Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

hii huduma ukishaniunga inakaa muda gani?
 
We jamaa ilikuwaje ukaingia kwenye myego wa kitapeli wa kizamani kama huo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usitake kunikimbusha machungu
Leo nimeshapata my account back, lakini ipo limited siwezi kumtumia mtu meseji kama hana namba yangu, sijui kwa nini.. Ila nimeripoti issue tayari
 
Huyu jamaa nimefanya nae hii kazi this week. Napenda kuthibitisha amefanya kwa uaminifu mkubwa.

Kudos kaka.[emoji106][emoji106]
 
Siku nyingine. Usimtumie mtu code ikija kwenye laini yako. Alichofanya ni hivi
Amefungua account ya Telegram kwa namba yako. Sasa imemuomba Code. Amekuja kwako amekuomba na wewe umemtumia.
Hatari sana
 
Wakuu kwaiyo mnataka kunambia kwamba hakuna njia ya mimi kupata fiber au louter ambay ntalipia 100k kwa mwezi huku kigamboni maana nashida sanaa asee

kachukue vodacom supa kasi 20Mb/s 115k
 
Siku nyingine. Usimtumie mtu code ikija kwenye laini yako. Alichofanya ni hivi
Amefungua account ya Telegram kwa namba yako. Sasa imemuomba Code. Amekuja kwako amekuomba na wewe umemtumia.
Hatari sana
Siwezi rudia tena kwa kweli[emoji23][emoji23]. Na mimi nimefanya hivi, nimereset account, huyo jamaa ameloose chats na data zake zote, nikachange email na nimeweka email yangu na password yangu. Sasa account ya Telegram imerudi kwangu.
Somo zuri sana hili
 
Hiyo 10000 ipo nje ya Pesa ya Kifurushi.. yaani Kama Ninataka Kifurushi cha 10000 basi itabidi nikupe na Wewe 10000?

Au hii Huduma Imekaaje Ndugu...? maana Tumezoea ile ya Kuungwa Na Kifurushi
 
Hiyo 10000 ipo nje ya Pesa ya Kifurushi.. yaani Kama Ninataka Kifurushi cha 10000 basi itabidi nikupe na Wewe 10000?

Au hii Huduma Imekaaje Ndugu...? maana Tumezoea ile ya Kuungwa Na Kifurushi
Swali zuri!
Iko hivi.
10k ni kwa ajili ya activation(uwezeshaji Tu). Au kwa kifupi unaingizwa kwenye mfumo.

Baada ya hapo kila kitu kinakuwa chinj ya mamlaka yako, muda wowote wakati wowote unaweza kujiunga kifurushi chochote cha gharama yoyote.
Hata kama kikiisha kabla ya muda, unaweza kujiunga tena na tena.
 
Nimekupata
 
Hii huduma unaunga mtu akiw mbali, na hizo dk n mitandao YOTE
 
Hii huduma unaunga mtu akiw mbali, na hizo dk n mitandao YOTE
Iko hivi.
10k ni kwa ajili ya activation(uwezeshaji Tu). Au kwa kifupi unaingizwa kwenye mfumo.

Baada ya hapo kila kitu kinakuwa chinj ya mamlaka yako, muda wowote wakati wowote unaweza kujiunga kifurushi chochote cha gharama yoyote.
Hata kama kikiisha kabla ya muda, unaweza kujiunga tena na tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…