Wakuu, kama mtu unamatumizi daily ya mobile internet, hivi vifurushi vya postpaid na SME ni msaada mkubwa sana.
Hivi vifurushi vya Postpaid (Tigo & Vodacom) pamoja na SME (Airtel) vina UNAFUU mkubwa mno.
Look at the context.
Kwenye hivi vifurushi unauziwa 1GB kwa bei ya 857/= mpaka 1666/= tu.
Kununua vifurushi kawaida unauziwa 1GB kwa 2000/= au zaidi (kulingana na muda wa kifurushi.
Kingine hivi vifurushi wanakupa muda wa zaidi ya sik 10 kulipa taratibu kiasi chao baada ya mzunguki mpya kuanza (tarehe 1 ya kila mwezi).
Mimi siuzi hivi vifurushi ila ninatumia for 3 years now, and I will recommend it to anyone.
Wasiliana na reliable agents au huduma kwa wateja wa mtandao unaotumia ili kupata maelezo ya hizi packages.