Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Aina gani hiyo Router man?
Unawapitia ofisini na kumpigia simu fundi mara kwa mara, tatizo process yao ipo fragmented sana, Survey wanafanya wa marketing, anaeleta waya mwengine, anaeleta router mwengine etc. Nililetewa waya nimekaa nao home mwezi mzima jamaa wa router hajakuja.

Sema jambo moja zuri aisee jamaa wana router kali, nimecheki online bei $300, unaweza kutengeneza wifi zote 2 kwa mpigo 2.4ghz na 5Ghz na zikafanya kazi kwa pamoja, 5Ghz naitumia kustream Wireless Dex kwenye simu perfomance nimeridhika. Hata hizo za 2.4ghz unaweza tengeneza wifi hata 4 tofauti, mtu kama wewe ingekufaa sana hii, unatengeneza wifi yako ya 5Ghz main ya nyumbani speed kubwa na wifi nyengine za wale waooomba omba kila siku password.
 
DIsconnect waya wa LAN/Ethernet unaoingiza internet kwenye router then irestart kisha fanya kulogin bila router yako kua na mtandao wa internet..
Nisha type vyote hivo kaka lakini haifiki kwenye ile page ya login..
 
Nimechukua Airtel Broadband 5G Router, kifurushi cha 70K...

Eneo nililopo hamna 5G ila wamekaribia, bado kama 20km wafike..

IMG_20231002_150755.jpg


So far speed ni nzuri kwa matumizi ya kawaida... inachezea 1.2MB-1.5MB per Second..... 1080P inastream softly kabisa[emoji736]
Screenshot_2023-10-02-15-52-48-699_com.android.chrome-edit.jpg
 
Back
Top Bottom