Vifo vya watoto wa shule Arusha: Mabasi ya shule yapewe vipaumbele barabarani

Vifo vya watoto wa shule Arusha: Mabasi ya shule yapewe vipaumbele barabarani

Wakati Dereva wa Lile Gari la Shule ameenda kuomba msaada Nani Alifungua Mlango hadi watoto wakazama?
Dereva alikuwa anaanza kuwaokoa watoto, alipoona watu wanakuja mbio akamuachia mtoto akatumbukia Tena kwenye gari yeye akakimbia.
Hayo maelezo ya mtoto aliyenusurika kifo aliokolewa na Dereva, pia alikaa siti moja na mtoto aliye achiwa na dereva.
 
Dereva alikuwa anaanza kuwaokoa watoto, alipoona watu wanakuja mbio akamuachia mtoto akatumbukia Tena kwenye gari yeye akakimbia.
Hayo maelezo ya mtoto aliyenusurika kifo aliokolewa na Dereva, pia alikaa siti moja na mtoto aliye achiwa na dereva.
Kwa kuangalia Lile Gari halikupinduka na Madirisha ya pembeni Yana nondo. Kuingia tu Kwenye maji kusingesababisha watoto kuzama .. kama ni vifo ilitakiwa miili Iwe ndani..

Kuna uwezekano mlango ulifunguliwa na watoto wakajaribu kutoka na kutishia Kwenye maji. Au nieleweshwe.
 
Dsm tuna visababu kwamba watoto wanakurupushwa saa 05:00 sababu kukikucha kuna foreni watachelewa shuleni.sijui arusha ninikilifanya watoto wakaamshwa mapema??

Msimu huu wa mvua nilishangaa kusikia pamoja na watoto kutoka kusherehekea sikukuu,bado mzazi aliruhusu mtoto aende shule pamoja na hali ya hewa kutokuwa rafiki,jamani embu tusimame ktk nafasi zetu kama wazazi.
Hapa dsm kukikucha kuna mawingu hakueleweki,watoto wanalala,mvua ikiwakuta shule hasa hizi za miguu mwalimu haruhusiwi kuwaruhu watoto kutoka shuleni isipokuwa kama watafuatwa na wazazi husika.

Nchi yetu bado haiko serious na jambo lolote lile,ndio sababu makosa ya barabarani ambayo ni chanzo cha kifo yanawekwa kwenye mzani na 30k ya fine,inabidi tuwe serious kidogo.
 
Kwa kuangalia Lile Gari halikupinduka na Madirisha ya pembeni Yana nondo. Kuingia tu Kwenye maji kusingesababisha watoto kuzama .. kama ni vifo ilitakiwa miili Iwe ndani..

Kuna uwezekano mlango ulifunguliwa na watoto wakajaribu kutoka na kutishia Kwenye maji. Au nieleweshwe.
Gari ilitangulia mbele kwenye maji, yakaanza uingia mbele.
Anko(Dereva) akaanza kuwatoa watoto kupitia kioo cha nyuma kilikuwa imevunjika au kimevunjwa.
Dereva alipoona watu wanakuja akaachia kuokoa akakimbia. Walimshambulia sababu alikuwa mbishi alipo ambiwa asipite maji mengi.
Fuatilia YouTube Kuna mahojiano ya watoto waliofanikiwa kuokolewa au kujiokoa.
 
Gari ilitangulia mbele kwenye maji, yakaanza uingia mbele.
Anko(Dereva) akaanza kuwatoa watoto kupitia kioo cha nyuma kilikuwa imevunjika au kimevunjwa.
Dereva alipoona watu wanakuja akaachia kuokoa akakimbia. Walimshambulia sababu alikuwa mbishi alipo ambiwa asipite maji mengi.
Fuatilia YouTube Kuna mahojiano ya watoto waliofanikiwa kuokolewa au kujiokoa.

Tuna matatizo sugu ya kutokuviona vipaumbele. Waliopaswa kuokoa walikimbilia kupigana kwanza. Mola atuhurumie.

Hata tulipo hatuna mpango mkakati wa nini kutokea hapa. Tuseme je? Mola ayapishilie mbali.
 
Back
Top Bottom