The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Ndiyo maana nikamuuliza yuko wapi ili kama yupo Dar nimfate alipo aniunge ndio nmpe pesa lkn aliposema yupo zenji nikaachana naye.Usigeuke nyuma......ni TAPELI huyo ushauri wangu ao watu ni wajanja janja apooo nadhani yupo tz bara ila anakwambia yupo zenji
5g hii?Supakasi [emoji91]. View attachment 2416095
Fiber Mkuu.. Ukiipiga na ethernet upload inapeak almost 1Gbps5g hii?
Loh Hili radi Kweli mzeeFiber Mkuu.. Ukiipiga na ethernet upload inapeak almost 1GbpsView attachment 2416167
Probably the best kuliko yoyote nliyowahi kutumiaLoh Hili radi Kweli mzee
Sijasikia Fiber ya Voda, una information zaidi? Ama ni classifiedFiber Mkuu.. Ukiipiga na ethernet upload inapeak almost 1GbpsView attachment 2416167
250k kwa 200mbps ina value kuliko TTCL na ZukuHapana Mkuu. Ipo sema haitangazwi sana sijajua kwa nini. View attachment 2416174
Worth the money kabisa. Yani hauzingui hata kidogo. Haidisappoint na uzuri ni Postpaid unaweza vuta mpaka siku 50 ndo ulipie pasipo kukata huduma250k kwa 200mbps ina value kuliko TTCL na Zuku
AiseeeeWorth the money kabisa. Yani hauzingui hata kidogo. Haidisappoint na uzuri ni Postpaid unaweza vuta mpaka siku 50 ndo ulipie pasipo kukata hudumaView attachment 2416194
Huyu ni provider gani?Hapana Mkuu. Ipo sema haitangazwi sana sijajua kwa nini. View attachment 2416174
Vodacom
Juz Kati walipita huku kigamboni kwetu wakawa wanaitaji baathi ya information zetu kuhusu mabando nilipowauliza wakasema wanapitisha fibe so kuna baath ya sehemu tayali wameshaanza kuweka Ila naona BEI zao bado ZIKO juuSijasikia Fiber ya Voda, una information zaidi? Ama ni classified
Fiber ni kitu cha kushea mkuu, 250k kwa 200mbps mkichanga watu 5 hapo ni 40mbps, unaachana na mambo ya HD wewe ni 4k tu.Juz Kati walipita huku kigamboni kwetu wakawa wanaitaji baathi ya information zetu kuhusu mabando nilipowauliza wakasema wanapitisha fibe so kuna baath ya sehemu tayali wameshaanza kuweka Ila naona BEI zao bado ZIKO juu
Dah! Epsidode ya dk 50 inapakuliwa kwa 4gb...[emoji3][emoji3]Worth the money kabisa. Yani hauzingui hata kidogo. Haidisappoint na uzuri ni Postpaid unaweza vuta mpaka siku 50 ndo ulipie pasipo kukata hudumaView attachment 2416194
[emoji23][emoji23][emoji23]DahDah! Epsidode ya dk 50 inapakuliwa kwa 4gb...[emoji3][emoji3]
Hongera mzee ,acha sisi wengine tupambane na kina Netnaija
Hakawii kukwambia yuko pemba.Usigeuke nyuma......ni TAPELI huyo ushauri wangu ao watu ni wajanja janja apooo nadhani yupo tz bara ila anakwambia yupo zenji