Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Duuuuh hv havipo kwny MENU yoyote ile mkuu ni vile vifurushi vya kuunganishwa juu kwa juu cjui km ushawah kuvitumia
yani mkuu ulivyotaja unavyovipata hio ni royal bundle ya elfu 10, ulilipa 16k?
 
Voda wamepandisha bei ya vifurushi vya net. 10GB @week ni 20k badala ya 15k.

Kunani?
 
Daah laini yangu ya zantel imepotea na huku iringa hazipo ilikuwa inanifaa sana kwenye vifurushi vya data kwa sasa napambana na hawa majizi wengine so sad[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mbona iringa zipo nami yangu nimeisajiri iringa
 
Mimi nilisajili dar baada ya kuhangaika kuzipata hapa iringa ni pande zipi zinapatikana Kwa sasa mkuu.
Kuna jamaha yuko iringa pale stendi kuu ya zamani ile ya mjini ngoja nikutumie namba yake Pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…