Ukiona hizo dalili unakuwa tu mpole dk kadhaa then unajaribu tena.
Kinacho kera ni hiyo tabia umesha jiunga internet ipo fresh kabisa muda ukifika hiyo saa sita internet ina kata na kurudi kila baada ya sekunde.
Solution: Ikifanya hivyo vuta subira hadi kwenye saa nane hivi jaribu tena.
Tapeli kazini.Ona huyu naeView attachment 1222136
Na Kuna watu wataingia kingi😂Ona huyu naeView attachment 1222136
Mkuu kuna zile modem za zantel ambazo hazitumii line, je una taarifa yoyote juu ya hatma zake maana naona hazishiki network kabisa.Unlimited kabisa na ukiwa na line ya 4G Ni masaa machache tu, na uzuri wa halotel hakuna disconnection za kila Mara hivyo unaiweka Kisha unalala ukiamka asubuhi imemaliza.
Walishafunga CDMA nchi nzima mkuu.Mkuu kuna zile modem za zantel ambazo hazitumii line, je una taarifa yoyote juu ya hatma zake maana naona hazishiki network kabisa.
Hata me ninayo baada ya kufunga CDMA nilishaigeuza kama Card Reader tu maana ina sehemu ya kuweka SD Card...Walishafunga CDMA nchi nzima mkuu.
nmecheka kwa saut [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata me ninayo baada ya kufunga CDMA nilishaigeuza kama Card Reader tu maana ina sehemu ya kuweka SD Card...
Kuna kipindi walitoa ofa zirudishwe kwenye maduka/wakala then unapewa nyingine, sasa sijajua kama bado wanapokea, soon nitafuatilia then nitaleta feedbackHata me ninayo baada ya kufunga CDMA nilishaigeuza kama Card Reader tu maana ina sehemu ya kuweka SD Card...
Sawa mkuu usisahau kuleta feedback..Kuna kipindi walitoa ofa zirudishwe kwenye maduka/wakala then unapewa nyingine, sasa sijajua kama bado wanapokea, soon nitafuatilia then nitaleta feedback
Walishafunga CDMA nchi nzima mkuu.
MiFi/Router ya TTCL inawezekana ku crack? Ili itumie chip yoyote? Ni hizi mpya za 4GHazifanyi mkuu sababu minara imeshazimwa.
Kama una Hela mkuu huwa Dcunlocker model nyingi Wana crack Ila unakuta mifi moja wanakucharge zaidi ya 20,000. Ni model gani? Nikuangalizie.MiFi/Router ya TTCL inawezekana ku crack? Ili itumie chip yoyote? Ni hizi mpya za 4G
Mkuu nina router ASUS RT-AC1750 ina support USB Modem / Android Tethering.Kama una Hela mkuu huwa Dcunlocker model nyingi Wana crack Ila unakuta mifi moja wanakucharge zaidi ya 20,000. Ni model gani? Nikuangalizie.
Kwa experience yangu ya hizi za Huawei Kama ipo off uki connect na USB cable na PC inacharge tu, Ila ikiwa on automatic inaconect internet kwa USB tethering bila kugusa popote. Na ndio Ni Rndis.Mkuu nina router ASUS RT-AC1750 ina support USB Modem / Android Tethering.
Sasa najiuliza hizi MiFi conection yake by USB ikoje? Nahisi ni ile Remote NDIS kama ya Android usb tethering? Niko sahihi au maana sijawahi kuzitumia
Na je, ukiichomeka tu meaning ikiwa router ilikuwa off ikawashwa hiyo MiFi itaingia kwenye tethering mode automatically na kuconnect internet au ndio mpaka ibonyezwe kuwashwa?
Itabii nizifanyie research maana nataka 24/7 internet ambayo hata power ikiwa lost inajirestore yenyewe bila kuguswa.Kwa experience yangu ya hizi za Huawei Kama ipo off uki connect na USB cable na PC inacharge tu, Ila ikiwa on automatic inaconect internet kwa USB tethering bila kugusa popote. Na ndio Ni Rndis.
Nyingi zinakuwa na web based dashboard ambayo unaweza ukatweak Hapa na pale kwa experience unayotaka mwenyewe.
Mifi na power bank?Itabii nizifanyie research maana nataka 24/7 internet ambayo hata power ikiwa lost inajirestore yenyewe bila kuguswa.
Heavy duty gigabit router tayari ipo na mifi itakuwa connected by usb kwenda kwenye hiyo router so power bank haiwezi kutumika.Mifi na power bank?