Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
- Thread starter
-
- #821
isee una umiza watu , hapo watu wana wish wange kuwa Bongo this summer aisee hahahahaNgoja tuwapaishe na wa mbezi beach
Wazee wa mbezi beach rainbow na kwa zena leo tuko pande zenu
Ova
View attachment 2688889View attachment 2688890
Acha leo tukajichanganye na wavimba macho Chinese [emoji1] regentNashindwa hata ku recognise mitaa aisee duh
Obey imetoa miss Tz wawili, mmoja ametajwa hapa mwingine bado, ni huyo unayemzungumzia?Ngoja nianzishe Uzi wa Pisi kali moja famous Tanzania nzima kwa wahenga wote hadi wazazi wetu ila ni wachache sana walijua ilikuwa ni kutoka Oysterbay.
Ni kwasabababau ukiwa Tanzania unakuwa a first class citizen ila Marekani huwezi kuwa na daraja hilo.Kweli kabisa, kabla ya kwendda Ulaya and America, nilikua nina Wish ninge zaliw aUlaya au bba aynge angekua balozi Ulaya or America, ila baada ya kufika America nakuona watoto wa age zetu wanavyo ishi nikasema sijutiii kuzaliwa na kukulia Bongo nikiwa a teenager , bata zilikua za maana hahahahahahhaha
Huyo mzee Shaba ni yule Profesa?Jama nauliza pia , kuna demu mmoja alikua ana kaa pale wa Mzee Shaba, sina uhakika alikua ni mjukuu au mwanae, nilikuwa nina mzimia kinoma,
Wazee wa nightmare [emoji1]A
isee una umiza watu , hapo watu wana wish wange kuwa Bongo this summer aisee hahahaha
Kweli wewe ni a Night Owl , Morrocco naiona hapo , hahahahahahahaha , unatokea kiwanja gani?
Maelezo yamenyooka,Mtoto wa Malecela wa kiume aliyekuwa anajulikana Oysterbay ni marehemu Ipi Malecela.
Ipi alikuwa anaendesha Benz anapenda kupiga nyimbo za Notorious BIG Oysterbay Beach.
Ipi alikuwa akirudi kutoka Uingereza lazima Bonny Love amtangaze club, "Ipi Malecela straight from London".
Alikuwa anawaletea watu wa Clouds records (LP), tena akiwaletea records anawanunulia mbilimbili, moja anampa DJ Bonny Love, nyingine anampa Kusaga.
Sasa watu walikuwa wanashangaa inakuwaje Bonny Love anamfagilia sana Ipi Malecela? Kumbe Ipi alikuwa anawanunulia sana LPs Clouds.
Mzee Malecela alikuwa anamuandaa Ipi kwenye chama, akawa kiongozi jumuiya ya vijana, akafariki katika mazingira ya utatanishi naye.
Mzee Malecela akaulizwa kama anataka mwili wa Ipi ufanyiwe autopsy madaktari wajue vizuri kilichomuua, lakini Mzee Malecela alikataa, akisema yote ni mapenzi ya Mungu tu.
Marehemu William "LeMutuz" alikuwa mkubwa sana kwetu nafikiri alishaingia kwenye ubaharia miaka hiyo, hivyo watu wengi wa rika letu hatukupata kumuona tulivyokuwa Oystebay.
Mimi William nimekuja kukutana naye baadaye kabisa New York.
Mkuu uandishi mgumu huuLe utuzi aliweza sababu hakuwa anahesabika kwama mwana wa nyumba kubwa, yule hakuwahi ishi nyumba ya mzee yule na ina wezekana hata labda alikua hatambuliki , wote walio close to that family wataua mbia Lembebe hakuwepo .
Nilicho jaribu kusema ni kwamba Lemutuz hakukaa Oysterbay wala kwenye nyumba ya mzee wake, tulio kaa Obay haukumjua wala kumuona , alijilea kiamaisha akiwa mwenyewe .Mkuu uandishi mgumu huu
Ok! Kwa maelezo yake kuna kipindi alikaa ikulu kwa mjomba wake ambae alikuwa akiishi na kifanya kazi ikuluNilicho jaribu kusema ni kwamba Lemutuz hakukaa Oysterbay wala kwenye nyumba ya mzee wake, tulio kaa Obay haukumjua wala kumuona , alijilea kiamaisha akiwa mwenyewe .
Mkapa alikuwa anakaa Upanga Sea View karibu na pia Mzee MalecelaSijaona mnawazungumzia watoto wa Benjamin Mkapa au hawakuwa sehemu ya wana osterbay miaka hiyo?.
Hao watoto wa mzee marehemu mzee mkobo walikuwa ni shida aisee, kipindi tunahamia sinza kutoka ocean road walitutesa sana, ila sitasahau ngumi za mfike(fike wilson) alipigana na dame pale kijiweni hakuna alieingilia ule ugomvi hadi polisi wanawaogopa. Pati mapanga alifia kwa madiba baada ya kupigwa risasiMmhh kumbukumbu zangu ananijia mtu aliyekuwa akiitwa SALU MAFISH (r.i.p) huyu alikuwa akituuzia wale samaki wa kuweka urembo sebuleni, vip unawajua kina ayoub mkobo (vandame),msafiri mkobo,pati mapanga(r.i .p),husen bilida, denis kinyani,abdala na abeid na simba kumekucha,
Haha mishe mishe tu hayaKweli wewe ni a Night Owl , Morrocco naiona hapo , hahahahahahahaha , unatokea kiwanja gani?
Umepuyanga dada, baba t ni rasta mmoja ambae sasahivi ni marehemu alikuwa mtangazaji ae radio na tv, sio mtz alikuja tuBaba T alimaanisha Afande Sele anaitwa baba Tunda!!!! Sio huyo wa ushuhani
Kuna mwana kashuka leo.Acha leo tempe Kiranga dedication
Yake upanga Seaview moja tunapita
Wingawinga
Ova
View attachment 2692023View attachment 2692024
Fike nafkiri yupo Abu Dhabi au marekani sa hivi ni trainer wa gym uko. nguvuHao watoto wa mzee marehemu mzee mkobo walikuwa ni shida aisee, kipindi tunahamia sinza kutoka ocean road walitutesa sana, ila sitasahau ngumi za mfike(fike wilson) alipigana na dame pale kijiweni hakuna alieingilia ule ugomvi hadi polisi wanawaogopa. Pati mapanga alifia kwa madiba baada ya kupigwa risasi
Hapana baba zetu waliishi kipindi cha utiifu wa Nyerere ufisadi ulikua ni kwa kiwango cha chini sana.sema nini nyie wa obay na masaki mlikuwa watoto wa mafisadi au mnabisha?!
Kama umetokea maporini ukaja mjini, kaa kwa kutulia na kuwa mpole...sema nini nyie wa obay na masaki mlikuwa watoto wa mafisadi au mnabisha?!
Hahah wame cream kwamba mtu akiishi life lake ni lazima awe fisadi. So sad!!! Msamehe tu!Kama umetokea maporini ukaja mjini, kaa kwa kutulia na kuwa mpole...