Ina maana mpaka sasa kuna watu hamuamini kweli hii ni unlimited?🙂Hii nikipata napiga chini kwanza PS halafu naanza kufownload games upya kama majaribio.
Unlimited, Unlimited kweli au kuna kipimo. [emoji23]
Ina maana mpaka sasa kuna watu hamuamini kweli hii ni unlimited?[emoji846]
Na tunaomba mbaki hivyohivyo, msije mkasababisha jam internet ikaanza kuketa mushkeli..
Hapa ni matumizi ya toka tarehe 2 mwezi huu...
View attachment 2789653
Mimi niliuliza maswali yote hayo nikaambiwa kuwa hata nikiungwa katika enterprises bado mwisho wa mwezi nitaweza kununua cha 70KWakati naungwa na yule sister, kuna mahali wanachagua pale kwenye portal yao either "Retail" au "Enteprise"....
Ukiwekwa kwenye enteprise tu jua minimum ni 110k...
Hao ndo wanaowaharibia Airtel, ikiwezekana muambie wazi unaenda kumripoti ili akuweke kwenye Retail..
Ina maana mpaka sasa kuna watu hamuamini kweli hii ni unlimited?🙂
Na tunaomba mbaki hivyohivyo, msije mkasababisha jam internet ikaanza kuketa mushkeli..
Hapa ni matumizi ya toka tarehe 2 mwezi huu...
View attachment 2789653
Umejitahidi kutumia.Ina maana mpaka sasa kuna watu hamuamini kweli hii ni unlimited?🙂
Na tunaomba mbaki hivyohivyo, msije mkasababisha jam internet ikaanza kuketa mushkeli..
Hapa ni matumizi ya toka tarehe 2 mwezi huu...
View attachment 2789653
Simu yangu ya pili nimetumiaIna maana mpaka sasa kuna watu hamuamini kweli hii ni unlimited?🙂
Na tunaomba mbaki hivyohivyo, msije mkasababisha jam internet ikaanza kuketa mushkeli..
Hapa ni matumizi ya toka tarehe 2 mwezi huu...
View attachment 2789653
Jumla ya data nilizotumia kwa device zote mbili ni 447GBSimu yangu ya pili nimetumia
View attachment 2789663
Kama mna mkataba, mkiwa na mtu ndani huko na wakili mzuri tayari hela hiyo.We ngoja uzuri tulichukuwa wawili kwa muda unaopishana.
Ya mwenzangu inaisha wiki ijayo na ana mahesabu ya kununua package ya 70K, na mimi mpoka sasa sijamuambia nilichokutana nacho.
Ila kitachofanyika atapigiwa simu huyo team leader aje tumkanidhi 70K anunue yeye.
Pengine kuna namna yake anayoijua yeye na ikigoma tu lazima atueleze kwanini alituongopea wakati tulimsisitizia na yeye akatuhakikishia.
I called them na wanasema after 3 months ya matumizi ya hicho cha 110k ndio unaweza ku-change to 70k packageWe ngoja uzuri tulichukuwa wawili kwa muda unaopishana.
Ya mwenzangu inaisha wiki ijayo na ana mahesabu ya kununua package ya 70K, na mimi mpoka sasa sijamuambia nilichokutana nacho.
Ila kitachofanyika atapigiwa simu huyo team leader aje tumkanidhi 70K anunue yeye.
Pengine kuna namna yake anayoijua yeye na ikigoma tu lazima atueleze kwanini alituongopea wakati tulimsisitizia na yeye akatuhakikishia.
Walisema haya mwanzoni wakati wanaunga watu kifurushi cha 70,000?I called them na wanasema after 3 months ya matumizi ya hicho cha 110k ndio unaweza ku-change to 70k package
Hata sijuiIlikuaje hadi akapigwa hivo mzee?? Mbona mimi nilifungiwa free kabisa nililipa na kesho yake nikaja fungiwa tena nipo mbali na nguzo yao
Nakuomba inbox plsIlikuaje hadi akapigwa hivo mzee?? Mbona mimi nilifungiwa free kabisa nililipa na kesho yake nikaja fungiwa tena nipo mbali na nguzo yao
Vipi kama ni muendelezo ule ule wa kuongopeana?I called them na wanasema after 3 months ya matumizi ya hicho cha 110k ndio unaweza ku-change to 70k package
Hii program inasumbua mkuu..mwenyewe nimeipiga chini...mimi natumia fiber lakini haifui dafu kwenye hiyo sportsfireNatumia App ya Sportsfire ndyo inakwama kwama..hiyo Dstv now si unatakiwa kulipia tena hela nyingi sana ili uweze kuona mechi za EPL?
Shoda yao hawa watu wote wanataka wakae sehemu moja yani ni sinza ,upanga ,mikocheni posta ,k/koo sijui wanawaza niniVoda anatoa Fiber Majumbani kwa bei ya TTCL ila uwe unakaa maeneo ya Sinza.
Kwani ile day 1 kwenye kulipa package zingine zilionekana? Na hii baada ya kuisha package za juu yake zinaonekana au imepotea tu hile ya 70k?We ngoja uzuri tulichukuwa wawili kwa muda unaopishana.
Ya mwenzangu inaisha wiki ijayo na ana mahesabu ya kununua package ya 70K, na mimi mpoka sasa sijamuambia nilichokutana nacho.
Ila kitachofanyika atapigiwa simu huyo team leader aje tumkanidhi 70K anunue yeye.
Pengine kuna namna yake anayoijua yeye na ikigoma tu lazima atueleze kwanini alituongopea wakati tulimsisitizia na yeye akatuhakikishia.
Kwanini, au hadi fiber zinatofautiana?Voda wakileta hii mtaani kwangu nawakacha TTCL.
Hii nchi imekaa kwa kutegana mitego sana🤣I called them na wanasema after 3 months ya matumizi ya hicho cha 110k ndio unaweza ku-change to 70k package
Ukisema portal unamaana gani mkuu?Hamna natumia supakasi ila naona imekuwa ya hovyo sana.
Majuzi juzi nilitest kwenye simu speed ya Airtel nikaona inafika 45Mbps. Ndio niko najishauri hapa nimeomba tena TTCL nimeona wametengeza portal mpya sa sijui watatuacha mataa kama kwenye ile portal iliyopita.
Ukisema portal unamaana gani mkuu?