Itakua ndio maana basi, kuna time nikifanya streaming ya mpira inaonesha kwa quality nzuri na bila kukwama ukizingatia natumia modem ya 3G 😊.Ttcl wana band 2 1800 na 2300, kwa uelewa wangu 2300 ipo fasta.
Bands za halotel ni zipi mkuu?Ttcl wana band 2 1800 na 2300, kwa uelewa wangu 2300 ipo fasta.
4g ni 2600 band 7. Sema Halotel inataka mimox2 na lte Advance (300mbps kupanda) kupata speed yenyewe kabisa.Bands za halotel ni zipi mkuu?
Yule jamaa wa kuunga vifurushi vya mwaka kwa sh 10,000 kapotelea wapi mbn hajibu tukimkot?4g ni 2600 band 7. Sema Halotel inataka mimox2 na lte Advance (300mbps kupanda) kupata speed yenyewe kabisa.
Sasa hivi ni 25,000 unapata GB 72 kwa mwaka mzima, hii ni Tigo tuYule jamaa wa kuunga vifurushi vya mwaka kwa sh 10,000 kapotelea wapi mbn hajibu tukimkot?
Yeye alikuwa anamtangazia mtu tuYule jamaa wa kuunga vifurushi vya mwaka kwa sh 10,000 kapotelea wapi mbn hajibu tukimkot?
Kwa menyu ipi? *147*00#?Sasa hivi ni 25,000 unapata GB 72 kwa mwaka mzima, hii ni Tigo tu
Kwa 3g napo ikoje4g ni 2600 band 7. Sema Halotel inataka mimox2 na lte Advance (300mbps kupanda) kupata speed yenyewe kabisa.
Sasa hivi ni 25,000 unapata GB 72 kwa mwaka mzima, hii ni Tigo tu
3g zinafanana mitandao yoteKwa 3g napo ikoje
Hii unaungwa huko na watu wetu wa TigoKwa menyu ipi? *147*00#?
Ni PM nikupe muongozonatafuta hii kitu
Natumia hotspot fulani ya zamani ya Airtel (isiyo na screen) Halotel these days usiku kuanzia saa 3 fulani inakuwa shida kishenzi while zamani haikuwa hivi & eneo nililopo ni lile lile.4g ni 2600 band 7. Sema Halotel inataka mimox2 na lte Advance (300mbps kupanda) kupata speed yenyewe kabisa.
Kama kuna 4g definitely, OG pixel inayo band 7 na ni Cat 11 600mbps, utapata speed kubwa kushinda modem ya zamani ya Airtel.Natumia hotspot fulani ya zamani ya Airtel (isiyo na screen) Halotel these days usiku kuanzia saa 3 fulani inakuwa shida kishenzi while zamani haikuwa hivi & eneo nililopo ni lile lile.
Sijui kama hali itakuwa ni hivyo hivyo nikiiweka kwenye simu (OG pixel) moja kwa moja
Utapeli Utapeli , Ukikutana Na Huyu Jamaa Usifanye Nae Biashara Atakuingiza Mjini Kama Alivyoniingiza Mimi Mjini.
Samahani naomba kama inawezekana upost hili swala maana huyu jamaa atawaliza wengi ni tapeli, huwa anakwambia tuma pesa kwa namba hii 0674105583 Fatma Masoud, ili akuunge kwenye vifurushi vya aina mbalimbali tena mitandao yote lakini ukituma pesa unakuwa umeliwa .View attachment 1978866View attachment 1978865View attachment 1978867
Kwa kweli wameniweka mjini daah elfu 12k yote imeendaHao Jamaa nishidaa.
Wezi balaa wamejaa Insta na Facebook hatariii.
Ukijichanganya ukatuma pesa umeliwa.
Polee broo ndomana wanasema Mjini shule[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nlipigwa 35kKwa kweli wameniweka mjini daah elfu 12k yote imeenda