Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

TigoBusiness Post paid. Hii ni official offer from TIGO ya mwezi huu wa 8 tu.

Mimi nimejiunga hicho cha 25,000.

Kila mwezi offer inajirenew for 12 months na unapata 30GBs each month.


Unadeposit 25,000 kama security deposit kwenda TigoBusiness. (Inapatikana kwenye list ya makampuni kwenye kulipa billi via tigopesa menu)
IMG-20220812-WA0006.jpg
 
TigoBusiness Post paid. Hii ni official offer from TIGO ya mwezi huu wa 8 tu.

Mimi nimejiunga hicho cha 25,000.

Kila mwezi offer inajirenew for 12 months na unapata 30GBs each month.


Unadeposit 25,000 kama security deposit kwenda TigoBusiness. (Inapatikana kwenye list ya makampuni kwenye kulipa billi via tigopesa menu)View attachment 2324760
Kwamba baada ya hapo kila mwezi unalipa 25k kwa 30gb si ndio
 
Kwamba baada ya hapo kila mwezi unalipa 25k kwa 30gb si ndio
Ndio mzee. Ile 25,000 inabaki kama savings siku ukiamua kuacha kulipa ndio unapewa mwezi mmoja wa 30GBs kufunga mkataba.

Nilichopenda kuhusu hii huduma, unapewa window ya kulipia kuanzia trh 1-11 ya kila mwezi mpya. Sio lazima hela yao iingie tarehe 1.
 
Ndio mzee. Ile 25,000 inabaki kama savings siku ukiamua kuacha kulipa ndio unapewa mwezi mmoja wa 30GBs kufunga mkataba.

Nilichopenda kuhusu hii huduma, unapewa window ya kulipia kuanzia trh 1-11 ya kila mwezi mpya. Sio lazima hela yao iingie tarehe 1.
Mitandao mingine haina hii huduma?
 
Ndio mzee. Ile 25,000 inabaki kama savings siku ukiamua kuacha kulipa ndio unapewa mwezi mmoja wa 30GBs kufunga mkataba.

Nilichopenda kuhusu hii huduma, unapewa window ya kulipia kuanzia trh 1-11 ya kila mwezi mpya. Sio lazima hela yao iingie tarehe 1.
duuuuh kla mwezi unatoa 25,000 mbna hapo balaa nkajua ukitoa 25,000 inakuwa tyar unatamba tu mwaka mzima
 
Wanasambaza mikoa kibao mkuu, kwetu huku Tanga kila mtaa, mjini dar mitaa kibao naona wanasambaza, niliongea nao within 2 month project yao ya sasa itakua imekamilika.

Cheki mtaani kwako kama ipo unga
Naomba kueleweshwa.

Wanakuletea fiber au device ya kuvuta internet nyumbani kwako?

Manake niliwafuata ofisini kwao wakanipa form nikajaza ila wanasema huku kwangu fiber haijafika.
 
Naomba kueleweshwa.

Wanakuletea fiber au device ya kuvuta internet nyumbani kwako?

Manake niliwafuata ofisini kwao wakanipa form nikajaza ila wanasema huku kwangu fiber haijafika.
Hii unaletewa router tu maana fiber inakuwa imeshapita. Gharama zote za nje ni juu yao ya ndani tu ndio unalipia wewe.
 
Namaanisha kupandisha bei na kuongeza makato.

Kifurushi ya 55k kitafika 100k.
Labda serikali iingilie kati mkuu ila Fiber gharama ni kuweka Miundombinu tu ikishawekwa maintanance yake ni ndogo compare na Wireless, kwenye Fiber hakuna Kuiba battery za minara, mara sijui wana upgrade antena na modem etc. Inakadiriwa life span miaka 20 mpaka 25.
 
Back
Top Bottom