Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Eric alienda Malaysia. Alipiga chuma kikamkubali kichizi.
Kuna muda nilikutana nae anaongea kichina kama chote
akanipeleka gym moja mitaa ya msasani, karibu na kanisani bondeni , akanitoa nishai weights za kutosha, alikuwa akiweka akili yake kwenye kitu chochote, anafanya kwa 110%
Kuanzia BMX yake, mpaka Basketball Vijana
 
Kuna muda nilikutana nae anaongea kichina kama chote
akanipeleka gym moja mitaa ya msasani, karibu na kanisani bondeni , akanitoa nishai weights za kutosha, alikuwa akiweka akili yake kwenye kitu chochote, anafanya kwa 110%
Kuanzia BMX yake, mpaka Basketball Vijana
Kuna watu walikuwa na vipaji. Watu walikuwa wanapiga vyuma kama hawana akili nzuri.
 
Chuki kati ya wenye nacho na wasio nacho, wivu, roho mbaya ukichanganya na umasikini, ni ugonjwa mbaya sana.
Hakuna cha waliokuwa nacho, wazee wengi wa Obay walikuwa na njaa tuu, walikuwa watumishi wa serikali na wengi hawakuwa wezi kama hawa wa siku hizi, zile trip za ulaya, land rover, nyumba etc sio utajiri na zilikuwa mali za serikali na wengi walipostaafu waliishia kuadhirika tuu
 
Kalikawe nlikuwa namuonaga sana
Mitaa ya upanga, kipande cha dinbosco ,alikuwa anaishi huko pia upanga

Ova
Alikuwa anaishi UN Road opposite na Tambaza Secondary.

Justin alikuwa so devoted to his music and being a rasta, down to the diet, jamaa alikuwa hali nyama kabisa.

Justin ali inspire a whole generation of Upanga kids wajifunze kupiga gita.

Dah, mmenikumbusha Justin.

Mmenikumbusha mbali sana.
 
Watu wengi sana walikuwa hawaamini.

Kuna siku moja nilikuwa studio na rafiki yangu East Africa FM, nilikuwa na flow patois live over dancehall beats.

Rodney Mutie alikuwa amekaa na rafiki zetu wengine Mwenge, nafikiri pale Maryland Bar, wanasikiliza kile kipindi.

Sasa, Mutie akawa anawaambia wale jamaa, mnasikia hiyo Patois? Huyo ni mchizi wangu yuko live studio sasa hivi.

Wale jamaa wakaona Mutie anawazingua, wakisema haiwezekani, hiyo ni CD mnapiga, huyo si Mtanzania.

Basi Mutie akaweka nao bet, akamchukua mmoja akaja naye mpaka studio, akamuonesha through the glass nipo studio nina toast Patois.

Jamaa hakuamini.
Ebana nataka nijue wewe ni nani hahahahaha, dah, inabidi nizane kuvuta kumbukumbu yule jamaa pale alikua nani , maana nakumbuka sana alivyo panda ila nina uhakika nakujua kama yote hayo ume yafanya hahahhaahah aisee, ilikua si mchezo ,
 
Duh, wewe ,unataja wau hapo nime watambua ni Warioba ,Malocho , kwa malocho sikuwahi kwenda kwnye party ila Miriam alisha wahi fanya party ya vijana yani ya Ki brazamen na masista doo, ilifanyika kwa kina Manyeng'a yani ili combintiona ya watu wawili ilikuwa yani Sophia na Miriam, enzi hizo tunaiga mambo ya Kimarekani ya House Pary the movie kama zile zilizo fanyika kwa kina Eddy Sapi.

Komanya ni wepi yule Waziri ? nakumbuka aliamia mwisho mwisho kabisa huku Oysterbay ya sisi wa Kongwe na sikumbuki kama klikuaga na zile party.

Mahiga ( balozi) sikujua alikaa Obay, kuna Mahiga kaka yake alikaa Oysterbay Mtaa wa Hill road , Mahga balozi alikaa Obay zamani sana miaka ya late 70.s kabla ya kwenda Canada , sikujua kama alikaa Obay.
Bakilana, sikujua kulikua na Bakilana wengine wa huko Mzinga way, kuna Bakilana wale aliokaa huku kama Kenytatta drive au Kaunda dr na kuna hawa walio kaa Msasani road pembeni ya Oysterbay Primary school ,hao wa Mzinga way siwakumbuki .Mtei ni yupi huyo? nlidhani Obay na kumbuka or najua kila mtu.
Party za Warioba zipi hizo , zile akiwa Waziri mkuu? nakumbuka nilienda paty kama Mbili au tatu , moja sijui ilikua ni birthday ya JUne ,kitu kama hicho , wakiwa wamehamia hapo kwa JUmba la Waziri mkuu ,nili attend hizo ila hazikua nyingi na huyo friend wako wa Geneva ni nani ni ,Simon ? maana Smon alikuwa anakuwepo kwenye party hizo.

Mengi akiishi Msasani Road hiyo longtime sana aisee, hata niko primary school ,hapo Obay , tukikaa kwnye mbuyu pale akipita na Mercedez ndio wana sema wadau huyo mzee ni tajiri Oysterbay Nzima, kumbe uhalisia ni Tajiri Tanzania nzima.

