch of useless, entitled, fucked up brats living free out of their parents’ government rental properties in Masaki and Oysterbay, including yourself? Kwahiyo unataka kusema Makwatta alikuwa a random victim of such a savage and senselesds murder sababu tu alikuwa anaishi Masaki/Oysterbay?
Alishaomba msamaha kwamba aliandika hayo maneno wakati alikuwa matingas [emoji1787][emoji1787][emoji1787].Chief
Mbona kama umechufukwa? Vidole vinapishana, tuishi man.
Nimekusoma ChiefYou can read that as "una tabia nzuri sana".
Alisema ni bahati mbaya alikua kapiga kitu fulani amazing so hakua katika hali yake ya kawaida hahahahahahaChief
Mbona kama umechufukwa? Vidole vinapishana, tuishi man.
That was very tragic!Dah,
Adili Kumbuka Nigger One.
Nilikuwepo kwenye msiba, nilikwenda mpaka kwao Ilala kule kwenye mazishi.
Nigger One alikuwa ana chill sana Masaki IST lakini alikuwa na family Ilala nafikiri.
Ulikuwa msiba mkubwa, alikuwa very popular member wa Kwanza Unit.
Ooh hapo sawa, sijafika mwisho wa uzi na-comment huku naendelea kusema.Alishaomba msamaha kwamba aliandika hayo maneno wakati alikuwa matingas [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Seriously? Dah…..hiyo nilikuwa sijui aisee.Fareed dah nasikia alifariki yule jamaa
Yes , ilitokea vijana wa pande zele ni Fareed na Michael .J . Chiwanga wote wali farikiSeriously? Dah…..hiyo nilikuwa sijui aisee.
Mijitu mizima wengine wana wajukuu wanawaza jinsi walivyo kuwa wakiishi maisha ya privilege Oysterbay na Masaki sababu baba zao walikuwa vigogo Serikalini. Utakuta wengi walipelekwa Ulaya na USA kupitia pesa za kodi na leo hii maisha yamewashinda wamebaki kukumbuka how happy and lucky they were back when they were living with moms and pops i n Masaki and Oysterbay.
Mimi siku hizi nikiongea na watu kuulizia watu ambao sijawaona siku nyingi nakuwa naulizia ki magutu magutu, halafu najitayarisha kwa jibu lolote kabisa.Seriously? Dah…..hiyo nilikuwa sijui aisee.
Dah,Nani anaikumbuka Mambo Club?
Kipindi hicho ilikuwa inamilikiwa na mdogo wake na Le Mutuz, marehemu Ippy.
Siku hizi kuna klabu ingine hapo ambayo ni dada poa central.
Kuna siku nilienda just out of curiosity…..sijarudi tena maana nilikuwa kama samaki kwenye nchi kavu.