Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Dah, noma sana.

Kwa Luhanga nilikuwa nakwenda kwa I. Kibonge.

Jamaa muhuni muhuni sana, maneno meengi, wakati huo primary anakula fegi mpaka ndumu. Halafu akila ndumu anataka anyonge mwenyewe, ukimnyongea tu lazima anakumind "wewe umejifunza wapi kunyonga vibaya hivi?" Aanakuzodoa.

Kibonge tulipewa makaratasi ya kuchangisha hela za madawati charity walk.

Watu wakazembea hawakuweza kuchangisha.

Kibonge kaipitisha ile karatasi kwa rafiki za baba yake, wadosi wote, kakusanya hela nyingi mpaka karatasi imeisha kaomba karatasi ya pili.

Mwalimu mkuu akamfanya mfano, anasema kuna watu hawajafikisha hata majina matatu, mtazameni mwenzenu Kibonge kachangisha mpaka karatasi imeisha kaja kuomba ya pili.

Tukamuona huyu kibonge noma sana anatufanya tuonekane wazembe.

Mzee Mwinyi alikuwa akikaa kwake pale Oysterbay, akiwa kapumzika, alikuwa anawaita jirani zake mzee Luhanga na Mzee Janguo wanapiga story na kunywa kahawa.

Wazee wamefurahia maisha, yani rais jirani yako, halafu mtu pooa.
 
[emoji1]

Ova
 
Tuko na majamaa yakishua hatari humu rumba limewapitia mbali tangu uchangani labda wajitakie uzeeni
 
😁😁😁😁 Kipipa
 
"Ipi Malecela straight from London" 🤣🤣🤣🤣

"Lemutuz super brand with American spirit '

Daha hizi damu za mzee Malecela dah wapumzike kwa amani.
🤣🤣🤣Mzee nae labda alikuwa hivo hivo ujanani, nasikia alikuwa na mapenzi ya kihindi😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee nae labda alikuwa hivo hivo ujanani, nasikia alikuwa na mapenzi ya kihindi[emoji23]
Mzee Malecela mwenyewe alikuwa full shobo.

Kwanza mshua anapiga bonge la chain la gold.

Halafu, siku nyingine Jumapili jioni unaweza kuwa unatembea mtaani, mara eeh, unakutana na Waziri Mkuu anaendesha Benz yuko peke yake anazunguka mitaa tu Oysterbay.

Siku moja nimemuona hivyo nikashangaa sana, Mzee Malecela, Prime Minister, anajiendesha mwenyewe mitaa ya Oysterbay karibu na kwake.
 
Kuna mtangazaji maarufu sana wa clous FM alikua anaitwa Vivian alikufa kwa ajali na mchumba wake wakiwa njiani kuelekea kutambulishana huko Arusha.Kuna mtu anakumbuka hii issue?
 
Complex alikua maarufu miaka hiyo ila sijui huko Dar aliishi ushuani au uswazi
 
Hata Magu alikua anatoka Ikulu na unmarked car kisiri anapiga misere sana tuu , hata Uncle Ben ,JK sitashangaa kama naye alikua anatoka , hahahahaahahahah
 
Hata Magu alikua anatoka Ikulu na unmarked car kisiri anapiga misere sana tuu , hata Uncle Ben ,JK sitashangaa kama naye alikua anatoka , hahahahaahahahah
Dah,

Wazee wali own nchi. Yani hata hawakuogopa .

Yani nimemuona Mzee Malecela anajiendesha mwenyewe kwenye bonge la Mercedes Benz yuko peke yake roundabout ya Mbuyuni ya Karume Road kwenda kwa Mzee Mwandoro huku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…