Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wewe ndo ujielewi, ungekuwa unajielewa ungeufyata Tu, maana wengi tumefaidika na VPN toka zilipoletwa kwenye Uzi huu na nyuzi zengine kwenye hii app.
Lakini hakukuwa na mtu kimbelembele Kama wewe kutoa shit kuhusu VPN. FYI Fast DNS ipo na inapiga mzigo fresh tu, Kama vitu hujui nyamaza Tu.Shubaamit!
 
Mkuu huyo ni Ndumilakuwili achananae, hii FTI Fast DNS inapiga kazi kwa line gani..?
 
Jamaa Ktk kila maelezo unaweka mfano Vpn kibao wkt Moja au mbili ingetosheleza kiasi cha kueleweka hoja yako sasa lengo lako tukujue wewe mtaalamu sana wa Vpn au ? Mbona haukushea hata moja kwa wana kwa vile zimepigwa block unaleta showoffs zisizo na tija πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†
 
Sawa
 

Basi sawa siyo kesi
 
Wakubwa, hivi vifurushi hususani vya tigo no Bora other dealers muwaweke wazi watu kwamba ni within 14days kwa kila mwezi. Na pia vile vya free calls kwa sasa vina mushkeli. Ni Bora ujitusu tu ulipie 25k kila mwezi kwa postpaid ulambe 30GB hakuna namna
 
Elfu ishirini je??
 
Ebhana hiii nimeikubali unajiungaje naitamani sana ili niweze kujiachia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…