Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hilo file mtu anaweza lipata telegram grup la ha tunnel plus Tz. kuna files nyingi mule za asubuhi hata za muda wote. kuna rez tunnel pia ina grup lake
Hii ya asubuhi kwanzia saa kumi na mbili Asubuhi mpaka saa tatu Asubuhi naunga kwa buku 5000 Ni Unilimited mimi Leo hiyo. Ni kw Ttcl tu.View attachment 2066826
Wadau nendeni grup la KYEYIT telegram somen comments mtapata ujuzi huko.

wabongo tuache kuuziana mitelezo,unapata bure toa bure
 
Ubunifu wako unautumia vibaya peleka fb ukawaibie vizuri. Yaani humu watu wamekulipa unajisahaulisha eti walionilipa wanitafute watsup aiseee jambaka la nguvu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Daah Only For tanzania.
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ukijaribu kufanya ubunifu wako unaitwa mwizi[emoji16]
 

naomba leta na za tigo monthly na kuendelea kwa data.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…