Sijalipa miezi miwili na nikasepa wamenifanyia uhuni na number Yao nikawachapa blokuEnlighten me mkuu.
Ulienda ofisini kwao kusitisha mkataba au ulikimbia na bili yao ya miezi 2?
View attachment 2836318
Maana napitia hiyo changamoto na sipati msaada wowote kutoka kwao.
Ibusti na vpnAirtel leo kuna changamoto ya mtandao
Itakuwa ni location uliyopo mkuu, nilipo mimi mambo shega✅Airtel leo kuna changamoto ya mtandao
Inakuja inakata
Sijalipa miezi miwili na nikasepa wamenifanyia uhuni na number Yao nikawachapa bloku
Inakuja inakata
Unaamini sana VPN MzeeIbusti na vpn
Hata Netflix ukitaka pia ipo ndio raha ya android hiyoAsante sana mkuu, kumbe life simple hivi?😋😋
Bado kaka nipo natembea YouTube tu hapa nakula Ngoma za wasanii WA USAUnaamini sana VPN Mzee
Naziona miyeyusho kwenye speed
Vipi unefanikiwa kupakua movies?
Achana nao voda ni wahuni wanalimbikiza bili kama wakina mama wauza maziwa ya mbuziNgoja nijitoe ufahamu niingie ebay nikatafute Nokia FastMile niwapitie kichwani Tigo kama yule jamaa wa CEO.
Sjawahi kutana na netflix mod inayokaribia uwezo na ubora wa netflix halisi, hiyo yako inafika uwezonwa halisi?Hata Netflix ukitaka pia ipo ndio raha ya android hiyo
Hao wanajifanya wapo strict sanaHiv laini za halotel za M2M zinapatikanaje? Na vip gharama yake?
Labda kwenye ishu ya ku download tu ndio unaweza kukutana na usumbufu lakini streaming ni msololo tuSjawahi kutana na netflix mod inayokaribia uwezo na ubora wa netflix halisi, hiyo yako inafika uwezonwa halisi?
Jichanganye utapeli huoHii kweli mkuu au janja ya sungura??hela ngum mm nabeba tofar kaz saidia fund ela yang ngumu mnooo kaz za ajabajab
kama utaikumbuka nistue mkuuLabda kwenye ishu ya ku download tu ndio unaweza kukutana na usumbufu lakini streaming ni msololo tu
Nilikuwa na mod moja ambayo nilikuwa na download fresh tu saizi nishasahau wapi nilipoipatia
Kiukweli netflix mod haifiki hata kwa netflix og....haswa ya tv ipo smooth sanaLabda kwenye ishu ya ku download tu ndio unaweza kukutana na usumbufu lakini streaming ni msololo tu
Nilikuwa na mod moja ambayo nilikuwa na download fresh tu saizi nishasahau wapi nilipoipatia