Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kuna kampuni zinatoa hiyo huduma hapa bongo? Gharama yake ipoje.
60,000, konnect wanaitwa. Pia TTCL na makampuni mengine wanayo ila bei ni ndefu.

Sema hao jamaa wanataka hela ya mwaka ili wakupe vifaa bure.
 
Vodacom

730mins all nets for 12,000/=
2100mins all nets for 16,000/=

One Month

12GB for 15,000/=
25GB for 25,000/=
37GB for 35,000/=

One Month

Vodacom

12GB+730mins All nets 27k
25GB+730mins All nets 37k
37GB+730mins All nets 45k

One Month
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Malipo kabla.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nakihitaji hiki kifurushi
 
Ebhana ee!!, ZUKU fiber ndiyo bora zaidi kuliko hata TTCL, kwasababu vifurushi vyao ni nafuu, halafu unapewa bonasi ya chaneli za TV bure.
Kwani wanatumia king'amuzi kuunganishia data?
 
Mimi nimeenda installation bure, nimelipa tu 25000 basi, jaribu kuongea nao vizuri. Ila hawana router inabidi utafute mwenyewe.
Mkuu hivi wanatumia waya hizi hizi za simu zilizosambaa, kuna jirani yangu ana simu ya ttcl waya unapita juu yangu

Nipo Mkoani kwasasa
Gharama kwa mwezi ipoje na speed
 
Back
Top Bottom