Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #4,361
Mkuu bado naitest, ila so far ni hit and miss, ila kwa 25000 silalamiki. Kipo kifurushi cha 25000 cha 4mbps, 50,000 cha 8mbps na 80,000 cha 12mbps.Mkuu hivi wanatumia waya hizi hizi za simu zilizosambaa, kuna jirani yangu ana simu ya ttcl waya unapita juu yangu
Nipo Mkoani kwasasa
Gharama kwa mwezi ipoje na speed
Kwangu mimi nilitarget tu youtube na Netflix kwa HD. Niliweka hicho cha 25000. Speed actual ninayopata ni 2 mpaka 3 mbps sipati hio 4mbps.