Ilikuwa Fiesta Festival ya Cluds Morogoro, ilkuwa jumaMosi, ilipo isha wakawa na plan ya kwenda Arusha kwa Wazazi ambapo Vivian wazazi wake walikua na their Wedding Annivesary , kwa kuwa Show iliisha late , wakachelewa kuamka asubuhi wakakuta mabasi yamesha ondoka, ndio wakapanda gari ambalo likashusha Chalinze, hapo wakawa wana subiri usafiri wowote kwenda Arusha.
Siku hiyo kulikuwa na match ya Simba na Yanga wana cheza Arusha , hivyo kuna watu wengi walikua wana toka Dar kwenda Arusha wakipita Chalinze .
Ghafla kuna gari Land Crusier V8 ikasimama, walikua wame simama barabarani watu watatu, Vivian ,Complex na Babu mmoja, kwnye gari kulikua na watu wa tano, seat zizlizo kuwa empty ni zile za nyuma kabisa , mwenye gari alikua ame safiri na mwanae ambapo walikua wanakwena kuangalika Simba na yanga , hivyo aka mwambia mwanae ampishe huyo babu akae mbele , yeye huyo kijana akae kule nyuma na vijana wenzake ambao ni Vivian na Complex ( Inawezekaa dogo naye alikuwa so exited kukaa na stars).
Safari ikaanza , haupita muda tairi lika burts , gari ikokosa mwelekeo , ika yumba na kutoka nje ya barabara na kuanza rudi kinyume nyume , wakati ina rudi ikaingia porini ikaanza gonga miti kwa nyuma , ilipo kuja simama ile section yote ya nyuma ilikuwa ime bondeeka vibaya sana na wote walio kaa nyuma walitolewa wote walikua wamesha fariki kasoro Vivian, ,ila naye akafariki wakati wana mwingiza kwnye gari wakitaka mkimbiza Hospital .
Ilisikitisha sana hiyo habari , ukisingatia vijana walikua wandogo na wana a bright future , halafu yule mwenye gari sijui alijilaumu kwa kiasi gani kuruhusu mwanae kukaa kule nyuma kumpisha a total stranger kukaa mbele kiasi cha kusababisha kifo cha mwanae . hiyo ndio habari ilivyo kuwa . R.I.P.