TZA na toyota stoud dah, wachana karibu wote walikua na hizo pick ups ,sijui waliambizana , ilafika wakati , kila familai wana pickup huko obay, matokeo yake wachache tuu ndio wakaw na magari ya ukweli ya vijana kutanulia coco beach ( enzi hizococo beach Jumapili wana jaa watoto wa kishua tuu na kutanuliana mavazi na magari) naw alio tesa na mabari ya ukweli Merrcedez Audi,BMW na kumbuka ni kina Janguoz, Abebez,Yuyu,Mandaraz, Yule jma wa Masaki , walimuuaga Manzese wakidhani ni jambazi, ( nime msahau kina alikua wa Ki Mix wa kiarabu) na wengine wachache nime wasahau kwa hapa.

Ajabu Motie sikumjua kabisa , wala sikuw ahi muona kwnye party zozote za vijana wala coco beach, Motie nime kuja mjua ( Kumuona kwnye kuparty) baada ya kuanza date huyu Seko , tena niliza kumuona Bar One, nilikua na msikia tuu ila kwnye party scenes nilikua simuoni ,s ijui ilikua tuna pishana vipi mpaka nilikua simjui hata ana fananaje, sikumbuki nani nilikua na anz amuona zaidi ni Mdogo wake or Motie .
Abbad Mwinyi hapo nilikua nadhani nilisha Ondoko Bongo , sikumbuki matanuzi yake ila nakumbuka matanuzi ya Abdul Msomali na Albert pia.

Party za kina Eddy Sapi, zilkua kiboko , tulikua tunajiona tuko America kabisa ,kwa jinsi tulivyo kua tuna jidanganya kwa kuiga umarekani kupitia hizo Movies za House Prty .
Wazee wetu Oyesterbay, walikua wana mkosoa sana Mzee Adam Sapi kwa kuruhusu party hizo kufanyika nyumbani kwake, kuruhusu vijana kufanya party bila usimamizi wa wazee.

Kuna siku ilifanyika party hapo the Green,Osyterbay ( Mabembeani) , watu tumesha jiandaa ana kufika hapo , tunakuka mapolice wamejaa na party ime fungwa, kumbe wazee wa Oysterbay wali gundua sijui mnoko gani aliwatonya , basi wazee waka contact Mzee mmoja alikua sijui na cheo gani cha Police anaitwa Mwaitenda (Marehemu) basi akaamuru police wakaja hapo kuzuia party, watu tumesha pigilia Reebok zetu ( High Tops) enzi hizo ndio balaa tena baba kaleta toka UK , tumesha amua wakomesha mabishoo filani ambao walikua wanajiona wanajua sana kupigilia vitu vya Ukweli, ila wao wamevaa FILA sisi tuna Reebok na jensz na Tshirts za Ukweli toka majuu , ilikua tukiingia lazima ugeuke maana enzi hizo viu vya nje ni vichache sana na mpaka mtu Uletewe toka nje ,lasivyo utavaa yuliita "Dar Combined" , yani kila mtu anacho , sasa ujania ilikua ukiingia sehemu unapiga kitu tofauti , uliwakomesha mabishoo fulani fulani, ( Mnajijua kama mna soma hapa ) basi tukatangaziwa hapo kwamba Party hakuna na wote watawanyike kurudi majumbani ,duh, sijui MaDJ ndio walikua kina Abel Siwale (Marehemu) na organizers walikuona Mmoja wapo Franco Mtui (Marehemu), ikawa tafrani tuu , kilammoja hajui nini kifanyike.

Basi watu tukawa so dissapinted , ila kabla hatujaaza kurudi tukasikia wana sema kwamba Eddy Sapi kaenda muomb baba yake tufanyie party kwao, na baba yake kakubali, acha bOnge la shangwe lifanyike ,wote tuka ahamia huko kwa Sapi ( Ilikua party kama ya pili kufanyika hapo) ,ila huw ana shindwa elewa watu ulikua tunapataje taarifa na kulikua hakuna cellphone?, basi Wababa zetu , waka kasirika sana waka kemea vikali Mzee Sapi kuruhusu hizo party kufanyika hapo , lakini wapi tupa piga shangwe mpaka late night.

Beach parties, hizo zilikua za kishua hapo coco beach, hakuna wahuni, ,sijui nani alikuja wa tonya watoto wa Manzese, ikaja kuwa balaa, beach parties zikaja vamiwa na wahuni toka Manzense ( enzi hizo Manzege ni ina wahuni hata Mbagara wanasubiri na Mbagara enzi hizo hata hatuijui na sijui kama ilikuwa na watuw anaishi huko nadhani ilikua pori ) unakuta usiku ziadi ya hata 500 wahuni wakitembea kwa miguu kuja beach Usiku kwnye beach party na ndiopo zikaja acha kufanyika , bila kusaghau zile Pickniks za kibisho , ezi hizo tuna shobo na totoz za Zanaki na Shaban robert.

Miaka ile tumekula maraha sana , wengine tulidhani labda kukulia America tungekuwa na fun zaidi, ila baada ya kwenda US na kuona teenagers wanavyo enjoy life kinamna yao, nikasema Bongo nilikuwa na enjoy zaidi kushinda hawa wa huku maana age ina walimit kwenye mambo mengi sana, Bongo ilikuwa tunajiachia kwa raha zote.
Aliishi karibu na IST kabla ya kuondoka nchini, huyo wa Hill Road alitokea Chang'ombe kota, wote hawa walifariki.
 
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
unataka urithi????
 
Back
Top Bottom