Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Sijasikia Fiber ya Voda, una information zaidi? Ama ni classified
Juz Kati walipita huku kigamboni kwetu wakawa wanaitaji baathi ya information zetu kuhusu mabando nilipowauliza wakasema wanapitisha fibe so kuna baath ya sehemu tayali wameshaanza kuweka Ila naona BEI zao bado ZIKO juu
 
Juz Kati walipita huku kigamboni kwetu wakawa wanaitaji baathi ya information zetu kuhusu mabando nilipowauliza wakasema wanapitisha fibe so kuna baath ya sehemu tayali wameshaanza kuweka Ila naona BEI zao bado ZIKO juu
Fiber ni kitu cha kushea mkuu, 250k kwa 200mbps mkichanga watu 5 hapo ni 40mbps, unaachana na mambo ya HD wewe ni 4k tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…