Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu sijui nikutumie hata ya soda hii ya sasa ina speed vibaya mno shukrani. [emoji23][emoji23]ni mimi mnufaika wako.
 
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Sijui nilifeli wapi. Kwangu imekataa
 
Sadaka muhimu sana ili tulete machimbo mengine zaidi.
Kweli kabisa ,madini yako yamesaidia wengi humu na mimi mmoja wapo tokea Ec sasa napeta na sky speed balaa .Vipi kwa i phone mambo ya kitonga yanakubali ?
 
Kweli kabisa ,madini yako yamesaidia wengi humu na mimi mmoja wapo tokea Ec sasa napeta na sky speed balaa .Vipi kwa i phone mambo ya kitonga yanakubali ?
sina uzoefu na Iphone mkuu ila nackia ec tunnel inakataa.

labda hii sky ikubali sijajua
 
tajiri ni mb100 per day au,
 
TTCl wameongeza kifurshi kinaitwa bufee umo unajipakulia utakavyo
 
Wazee wa SKY VPN. ingieni kwenye kipengele cha Add time kisha chagua 50mb utaona wameandika 15 left today.

Utapewa 50mb mara 15 = 750mb kila siku

unaweza kubalans ukaangalia mara 10 ukapata 500mb kisha ukabakiza 250mb kama reserve usije ukatoka hewani

Msisahau kutoa SADAKA kwa namba 07... ili tuendelee kuleta vitonga vingi zaidiπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

kima cha chini cha sadaka ni 1,200😬😬

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…