Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ndicho walichopaswa kufanya mamlaka.

Ni sawasawa na mtoto mwenye utapiamlo sababu ya kukosa chakula cha kutosha. Ili afikie satiety, inabidi umpe chakula cha kutosha mpaka pale atakapokaa sawa. Siku mwili ukifikia kile kiwango kinachotakiwa ndipo anaanza kula kwa ration ya kawaida sasa...

Vivyo hivyo TCRA walitakiwa kufanya hivi, waachie bando za kutosha, watu watafuja kwa wiki kadhaa, then baada ya muda watakosa cha kufanya na hizo bando matumizi yana normalize mahali pake sasa..

Kwa dunia inakoelekea hamna haja ya externals tena mkuu... kama bando ni la uhakika ni mwendo wa ku stream tuu...
Hii ni Kweli internet ni huduma ya kijamii , Ila tz imeigeuzwa kuwa ni dili
 
Nenda morocco mlimani azipo
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.

Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.

Airtel mambo ni murua.
 
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.

Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.

Airtel mambo ni murua.
Safi sana mkuu
 
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.

Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.

Airtel mambo ni murua.
Mwendo mdundoo[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.

Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.

Airtel mambo ni murua.
Ni lazma kulipia kila mwezi au mpk utakapojisikia?
 
naomba kujua utaratibu wa kuunga na mrejesho wa matumizi kwa unlimited ya ttcl kwa kutumia nanostation ukoje, kama kuna mtu ameshafanikiwa hii.
 
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.

Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.

Airtel mambo ni murua.

Umechukua ile ya 270k?
 
Asante mkuu..
Japo nimechelewa kuona comment yako.
Kwa sasa mlimani zipo.
Nimefika pale kama saa tano na robo mpaka saa tano dakika 50 kila kitu changu kilikua tayari,nimechukua router yangu nikaiwasha pale pale nikaweka ndani ya begi langu,mwendo mdundo mizunguko yangu yote natumia tu kwa raha zangu.

Hapa nimefika unguja, inasoma 4G,
Nime connect na laptop yangu mambo ni murua.

Airtel mambo ni murua.
Mkuu wamehitaji vitu gani kutoka kwako?
 
Mi mpaka saizi sijui chakufanya

Kuna muda nabaki ku stream miziki online ambayo tayari ipo kwenye device yangu.

Labda changamoto nayoiona hapa ni upungufu wa storage ya kutosha.

Device zangu zote zimejaa, nipo kwenye process ya kutafuta 2TB flash
Mimi naangalizia warumi mtandaoni yaani hd kabisa nikikosa kazi nacheza magemu ya mtandaoni
 
Back
Top Bottom