Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Nani anakumbuka siku Nigga One alivyofariki kwenye ajali ya gari?

Kwanza wangapi humu wanajua Nigga One ni nani?
Dah,

Adili Kumbuka Nigger One.

Nilikuwepo kwenye msiba, nilikwenda mpaka kwao Ilala kule kwenye mazishi.

Nigger One alikuwa ana chill sana Masaki IST lakini alikuwa na family Ilala nafikiri.

Ulikuwa msiba mkubwa, alikuwa very popular member wa Kwanza Unit.
 
Dah,

Adili Kumbuka Nigger One.

Nilikuwepo kwenye msiba, nilikwenda mpaka kwao Ilala kule kwenye mazishi.

Nigger One alikuwa ana chill sana Masaki IST lakini alikuwa na family Ilala nafikiri.

Ulikuwa msiba mkubwa, alikuwa very popular member wa Kwanza Unit.
Nadhani baba yake alikua na akaa Ilala , ila mama yake na dhani alihamia Obay , kitu kama Mama yao alikua hapo IST ,ila sina uhakika ilikuaje waka pata nyumba Oysterbay kama hakuwa mfanyakzi wa serikali au shirika , lada mama yao alikua kwnye shirika fulani , ila nadhani yule sister wake alika hapo jirani na kina Mwingira .
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomesha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
Oi mambo ya roho inakuwaje? [emoji23][emoji23]
 
Nonsense. Why exactly him? There was a whole bunch of useless, entitled, fucked up brats living free out of their parents’ government rental properties in Masaki and Oysterbay, including yourself? Kwahiyo unataka kusema Makwatta alikuwa a random victim of such a savage and senselesds murder sababu tu alikuwa anaishi Masaki/Oysterbay?
Chief
Mbona kama umechufukwa? Vidole vinapishana, tuishi man.
 
Dah,

Adili Kumbuka Nigger One.

Nilikuwepo kwenye msiba, nilikwenda mpaka kwao Ilala kule kwenye mazishi.

Nigger One alikuwa ana chill sana Masaki IST lakini alikuwa na family Ilala nafikiri.

Ulikuwa msiba mkubwa, alikuwa very popular member wa Kwanza Unit.
That was very tragic!

At the time I thought he was the most lyrical member of the group.
 
Mijitu mizima wengine wana wajukuu wanawaza jinsi walivyo kuwa wakiishi maisha ya privilege Oysterbay na Masaki sababu baba zao walikuwa vigogo Serikalini. Utakuta wengi walipelekwa Ulaya na USA kupitia pesa za kodi na leo hii maisha yamewashinda wamebaki kukumbuka how happy and lucky they were back when they were living with moms and pops i n Masaki and Oysterbay.
 
Kuna Binti mmoja Celline... ubini nahifadhi.. mtoto aliishi Zambia & Bongoyo road.. alinielewA sana.. she was the only one in the family.. alifanya Medicine, Muhimbili baadae akaenda Antlanta, Georgia.. nilikua nikifika obey.. ananitambulisha kwa Mama ake... my Boy..
Raha sanA....
 
Nani anaikumbuka Mambo Club?

Kipindi hicho ilikuwa inamilikiwa na mdogo wake na Le Mutuz, marehemu Ippy.

Siku hizi kuna klabu ingine hapo ambayo ni dada poa central.

Kuna siku nilienda just out of curiosity…..sijarudi tena maana nilikuwa kama samaki kwenye nchi kavu.
 
Seriously? Dah…..hiyo nilikuwa sijui aisee.
Mimi siku hizi nikiongea na watu kuulizia watu ambao sijawaona siku nyingi nakuwa naulizia ki magutu magutu, halafu najitayarisha kwa jibu lolote kabisa.

Unaweza kuulizia mtu, ukapata kilio.

Kuna siku nilikwenda Sinza kwa mshkaji mmoja, bahati nzuri pale nje kwao nikakuta watoto, kwanza ile nyumba nikawa kama sijaijua kwa sababu walivunja ya chini wakajenga ghorofa, nikauliza hapa ndipo kwa kina George?

Wale watoto wakajibu ndiyo, lakini George alishafariki, yupo mama yake tu.

Basi nikagonga hodi, nikamsalimia yule mama, nikaulizia namba za mdogo wake George naye alikuwa mshkaji.

Sasa nikaona bahati sana kuongea na kupata habari kutoka kwa wale watoto kwanza.

Najiuliza ingekuwa vipi ningegonga mlango halafu namuuliza yule mama George, George yuko wapi, halafu George kafariki.

Ingekuwa kama narudisha msiba upya.
 
Nani anaikumbuka Mambo Club?

Kipindi hicho ilikuwa inamilikiwa na mdogo wake na Le Mutuz, marehemu Ippy.

Siku hizi kuna klabu ingine hapo ambayo ni dada poa central.

Kuna siku nilienda just out of curiosity…..sijarudi tena maana nilikuwa kama samaki kwenye nchi kavu.
Dah,

Mambo Club ndiyo hii ya hapa Karibu Hotel siyo?

Mambo Club nimeruka sana nyoka hapo na mchizi wangu Mikola Mahiga (RIP).
 
Back
Top Bottom