Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Enzi za drive in,kuna watoto wa kishuwa waliandaa mule ndani bottle party..aise ilikuwa hatari

Ova
Drive Inn dah , nakumbuka tukienda na family zile pekeaker za kuntundika kwnye gari , baadaye sikawa kwenye poles pembeni ya vilima vya parking sababu watu walikua wan ajisahau ana ondoa magari wana kata seakers .
 
Ilikuwa Fiesta Festival ya Cluds Morogoro, ilkuwa jumaMosi, ilipo isha wakawa na plan ya kwenda Arusha kwa Wazazi ambapo Vivian wazazi wake walikua na their Wedding Annivesary , kwa kuwa Show iliisha late , wakachelewa kuamka asubuhi wakakuta mabasi yamesha ondoka, ndio wakapanda gari ambalo likashusha Chalinze, hapo wakawa wana subiri usafiri wowote kwenda Arusha.
Siku hiyo kulikuwa na match ya Simba na Yanga wana cheza Arusha , hivyo kuna watu wengi walikua wana toka Dar kwenda Arusha wakipita Chalinze .
Ghafla kuna gari Land Crusier V8 ikasimama, walikua wame simama barabarani watu watatu, Vivian ,Complex na Babu mmoja, kwnye gari kulikua na watu wa tano, seat zizlizo kuwa empty ni zile za nyuma kabisa , mwenye gari alikua ame safiri na mwanae ambapo walikua wanakwena kuangalika Simba na yanga , hivyo aka mwambia mwanae ampishe huyo babu akae mbele , yeye huyo kijana akae kule nyuma na vijana wenzake ambao ni Vivian na Complex ( Inawezekaa dogo naye alikuwa so exited kukaa na stars).
Safari ikaanza , haupita muda tairi lika burts , gari ikokosa mwelekeo , ika yumba na kutoka nje ya barabara na kuanza rudi kinyume nyume , wakati ina rudi ikaingia porini ikaanza gonga miti kwa nyuma , ilipo kuja simama ile section yote ya nyuma ilikuwa ime bondeeka vibaya sana na wote walio kaa nyuma walitolewa wote walikua wamesha fariki kasoro Vivian, ,ila naye akafariki wakati wana mwingiza kwnye gari wakitaka mkimbiza Hospital .
Ilisikitisha sana hiyo habari , ukisingatia vijana walikua wandogo na wana a bright future , halafu yule mwenye gari sijui alijilaumu kwa kiasi gani kuruhusu mwanae kukaa kule nyuma kumpisha a total stranger kukaa mbele kiasi cha kusababisha kifo cha mwanae . hiyo ndio habari ilivyo kuwa . R.I.P.

Nakumbuka hili tukio tuko sheikh amri abeid mechi ya simba na yanga jpili ya agost 21 2005
 
Hahahaha nilikuwepo aisee halafu kuna jama alipanda hapo juu akawa ana rap In Patois , watu tukasema huyu jamaa mbongo hiyo Patois kaijulia wapi? , tukasema anatuingiza mjini huyu hahahahaahaha,
Hahaaa,

Naitafuta sana video ya ile concert.

Ile patois ilikuwa pure and uncut, mpaka Jah Kimbute na Justin Kalikawe waliielewa.

Yule jamaa ndiyo mimi sasa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaaa,

Naitafuta sana video ya ile concert.

Ile patois ilikuwa pure and uncut, mpaka Jah Kimbute na Justin Kalikawe waliielewa.

Yule jamaa ndiyo mimi sasa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahahhhahhha aisee sikutegea kuja kutana na yule jama amabye ndio wewe, yani huwezi amini nilikua nakumbuka ile Patois halafu nikitoaga story na sema kuna jamaa alituingiza mjini kwa fake Patois , hahahahahaha kumbe ulikua wewe hahahaha ,sasa washkaji tulio kua pale wote tulijua una tuingiza mjini aisee, safi sana kama ili kua real, dah, itabidi unichekie hiyo video aisee , kama ipo ebwana ita kua fresh sana , hahahahaaaa
 
Hahahahahhhahhha aisee sikutegea kuja kutana na yule jama amabye ndio wewe, yani huwezi amini nilikua nakumbuka ile Patois halafu nikitoaga story na sema kuna jamaa alituingiza mjini kwa fake Patois , hahahahahaha kumbe ulikua wewe hahahaha ,sasa washkaji tulio kua pale wote tulijua una tuingiza mjini aisee, safi sana kama ili kua real, dah, itabidi unichekie hiyo video aisee , kama ipo ebwana ita kua fresh sana , hahahahaaaa

Watu wengi sana walikuwa hawaamini.

Kuna siku moja nilikuwa studio na rafiki yangu East Africa FM, nilikuwa na flow patois live over dancehall beats.

Rodney Mutie alikuwa amekaa na rafiki zetu wengine Mwenge, nafikiri pale Maryland Bar, wanasikiliza kile kipindi.

Sasa, Mutie akawa anawaambia wale jamaa, mnasikia hiyo Patois? Huyo ni mchizi wangu yuko live studio sasa hivi.

Wale jamaa wakaona Mutie anawazingua, wakisema haiwezekani, hiyo ni CD mnapiga, huyo si Mtanzania.

Basi Mutie akaweka nao bet, akamchukua mmoja akaja naye mpaka studio, akamuonesha through the glass nipo studio nina toast Patois.

Jamaa hakuamini.
 
Watu wengi sana walikuwa hawaamini.

Kuna siku moja nilikuwa studio na rafiki yangu East Africa FM, nilikuwa na flow patois live over dancehall beats.

Rodney Mutie alikuwa amekaa na rafiki zetu wengine Mwenge, nafikiri pale Maryland Bar, wanasikiliza kile kipindi.

Sasa, Mutie akawa anawaambia wale jamaa, mnasikia hiyo Patois? Huyo ni mchizi wangu yuko live studio sasa hivi.

Wale jamaa wakaona Mutie anawazingua, wakisema haiwezekani, hiyo ni CD mnapiga, huyo si Mtanzania.

Basi Mutie akaweka nao bet, akamchukua mmoja akaja naye mpaka studio, akamuonesha through the glass nipo studio nina toast Patois.

Jamaa hakuamini.
East Africa FM ilianzishwa ili ku promote muziki wa reggae. Baada ya Rodney kutangulia mbele za haki, mambo yakabadilika sana.
Nahisi hicho kipindi kilikuwa Road block. Big up sana Kiranga
 
East Africa FM ilianzishwa ili ku promote muziki wa reggae. Baada ya Rodney kutangulia mbele za haki, mambo yakabadilika sana.
Nahisi hicho kipindi kilikuwa Road block. Big up sana Kiranga
Mkuu wewe code unazijua zote.

Big Up.
 
Aisee
Mkuu, nimeshikwa na kigugumizi
Hata sijui nianzie wapi kuuza nyaraka[emoji23]
Kumbe na Eric Buddhist ulikuwa nae
Eric alienda Malaysia. Alipiga chuma kikamkubali kichizi. Huyu wa Upanga.

Halafu kuna Eric mwingine wa Sinza. Alienda Temple ya South Africa akapanda meli akawa baharia akafika mpaka New Orleans, alitaka kukimbilia US lakini akishindwa.
 
Back
Top Bottom