Hatari vipi kuhusu mikoaniHawa wanajiita net solution mkuu nilishaipost huko juu ni fiber...kwa mwezi ni 59000 unlimited
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari vipi kuhusu mikoaniHawa wanajiita net solution mkuu nilishaipost huko juu ni fiber...kwa mwezi ni 59000 unlimited
Unawapitia ofisini na kumpigia simu fundi mara kwa mara, tatizo process yao ipo fragmented sana, Survey wanafanya wa marketing, anaeleta waya mwengine, anaeleta router mwengine etc. Nililetewa waya nimekaa nao home mwezi mzima jamaa wa router hajakuja.
Sema jambo moja zuri aisee jamaa wana router kali, nimecheki online bei $300, unaweza kutengeneza wifi zote 2 kwa mpigo 2.4ghz na 5Ghz na zikafanya kazi kwa pamoja, 5Ghz naitumia kustream Wireless Dex kwenye simu perfomance nimeridhika. Hata hizo za 2.4ghz unaweza tengeneza wifi hata 4 tofauti, mtu kama wewe ingekufaa sana hii, unatengeneza wifi yako ya 5Ghz main ya nyumbani speed kubwa na wifi nyengine za wale waooomba omba kila siku password.
Nisha type vyote hivo kaka lakini haifiki kwenye ile page ya login..
Wavetel G3600Aina gani hiyo Router man?
😄Naona mambo ya Episode GB 3.7Nimechukua Airtel Broadband 5G Router, kifurushi cha 70K...
Eneo nililopo hamna 5G ila wamekaribia, bado kama 20km wafike..
View attachment 2769569
So far speed ni nzuri kwa matumizi ya kawaida... inachezea 1.2MB-1.5MB per Second..... 1080P inastream softly kabisa[emoji736]
View attachment 2769571
Nataka nimuone hadi sisimizi akiwa anatembea[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1]Naona mambo ya Episode GB 3.7
Mkuu hiyo niliyohighlight pichani ni kitu gani?Nimechukua Airtel Broadband 5G Router, kifurushi cha 70K...
Eneo nililopo hamna 5G ila wamekaribia, bado kama 20km wafike..
View attachment 2769569
So far speed ni nzuri kwa matumizi ya kawaida... inachezea 1.2MB-1.5MB per Second..... 1080P inastream softly kabisa[emoji736]
View attachment 2769571
Power bank.. umeme ukikata unaendelea kuwa onlineMkuu hiyo niliyohighlight pichani ni kitu gani? View attachment 2769675
Hiyo ni powerbank ambayo endapo umeme utakaa wamesema inakaa na chaji masaa manne..Mkuu hiyo niliyohighlight pichani ni kitu gani? View attachment 2769675
Ina ukubwa gani mkuu?Power bank.. umeme ukikata unaendelea kuwa online
Sasa boss hapa nitalog in kwa kutumia internet gan? Na kifaa gan wakati router nimeikata mtandao?DIsconnect waya wa LAN/Ethernet unaoingiza internet kwenye router then irestart kisha fanya kulogin bila router yako kua na mtandao wa internet..
Wamekupa wenyewe? Output yake ni kiasi gani?Hiyo ni powerbank ambayo endapo umeme utakaa wamesema inakaa na chaji masaa manne..
Kufungua IP na kulogin interface ya router hakuhitaji internet kwa router nyingi, basi kama yako iko hivyo ni tatizo...Sasa boss hapa nitalog in kwa kutumia internet gan? Na kifaa gan wakati router nimeikata mtandao?
Ni package mmoja, unaikuta ndani ya box... Ina 5000mAhWamekupa wenyewe? Output yake ni kiasi gani?
Ahaaa hapa nimekusoma kakaKufungua IP na kulogin interface ya router hakuhitaji internet kwa router nyingi, basi kama yako iko hivyo ni tatizo...
Hii ni size, nataka kujua tu powerbank za router output inakuwaje in terms of Amps na VoltsNi package mmoja, unaikuta ndani ya box... Ina 5000mAh
5000mAhIna ukubwa gani mkuu?
Yes wanatoa wenyewe full package, ikiwa na powerbank,ethernet wire, charger..Wamekupa wenyewe? Output yake ni kiasi gani?
Kufungua IP lazima uwe unatumia internet ya router husika...Kufungua IP na kulogin interface ya router hakuhitaji internet kwa router nyingi, basi kama yako iko hivyo ni tatizo...