Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

umejaribu ukaliwa?
au ndio uoga wako ngoja mimi nijaribu nikiliwa nitakushirikisha hapa
Huwez liwa mkuu,mi hua natumia pia.
Hii ni SMS nmeicopy na kupaste.

xxxxxx xxxxx (jina ulilosajilia)umepokea bando ya Tsh 600

Kujiunga piga *149*94*43691273588703#

HAKIKISHA HAUJAKOPA SALIO. Kwa msaada piga 0785319003
 

kama inapandisha mjini tu pengine ni 4g. kwa simu hio voda na TTcl ndio wana band hizo, jaribu TTCL zaidi naona wana coverage nzuri.

unejaribu kuiforce ikae 2G only? pia haipandishi mnara?
 
Hata mimi ninayo hiyo Redmi 2 nilikuwa nimeweka laini ya voda kwa ajili ya kupiga tu maana ilikuwa ina sauti nzuri unapoongea na mtu, ilikuwa na miui 6 ikaniomba ku-upgrade kwenda 7 baada ya ku-upgrade ikaniomba ku-upgrade kwenda miui 8 nikafanya hivyo baada ya hapo hadi leo inaandika no service. Nimetafuta solution mtandaoni na nimefanya kila namna kulingana na maelezo niliyopata lakni hakuna solution. Nimetafuta rom ya miui 6 mtandaoni sijafanikiwa. Nimeamua kuitumia kwa wi-fi tu.
 
Mkuu hilo bando la tigo linakaa kwa muda gn?
 
umejarib kufix netwrk km redmi 3s o note 3 wanavofanya? vp kuhusu IMEI ipo sawa?
 
speed ni nzuri kwangu ila haimaanishi sababu kwangu ni nzuri na kwako pia itakuwa ni nzuri, mitandao ya simu inatofautiana maeneo na maeneo, ni vyema na wewe ukapima eneo lako hio speed
Samahani mkuu....hivi kwa mfano nikanunua line ya ttcl 4g....bt smu yangu hai support....maana n 3g.. Vp inaweza kua compatible.....na speed ya net Ika improve kidogo
 
Samahani mkuu....hivi kwa mfano nikanunua line ya ttcl 4g....bt smu yangu hai support....maana n 3g.. Vp inaweza kua compatible.....na speed ya net Ika improve kidogo
hapo utapata 3g tu, hivyo itategemea na speed ya 3g ya eneo lako, kama una mtu wa karibu hapo ana ttcl unaweza ukatest speed ya 3g kabla hujasajili line
 

bila shaka iyo cm ulinunua used?? ilo tatzo lako linaeza kua ni ilibadilishwa imei number au walibadilsha firmware...cha kwnza ebu charibu kupiga *#06# kisha compare izo imei number na za kwny nyuma ya cm uone kama znafanana??? km hazfanani bc ujue iyo cm either iliibiwa wakachange imei number ndo tatzo ilo likatokeq...au inaeza kua ni ilo la kubadilisha version (firmware) km kati ya ayo matatzo umekuta moja wpo nipe feedback
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…