Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ukiiacha nyumbani maana yake hutaweza kupata access ya internet kutoka kwenye Router.Kaka nilikuwa nina swali hivi hizi router za airtel matumizi yake yapoje nikiwa na maana ili upate hiyo intanet inatakiwa uibebe popote unapokuwepo au unaweza ukakiacha nyumbani na wewe ukaendelea kupata intanet
Ila device yake ipo simple inabebeka kirahisi kama Yanga na refa