Wilson Magambo
Member
- Apr 2, 2016
- 41
- 51
Vodacom Fiber ni one of the best.
The only downside ni coverage kwa maeneo ya nje ya mji. View attachment 2776646
Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
Hii ni Kweli internet ni huduma ya kijamii , Ila tz imeigeuzwa kuwa ni diliNdicho walichopaswa kufanya mamlaka.
Ni sawasawa na mtoto mwenye utapiamlo sababu ya kukosa chakula cha kutosha. Ili afikie satiety, inabidi umpe chakula cha kutosha mpaka pale atakapokaa sawa. Siku mwili ukifikia kile kiwango kinachotakiwa ndipo anaanza kula kwa ration ya kawaida sasa...
Vivyo hivyo TCRA walitakiwa kufanya hivi, waachie bando za kutosha, watu watafuja kwa wiki kadhaa, then baada ya muda watakosa cha kufanya na hizo bando matumizi yana normalize mahali pake sasa..
Kwa dunia inakoelekea hamna haja ya externals tena mkuu... kama bando ni la uhakika ni mwendo wa ku stream tuu...
Asante mkuu..Nenda morocco mlimani azipo
Nawewe nikikuunga ukaja kukimbia??Hii naitaji ila kazi kwanza malipo yanafata then nilete feedback
Safi sana mkuuAsante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.
Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.
Airtel mambo ni murua.
🤣🤣🤣Nawewe nikikuunga ukaja kukimbia??
Mwendo mdundoo[emoji91][emoji91][emoji91]Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.
Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.
Airtel mambo ni murua.
Watu wanahitaji unlimited kwa sasa...Tigo gb 6.5 Kwa 8500 Kwa wiki mbili
Ni lazma kulipia kila mwezi au mpk utakapojisikia?Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.
Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.
Airtel mambo ni murua.
Watolee wapi kausha damu haoWatu wanahitaji unlimited kwa sasa...
Vipi tigo bado hamjaja na pekeji yenu?
UtakapojisikiaNi lazma kulipia kila mwezi au mpk utakapojisikia?
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.
Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.
Airtel mambo ni murua.
Hongera.Utakapojisikia
Mkuu wamehitaji vitu gani kutoka kwako?Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.
Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.
Airtel mambo ni murua.
This is Very poor package,wakafie mbele huko.Sasa hivi ni mwendo wa unlimited tu.Tigo gb 6.5 Kwa 8500 Kwa wiki mbili
Mimi naangalizia warumi mtandaoni yaani hd kabisa nikikosa kazi nacheza magemu ya mtandaoniMi mpaka saizi sijui chakufanya
Kuna muda nabaki ku stream miziki online ambayo tayari ipo kwenye device yangu.
Labda changamoto nayoiona hapa ni upungufu wa storage ya kutosha.
Device zangu zote zimejaa, nipo kwenye process ya kutafuta 2TB flash
Kaka nilikuwa nina swali hivi hizi router za airtel matumizi yake yapoje nikiwa na maana ili upate hiyo intanet inatakiwa uibebe popote unapokuwepo au unaweza ukakiacha nyumbani na wewe ukaendelea kupata intanet
Ina bidi ukibebe usipo kibeba haupati internetKaka nilikuwa nina swali hivi hizi router za airtel matumizi yake yapoje nikiwa na maana ili upate hiyo intanet inatakiwa uibebe popote unapokuwepo au unaweza ukakiacha nyumbani na wewe ukaendelea kupata intanet