Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Kuna mtangazaji maarufu sana wa clous FM alikua anaitwa Vivian alikufa kwa ajali na mchumba wake wakiwa njiani kuelekea kutambulishana huko Arusha.Kuna mtu anakumbuka hii issue?
Ilikuwa Fiesta Festival ya Cluds Morogoro, ilkuwa jumaMosi, ilipo isha wakawa na plan ya kwenda Arusha kwa Wazazi ambapo Vivian wazazi wake walikua na their Wedding Annivesary , kwa kuwa Show iliisha late , wakachelewa kuamka asubuhi wakakuta mabasi yamesha ondoka, ndio wakapanda gari ambalo likashusha Chalinze, hapo wakawa wana subiri usafiri wowote kwenda Arusha.
Siku hiyo kulikuwa na match ya Simba na Yanga wana cheza Arusha , hivyo kuna watu wengi walikua wana toka Dar kwenda Arusha wakipita Chalinze .
Ghafla kuna gari Land Crusier V8 ikasimama, walikua wame simama barabarani watu watatu, Vivian ,Complex na Babu mmoja, kwnye gari kulikua na watu wa tano, seat zizlizo kuwa empty ni zile za nyuma kabisa , mwenye gari alikua ame safiri na mwanae ambapo walikua wanakwena kuangalika Simba na yanga , hivyo aka mwambia mwanae ampishe huyo babu akae mbele , yeye huyo kijana akae kule nyuma na vijana wenzake ambao ni Vivian na Complex ( Inawezekaa dogo naye alikuwa so exited kukaa na stars).
Safari ikaanza , haupita muda tairi lika burts , gari ikokosa mwelekeo , ika yumba na kutoka nje ya barabara na kuanza rudi kinyume nyume , wakati ina rudi ikaingia porini ikaanza gonga miti kwa nyuma , ilipo kuja simama ile section yote ya nyuma ilikuwa ime bondeeka vibaya sana na wote walio kaa nyuma walitolewa wote walikua wamesha fariki kasoro Vivian, ,ila naye akafariki wakati wana mwingiza kwnye gari wakitaka mkimbiza Hospital .
Ilisikitisha sana hiyo habari , ukisingatia vijana walikua wandogo na wana a bright future , halafu yule mwenye gari sijui alijilaumu kwa kiasi gani kuruhusu mwanae kukaa kule nyuma kumpisha a total stranger kukaa mbele kiasi cha kusababisha kifo cha mwanae . hiyo ndio habari ilivyo kuwa . R.I.P.
 
Dah,

Wazee wali own nchi. Yani hata hawakuogopa .

Yani nimemuona Mzee Malecela anajiendesha mwenyewe kwenye bonge la Mercedes Benz yuko peke yake roundabout ya Mbuyuni ya Karume Road kwenda kwa Mzee Mwandoro huku!
hawakutaka kufungwa, alaitaka uhuru hahahahahahhahaha, nakumbuka story ya God chain ya Malechela hahhahah
 
hawakutaka kufungwa, alaitaka uhuru hahahahahahhahaha, nakumbuka story ya God chain ya Malechela hahhahah
Pale shuleni Oysterbay Primary Bakhressa kachukua kiwanja nyuma ya shule kulikuwa na bustani ya Mchambawima kajenga nyumba naona.

Kule La Dolce Vita/ NDC tulikuwa tunaenda ku chill/club wamejenga apartments all over.
 
Pale shuleni Oysterbay Primary Bakhressa kachukua kiwanja nyuma ya shule kulikuwa na bustani ya Mchambawima kajenga nyumba naona.

Kule La Dolce Vita/ NDC tulikuwa tunaenda ku chill/club wamejenga apartments all over.
Aisee , sikujua kule pale kwa Bharesa ilikua part ya shule , maana kachukua mpaka huku Bongoyo road . Ysa hakumbuka La Dilce Vita kukuchoma na mbuzi choma, baadae Clouds wakaja hapo ,lol
 
Kwahiyo Kiranga atheist we ni mtoto wa kishua si kitoto??
 
How Kiranga?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Mimi huwa nafunguka tu, sina status anxiety.

Kuna siku utaniona kwenye uzi wa waliokaa Tabata Ubaya Ubaya nyumba zisizo na dari zenye vyoo vya passport size, kila siku unagongewa mlango na vitoto vinasema "Mama kanituma anaomba shilingi mia".

Maisha hayo nishaishi pia.

Kwa hivyo usinidogoshe kuniona wa kishua tu.
 
Mkuu I learn from you. I've got a great desire to see your face dude

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Mzee Warioba ni mtu wa watu sana. Yaani kama alivyo Gotta tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…