Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Naona sasa hivi kuna kaushindani kwa haya mashirika ya simu,kuna kipindi ilikua package zao zinafanana na wakipandisha bei wote wanapandisha ila kwa sasa vifurushi na ofa zao zinatofautiana kidogoHawana kwa sasa, ila trend ya sasa ni kila anaetoa 5G anakuja na unlimited service. Tigo pia kuna wadau humu walisema wanakuja na bando kama supakasi.
Tatizo ni serikali, kwenye oligopoly vitu kama Mafuta, Mitandao wanapanga bei.Naona sasa hivi kuna kaushindani kwa haya mashirika ya simu,kuna kipindi ilikua package zao zinafanana na wakipandisha bei wote wanapandisha ila kwa sasa vifurushi na ofa zao zinatofautiana kidogo
HUDUMA YA nn Hii mkuuHii mbona bado ni expensive,? Wakati unapata GB 5 kwa 5000
GB 9 kwa 10,000
GB 18 kwa 15,000
GB 38 kwa 30,000
GB 66 kwa 50,000
GB 110 kwa 75,000
GB 210 kwa 100,000
Na ni vya mwezi na kuendelea adi mwaka na unaungwa bure tu kwa huo mtandao tena laini unaimliki ukitaka kujiunga mwenyewe unajiunga tuu...!
Ongeeni vizuri na watu muache kupigwa!
Anaetaka anicheki bure!
Vp wakuu zimerudi? si ndo zile za rambadume au!?Jamani Kuna hizi gb 5.5 za tigo ofa Kuna anaye fahamu??
Huyu jamaa hapa na kuna mwingine pia wamesema huduma hii ni buree kiukweli inasaidia sana kuliko hata postpaid kama itadumu mda mrefu.Hii mbona bado ni expensive,? Wakati unapata GB 5 kwa 5000
GB 9 kwa 10,000
GB 18 kwa 15,000
GB 38 kwa 30,000
GB 66 kwa 50,000
GB 110 kwa 75,000
GB 210 kwa 100,000
Na ni vya mwezi na kuendelea adi mwaka na unaungwa bure tu kwa huo mtandao tena laini unaimliki ukitaka kujiunga mwenyewe unajiunga tuu...!
Ongeeni vizuri na watu muache kupigwa!
Anaetaka anicheki bure!
Hivi ni vifurushi vya Halotel vile ambavyo unasajili laini?Hii mbona bado ni expensive,? Wakati unapata GB 5 kwa 5000
GB 9 kwa 10,000
GB 18 kwa 15,000
GB 38 kwa 30,000
GB 66 kwa 50,000
GB 110 kwa 75,000
GB 210 kwa 100,000
Na ni vya mwezi na kuendelea adi mwaka na unaungwa bure tu kwa huo mtandao tena laini unaimliki ukitaka kujiunga mwenyewe unajiunga tuu...!
Ongeeni vizuri na watu muache kupigwa!
Anaetaka anicheki bure!
Watu mna siri!Hivi ni vifurushi vya Halotel vile ambavyo unasajili laini?
Hicho cha 5,000 nimejiunga sana tangu kilivyokuwa kikiuzwa 3,000 kwa 9GB
[emoji23][emoji23]Watu mna siri!
Bila shaka unasajili laini ila ni kwa ajili ya internet tu haipigi simu wala haitumi sms wala haipigiwi nasikia ina speed hatari.. Pia namba yake haianzi na ziro.Hivi ni vifurushi vya Halotel vile ambavyo unasajili laini?
Hicho cha 5,000 nimejiunga sana tangu kilivyokuwa kikiuzwa 3,000 kwa 9GB
Laini ya mfumo huo niliwahi kusajiliwa mwanzo ilikuwa inatoa 31GB yani unapewa 27GB hakafu baada ya muda zinaingia 4GB kwa ajili ya 4GBila shaka unasajili laini ila ni kwa ajili ya internet tu haipigi simu wala haitumi sms wala haipigiwi nasikia ina speed hatari.. Pia namba yake haianzi na ziro.
Inawezekana ikawa ndo hiyo Dah! Watu mna siri yaani nawe ulikaa kimya mpka leo ndo unasema?? Mbona ilikuwa kitonga sana ilikuwa mwaka gani mkuu.Laini ua mfumo huo niliwahi kusajiliwa mwanzo ilikuwa inatoa 31GB yani unapewa 27GB hakafu baada ya muda zinaingia 4GB kwa ajili ya 4G
Tulikuwa tunalipia 15,000
Laini inakuja na sms na dakika lakini hazifanyi kazi. Hakikukaa muda mrefu likafungwa
Sa unazani unajua Kila kitu mie nimekuja kushtuka na. VPN za ttcl Baada ya siku 10 tu kikasanuka alafu nasikia watu wametumia miezi 4 nyumaInawezekana ikawa ndo hiyo Dah! Watu mna siri yaani nawe ulikaa kimya mpka leo ndo unasema?? Mbona ilikuwa kitonga sana ilikuwa mwaka gani mkuu.
Hapana ile ilikuwa ni mpaka mtu mkutane physicallyInawezekana ikawa ndo hiyo Dah! Watu mna siri yaani nawe ulikaa kimya mpka leo ndo unasema?? Mbona ilikuwa kitonga sana ilikuwa mwaka gani mkuu.
Hata mimi mwenyewe sikujua.Sa unazani unajua Kila kitu mie nimekuja kushtuka na. VPN za ttcl Baada ya siku 10 tu kikasanuka alafu nasikia watu wametumia miezi 4 nyuma
Duuh imekuwaje wamekugomea kwani!Fellas
Kwenye hii menu ya Airtel tambueni kuna kifurushi kimoja tu hapo ambacho ni 30Mbps kwa Sh. 110,000
Hakuna kifurushi cha 70,000 msihadaike hilo ni pambo na ni mbinu ya kibiashara tu.
View attachment 2725283
Bado ulikua Mzembe Mimi nimekula gb149 ndani ya izo 10 days[emoji1][emoji1]Hata mimi mwenyewe sikujua.
Nimetumia wiki moja baada ya hapo wakaikata.
Ila so far kwenye hiyo wiki moja sikuwa mzembe.
Nimekula 64GB ndani ya wiki
Dah mwenyewe ndo naona sasa hvWatu mna siri!