Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ntarud hapa
 
Yes nimetest mkuu imesukumaa.msaada nata hii wifi iende mbali kifaa gani kinahitajika mkuu?nishachukua pesa za watu kule wanapata bar moja tu[emoji16][emoji16]
Njia ya bei rahisi tafuta repeater mkuu.

Ama nenda pale Uhuru na msimbazi kkoo kuna mq router ya mtumba kibao, kakusanye kuanzia 5000-30,000 unazipata, Tumia hizo router kusambaza, ukitumia Ethernet baina ya Router na router itasaidia.
 
Njia ya bei rahisi tafuta repeater mkuu.

Ama nenda pale Uhuru na msimbazi kkoo kuna mq router ya mtumba kibao, kakusanye kuanzia 5000-30,000 unazipata, Tumia hizo router kusambaza, ukitumia Ethernet baina ya Router na router itasaidia.
Hapa mi pia nataka maelekezo ukiwa na router mbili unaweza kukonect kwa pamoja ?
 
Njia ya bei rahisi tafuta repeater mkuu.

Ama nenda pale Uhuru na msimbazi kkoo kuna mq router ya mtumba kibao, kakusanye kuanzia 5000-30,000 unazipata, Tumia hizo router kusambaza, ukitumia Ethernet baina ya Router na router itasaidia.
Shukrani mkuu..mie siye mtaalam wa hizi mambo nisije enda kichwa kichwa nikapigwa labda uniambie pale nikifika nichukue ya namna ipi
 
Shukrani mkuu..mie siye mtaalam wa hizi mambo nisije enda kichwa kichwa nikapigwa labda uniambie pale nikifika nichukue ya namna ipi
Router yoyote yenye wan

Ukichomeka ethernet wan na wan automatic router inapata internet ni njia rahisi ambayo haina longo longo.

Hata hizo repeater pia.

Sijajua tu bei za ethernet cable kwa mita. Eneo lina urefu gani?
 
Router yoyote yenye wan
View attachment 2741265
Ukichomeka ethernet wan na wan automatic router inapata internet ni njia rahisi ambayo haina longo longo.

Hata hizo repeater pia.

Sijajua tu bei za ethernet cable kwa mita. Eneo lina urefu gani?
Umenichanganya kidogo kaka..ina maana ninunue wire wa ethenet mrefu mpaka kwa jirani au ni umbali kati ya router na router kaka.samahani kwa maswali kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…