Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #4,341
60,000, konnect wanaitwa. Pia TTCL na makampuni mengine wanayo ila bei ni ndefu.Kuna kampuni zinatoa hiyo huduma hapa bongo? Gharama yake ipoje.
Niliwatumia email mpak leo naona kimya.60,000, konnect wanaitwa. Pia TTCL na makampuni mengine wanayo ila bei ni ndefu.
Sema hao jamaa wanataka hela ya mwaka ili wakupe vifaa bure.
Hv simbanet siku hizi hakuna?60,000, konnect wanaitwa. Pia TTCL na makampuni mengine wanayo ila bei ni ndefu.
Sema hao jamaa wanataka hela ya mwaka ili wakupe vifaa bure.
Wapo ila simbanet ni dedicated wana bei sana kwa mtu wa kawaida ku Afford. Zuku ndio wameteka soko kwa sasa.Hv simbanet siku hizi hakuna?
Tatizo zuku inapatikan daslama pekee, hasa katikati ya mijiWapo ila simbanet ni dedicated wana bei sana kwa mtu wa kawaida ku Afford. Zuku ndio wameteka soko kwa sasa.
Nakihitaji hiki kifurushiVodacom
730mins all nets for 12,000/=
2100mins all nets for 16,000/=
One Month
12GB for 15,000/=
25GB for 25,000/=
37GB for 35,000/=
One Month
Vodacom
12GB+730mins All nets 27k
25GB+730mins All nets 37k
37GB+730mins All nets 45k
One Month
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Malipo kabla.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Za kutumika muda gani?Tigo gb 72 offer today only
12k.
GBs Voda, Zantel, Airtel hauna?Tigo gb 72 offer today only
12k.
Sina BossGBs Voda, Zantel, Voda hauna?
Mwaka.. 6 kila mwezi.. Tumia within 14 daysZa kutumika muda gani?
1MBps kwa maana 8mbps sio? Mbona bei nzuri sana mkuu? Hio unastream media zote ambazo sio 4k.arusha kuna fiber imekuja wanaitwa nexus wanatoa 1MBps kwa 50k na 150 free to air tv na wapo adi nje ya mji wanajitahid kwenye coverage tatizo 1MBps kwa 50k parefu
Kwani wanatumia king'amuzi kuunganishia data?Ebhana ee!!, ZUKU fiber ndiyo bora zaidi kuliko hata TTCL, kwasababu vifurushi vyao ni nafuu, halafu unapewa bonasi ya chaneli za TV bure.
typing error mkuu ni 1mbps1MBps kwa maana 8mbps sio? Mbona bei nzuri sana mkuu? Hio unastream media zote ambazo sio 4k.
Hii ngumu mkuu bora ujilipue na TTCL Adsl.typing error mkuu ni 1mbps
Hii ngumu mkuu bora ujilipue na TTCL Adsl.
Mimi nimeenda installation bure, nimelipa tu 25000 basi, jaribu kuongea nao vizuri. Ila hawana router inabidi utafute mwenyewe.Mkuu nimeenda ofisi za ttcl wanadai kukufungia adsl inabidi ulipie na simu yao (voice product) kwamba gharama jumla ni kama 190k je hii imekaaje?
Mkuu hivi wanatumia waya hizi hizi za simu zilizosambaa, kuna jirani yangu ana simu ya ttcl waya unapita juu yanguMimi nimeenda installation bure, nimelipa tu 25000 basi, jaribu kuongea nao vizuri. Ila hawana router inabidi utafute mwenyewe.